Mehmet hakujua kuwa wabunifu wa dini yake ya kiislam ni vaticani kwa lengo la kuua ukristo wa kweli,lakina sio kuua mamlaka ya upapa.dini ya kiislamu iliazinshwa kwa siri na kanisa la roman catholic kwa kuwatumia jesuits na Khadija mama mjane tajiri kwa wakati huo amabae alilirisha kanisa mali zake zote na akaolewa na mtume Muhamad.
lengo la jesuits ililikuwa kuua ukristo uliokuwa umeshamiri ulaya mashariki mpaka mashariki ya kati na Afrika kaskazin.
siri wanayo viongozi wa juu wa dini hizo,ndio maana ukatoriki na uislam una vitu vinafanana,na uislam unaukosoa mno ukatoriki zaidi kuliko ukristo kwa ujumla.mengi yanayokosolewa msingi wake ni mapokeo ya kipagani ya kanisa la katoliki