La Pronto
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 973
- 1,159
Man
Mango....unapita nganyeni???
Nikweli Mimi mkibosho tunajielewa sana mimi kibosho Mango
Mango....unapita nganyeni???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli Mimi mkibosho tunajielewa sana mimi kibosho Mango
anaitwa bi.Tausi Mohamed mwandishi ameandika kua kwa bi. huyo akihama moshi sifa ya moshi itapotea(wakati huo)Kumbe akina wema sepetu walikuepo hata zamani ee? Naona picha ya huyo bi dada wa ukweli, kweli kweli, na vazi la kisasa kabisa, uwezi jua kama ni 1958.
Mkuu kumbe hawa 1658 walikuwa mbali tyr, hadi gazeti. Sidhani kabila lako hata nyumba za matofali ya kuchoma ilikuwa ni ndoto!😀😀😀😀😀😀😀 humo habari za pombe na wanawake na gari za kubebea ndizi
HahahahaNikweli Mimi mkibosho tunajielewa sana mimi kibosho Mango
Hakuna mchaga alie andika hayo, ni huyo mzaramo anajitekenyaUkitaka kujua kwamba ukabila ni tatizo, angalia hata hawa wachaga wameanza kubaguana hapa.
Mara sisi wa kibosho tunajielewa, mara wa marangu sio wachaga, mara gazeti lilikua la wamachame na sio la wachaga!
Hii ndio raha ya ukabila!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Uliza ww sasaHuyu hana nia njema na hii thread yake. Unauliza gazeti la wachaga, mbona hauulizi kuhusu gazeti la mfanyakazi kupotea? Tena likikuwa la serikali?
Amekuambia yeye ni mzaramo?Hakuna mchaga alie andika hayo, ni huyo mzaramo anajitekenya
Niulize nini? Mimi sina akili za kujadili vitu vyepesi kama hivyo. Ni sawa na kuuliza kwanini Zinjathropas hawapo duniani? Au kwanini mabasi ya kamata na Railway hayapo, ni utoto huo. Ndio jinsi inavyoonyesha watanzania ni wavivu kufikiri.Uliza ww sasa
Ndio
Basi tuliza msuliNiulize nini? Mimi sina akili za kujadili vitu vyepesi kama hivyo. Ni sawa na kuuliza kwanini Zinjathropas hawapo duniani? Au kwanini mabasi ya kamata na Railway hayapo, ni utoto huo. Ndio jinsi inavyoonyesha watanzania ni wavivu kufikiri.
Mzaramo hatakiwi kuchangia mada?Ndio
kiba nae alisema anaitwa kipusaHahahaa nimemwona mrembo wa mwaka 60
Sahv wataandika habari gani maana kuna Magazeti hadi mtandaoni,
Ila sio mrembokiba nae alisema anaitwa kipusa
Kwako sio mrembo, kwa wengine ni mrembo 1st grade.Ila sio mrembo
Kiba ni mrembo? Mwanaume pia ni mrembo kumbeKwako sio mrembo, kwa wengine ni mrembo 1st grade.
Lifufue tutachangia tuwe tunapeana update tutajenga umoja kusaidiana nakutangaza utamaduni wetu wakichaga ndani na nje.