Nini kilikuwa sababu ya kuuawa Dkt. Mvungi na Prof. Juani Mwaikusa?

Nini kilikuwa sababu ya kuuawa Dkt. Mvungi na Prof. Juani Mwaikusa?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Watanzania tulivyo wasahaulifu hawa watu hatuwakumbuki kabisa. Na hatukumbuki kuwa walio waua watu hawa mpaka sasa hawajapatikana.

Tunaendelea kusifu huku na kuponda kule.

Yaani Halali au Haramu inategemeana imetendwa na nani. Mauaji ya watu kadhaa yamekuwa ni sehemu ya Utendaji wa watu flani miaka mingi kwa sasa.

Tusihalalishe uovu huu kwa kigezo chochote kile. Hawa watu waliuawa kwa sababu za kisiasa.

Nini kilikuwa chanzo cha mauaji yao?
 
Soma hapa;

 
Umeshasema waliuawa kwa sababu za kisiasa, unauliza chanzo ili iweje? Hata ukikijua utafanya Nini kwa sheria hizi zilizopo? PAZA SAUTI KATIBA MPYA NDO SULUHISHO
 
Umeshasema waliuawa kwa sababu za kisiasa, unauliza chanzo ili iweje? Hata ukikijua utafanya Nini kwa sheria hizi zilizopo? PAZA SAUTI KATIBA MPYA NDO SULUHISHO
KATIBA haibadili tabia ya wanasiasa wa nchi maskini ya uchu wa madaraka, kwa kuwa wanasiasa wa nchi tajiri uchochea kukua kwa uchu huo ili wakingia madarakani nchi husika igeuzwe shamba la bibi
 
Unazungumzia kusahaulika Kwa akina Mvungi? Ushajuuliza kuhusu mikataba aliyoishuhudia mama huko mwanza ya ukarabati wa meli 5? Nini kinaendelea?
 
Ina maana nchi nzima waliouawa ni hao tu,cain alimuua abel miaka kadhaa iliyopita,mauaji hayajaanza leo
 
KATIBA haibadili tabia ya wanasiasa wa nchi maskini ya uchu wa madaraka, kwa kuwa wanasiasa wa nchi tajiri uchochea kukua kwa uchu huo ili wakingia madarakani nchi husika igeuzwe shamba la bibi
Inabadili tabia kukiwa na vifungu vya kuwawajibisha sivyo ilivyo Sasa mpaka spika ana kinga, waliotuletea ustaarabu wa demokrasia kwao rais anapandishwa mahakamani akikosea .
 
Umenena maana nchi yetu ni rahisi mno case kuwa a cold one hasa kama hujawa political connected, nwenzetu Saanane ni kimya hadi leo na maisha yanaendelea na tunajifanya Saanane hakua na familia.
Laana ya damu ya Ben Saanane imeanza kuwatafuna wote walioshiriki kuimwaga damu ile kikatili!
Wengine ndio hivyo tena wako walishatangulia mbele ya haki na cha moto wanakiona!
 
Unanikumbusha Dr. Fupi aliyekua mkemia mkuu wa serikali. Aliyeuawa kwa sababu za msimamo wake wa kumkataa shetani na Mambo yake yote ikiwemo rushwa ili aende kinyume na anachokiamini.

Karma is a bitch. You can take this to the bank.
 
JK ni kipenzi cha wana bavicha tena ni mwanademocrasia sana!
.
Ila jpm alikuwa muuaji sana!

Mabavicha hayana akili
 
Laana ya damu ya Ben Saanane imeanza kuwatafuna wote walioshiriki kuimwaga damu ile kikatili!
Wengine ndio hivyo tena wako walishatangulia mbele ya haki na cha moto wanakiona!
Vipi waliomuua Mvungi wao wako wapi?
 
Back
Top Bottom