Nini kilikuwa sababu ya kuuawa Dkt. Mvungi na Prof. Juani Mwaikusa?

Nini kilikuwa sababu ya kuuawa Dkt. Mvungi na Prof. Juani Mwaikusa?

Watanzania tulivyo wasahaulifu hawa watu hatuwakumbuki kabisa. Na hatukumbuki kuwa walio waua watu hawa mpaka sasa hawajapatikana.

Tunaendelea kusifu huku na kuponda kule.

Yaani Halali au Haramu inategemeana imetendwa na nani. Mauaji ya watu kadhaa yamekuwa ni sehemu ya Utendaji wa watu flani miaka mingi kwa sasa.

Tusihalalishe uovu huu kwa kigezo chochote kile. Hawa watu waliuawa kwa sababu za kisiasa.

Nini kilikuwa chanzo cha mauaji yao?
Sababu ni ajali
 
JK ni kipenzi cha wana bavicha tena ni mwanademocrasia sana!
.
Ila jpm alikuwa muuaji sana!

Mabavicha hayana akili
Haya yote ni Mauaji yaliyotekelezwa na wana CCM. Wewe umewahi kupinga Mauaji yapi kati ya hayo au kwako wakiuawa wasio wana CCM ni sahihi?
 
Watanzania tulivyo wasahaulifu hawa watu hatuwakumbuki kabisa. Na hatukumbuki kuwa walio waua watu hawa mpaka sasa hawajapatikana.

Tunaendelea kusifu huku na kuponda kule.

Yaani Halali au Haramu inategemeana imetendwa na nani. Mauaji ya watu kadhaa yamekuwa ni sehemu ya Utendaji wa watu flani miaka mingi kwa sasa.

Tusihalalishe uovu huu kwa kigezo chochote kile. Hawa watu waliuawa kwa sababu za kisiasa.

Nini kilikuwa chanzo cha mauaji yao?
Hilo tunakuachia wewe utujuze maana hurnda unazo fununu.
 
Ishu kubwa ni suala la katiba mpya ndio chanzo cha vifo vyao,siku zaja itapatikana yafaa wapewe tuzo ya heshima kama waasisi
 
Unanikumbusha Dr. Fupi aliyekua mkemia mkuu wa serikali. Aliyeuawa kwa sababu za msimamo wake wa kumkataa shetani na Mambo yake yote ikiwemo rushwa ili aende kinyume na anachokiamini.

Karma is a bitch. You can take this to the bank.
Duh!
 
Back
Top Bottom