figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Habari wakuu,
Wazee wetu wa zamani waliishi kwa raha sana.
Hivi nikitaka kufufua hili gazeti kaa sasa naweza kupewa vibali?
Gazeti la jamii ya Wachagga lililokuwa likiitwa Komkya (likimaanisha Kumekucha), toleo namba 102, Januari 1, 1958.
Ndani ya kurasa za Komkya.
1960
Wazee wetu wa zamani waliishi kwa raha sana.
Hivi nikitaka kufufua hili gazeti kaa sasa naweza kupewa vibali?
Gazeti la jamii ya Wachagga lililokuwa likiitwa Komkya (likimaanisha Kumekucha), toleo namba 102, Januari 1, 1958.
Ndani ya kurasa za Komkya.
1960