Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

2 Corinthians 8:2
[2]They have been severely tested by the troubles they went through; but their joy was so great that they were extremely generous in their giving, even though they are very poor.

2 Corinthians 8:9
[9]You know the grace of our Lord Jesus Christ; rich as he was, he made himself poor for your sake, in order to make you rich by means of his poverty.

Mtume Paulo ambaye alirithi kazi ya Yesu ya kuhubiri Injili, alitokea kuwapenda sana watu wa huko Macedonia ambako alianzisha kanisa huko. Watu hawa walikuwa na ukarimu sana. Na Yesu alikuwa akihubiri sana juu ya utoaji, hivyo chanzo kikuu cha mapato ni michango ya watu huko alikokuwa akihubiri. Tunakumbuka Zakayo mtoza ushuru alipopanda juu ya mti ili tu apate kumuona Yesu, na alipomuona Yesu, alisema leo tunakwenda kupata chakula katika nyumba yako. Na Zakayo ndiyo ikawa ukombozi wa nafsi yake, kwa kuokoka.
 
Yesu alikuwa na Pesa nyingi sana kuliko watu wa dini wanavyotueleza.


Ushahidi.
1: Alikuwa na Muhasibu. MTU binafsi bila kampuni wala biashara kufikia hatua ya kushindwa kutunza kipato chako hadi Uwe na Muhasibu basi utakuwa na Pesa nyingi sana.

2: Aliwazuia mitume wasifanye biashara zao. Aliwakuta jamaa wakinapetro ni wakokozi na wavuvi nguli akawaambia waache alafu wamfuate.
Kulisha breakfast, lunch na dinner wanaume 12 wasio na Kazi miaka mitatu mfululizo inabidi Uwe na Pesa. Ushahidi Baada ya kufa Petro aliwashawishi warudi kwenye Biashara zao.

3: Hakuna kifungu Yesu kaishiwa Pesa au kashindwa kufanya muamala wowote kisha hana salio. Aliwahi kudaiwa kodi ya hekalu, akamtuma Petro akavue samaki aliyekuwa na Pesa tumboni.

4: Muhasibu wake alikuwa mwizi na mwenye uchu wa Pesa. Huku tunaona makampuni maduka Yenye wahasibu wezi huwa yanafirisika. Yuda hakuwahi kufirisi mkoba wa pesa za mwalimu wake Yesu.



Wakuu Yesu alikuwa yuko vzr kiuchumi.


Sasa najiuliza nini nilikuwa chanzo chake cha fedha ikiwa

Alikuwa hana biashara
Hakuwa na gawio LA sadaka masinagogini na hekaluni?


Je alikuwa anawafadhili?

Je alikuwa anakusanya Sadaka kwenye mihadhara yake?

Je Alikuwa anashushiwa kimiujiza.?
Thread zingine huwa ni za kipuuzi. Mambo ya imani yaache katika imani. Ukiyaleta katika uhalisia wako wa kibinadamu utafeli
 
Thread zingine huwa ni za kipuuzi. Mambo ya imani yaache katika imani. Ukiyaleta katika uhalisia wako wa kibinadamu utafeli
Kila unachokiona kwenye uhalisia kinaanzia kwenye imani.
Hata kula inahitaji imani. Maana unauhakika gani kuwa huko kinakoenda kitafanikisha malengo. Hakuna ushahidi ni imani
 
Yesu alikuwa na Pesa nyingi sana kuliko watu wa dini wanavyotueleza.


Ushahidi.
1: Alikuwa na Muhasibu. MTU binafsi bila kampuni wala biashara kufikia hatua ya kushindwa kutunza kipato chako hadi Uwe na Muhasibu basi utakuwa na Pesa nyingi sana.

2: Aliwazuia mitume wasifanye biashara zao. Aliwakuta jamaa wakinapetro ni wakokozi na wavuvi nguli akawaambia waache alafu wamfuate.
Kulisha breakfast, lunch na dinner wanaume 12 wasio na Kazi miaka mitatu mfululizo inabidi Uwe na Pesa. Ushahidi Baada ya kufa Petro aliwashawishi warudi kwenye Biashara zao.

3: Hakuna kifungu Yesu kaishiwa Pesa au kashindwa kufanya muamala wowote kisha hana salio. Aliwahi kudaiwa kodi ya hekalu, akamtuma Petro akavue samaki aliyekuwa na Pesa tumboni.

4: Muhasibu wake alikuwa mwizi na mwenye uchu wa Pesa. Huku tunaona makampuni maduka Yenye wahasibu wezi huwa yanafirisika. Yuda hakuwahi kufirisi mkoba wa pesa za mwalimu wake Yesu.



Wakuu Yesu alikuwa yuko vzr kiuchumi.


Sasa najiuliza nini nilikuwa chanzo chake cha fedha ikiwa

Alikuwa hana biashara
Hakuwa na gawio LA sadaka masinagogini na hekaluni?


Je alikuwa anawafadhili?

Je alikuwa anakusanya Sadaka kwenye mihadhara yake?

Je Alikuwa anashushiwa kimiujiza.?
Hata sijui,ila nachojua YUDA ISCARIOT ndo alikuwa mtunza fedha (accountant)

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom