Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anaanisha mimiNjiti ndiye nani mkuu?
Sababu ni ajaliWatanzania tulivyo wasahaulifu hawa watu hatuwakumbuki kabisa. Na hatukumbuki kuwa walio waua watu hawa mpaka sasa hawajapatikana.
Tunaendelea kusifu huku na kuponda kule.
Yaani Halali au Haramu inategemeana imetendwa na nani. Mauaji ya watu kadhaa yamekuwa ni sehemu ya Utendaji wa watu flani miaka mingi kwa sasa.
Tusihalalishe uovu huu kwa kigezo chochote kile. Hawa watu waliuawa kwa sababu za kisiasa.
Nini kilikuwa chanzo cha mauaji yao?
Haya yote ni Mauaji yaliyotekelezwa na wana CCM. Wewe umewahi kupinga Mauaji yapi kati ya hayo au kwako wakiuawa wasio wana CCM ni sahihi?JK ni kipenzi cha wana bavicha tena ni mwanademocrasia sana!
.
Ila jpm alikuwa muuaji sana!
Mabavicha hayana akili
Hilo tunakuachia wewe utujuze maana hurnda unazo fununu.Watanzania tulivyo wasahaulifu hawa watu hatuwakumbuki kabisa. Na hatukumbuki kuwa walio waua watu hawa mpaka sasa hawajapatikana.
Tunaendelea kusifu huku na kuponda kule.
Yaani Halali au Haramu inategemeana imetendwa na nani. Mauaji ya watu kadhaa yamekuwa ni sehemu ya Utendaji wa watu flani miaka mingi kwa sasa.
Tusihalalishe uovu huu kwa kigezo chochote kile. Hawa watu waliuawa kwa sababu za kisiasa.
Nini kilikuwa chanzo cha mauaji yao?
Umenena maana nchi yetu ni rahisi mno case kuwa a cold one hasa kama hujawa political connected, nwenzetu Saanane ni kimya hadi leo na maisha yanaendelea na tunajifanya Saanane hakua na familia.
Duh!Unanikumbusha Dr. Fupi aliyekua mkemia mkuu wa serikali. Aliyeuawa kwa sababu za msimamo wake wa kumkataa shetani na Mambo yake yote ikiwemo rushwa ili aende kinyume na anachokiamini.
Karma is a bitch. You can take this to the bank.
KabisaIshu kubwa ni suala la katiba mpya ndio chanzo cha vifo vyao,siku zaja itapatikana yafaa wapewe tuzo ya heshima kama waasisi