Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Mama Sky Eclat unaweza kudadavua hao wahispania walikombolowa kivipi katika hiyo vita yq msalaba kwamba waliuawa au walipewa neno la kweli wakawa wakristo embu dadavua kidogo tupate maarifa
Jews waliingia Hispania kwanza wakifuatiwa na Walatoliki. Jeshi kubwa la Waislam lilitoka Morocco na kuvamia Hispania. Jews na Wakatoliki waliamriwa kuslim au kuuwawa. Jews wengi walislmu. Swala ziliendelea na watu walikuwa wanaswali hadharani.

Wajerumani na Ulaya yote hawakufurahishwa na hali hiyo. Hispania ilitengwa katika bara la Ulaya. Malika W Isabela na mume wake Prince Fernandis ndiyo W alifanya jitihada za kulikomboa tena Hispania kwa msaada wa Christopher Columbus
 
Jews waliingia Hispania kwanza wakifuatiwa na Walatoliki. Jeshi kubwa la Waislam lilitoka Morocco na kuvamia Hispania. Jews na Wakatoliki waliamriwa kuslim au kuuwawa. Jews wengi walislmu. Swala ziliendelea na watu walikuwa wanaswali hadharani.

Wajerumani na Ulaya yote hawakufurahishwa na hali hiyo. Hispania ilitengwa katika bara la Ulaya. Malika W Isabela na mume wake Prince Fernandis ndiyo W alifanya jitihada za kulikomboa tena Hispania kwa msaada wa Christopher Columbus

Mama Sky Eclat nahisi hujanijibu kama ilivyotakiwa au inawezekana hujanielewa yani namaanisha walikombolewa kwa njia ipi?? Ndiyo kitu ninachotaka kujua
 
Back
Top Bottom