Magulumelafulu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 495
- 602
kuwa vigeugeu na matukio hivyo kutoeleweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnadanganyana na kupeana moyo kikatili sana dah 🤣Na ni zaidi ya hivyo mkuu 'lusahoko'.
CCM hawataki kuondoka madarakani; wanatumia kila mbinu waendelee kubaki hapo hapo. Hili ndilo tatizo litakalo lazimisha watolewe hata kwa kutumia nguvu.
Vyama vya upinzani hakuna hata kimoja kilicho hodhi kubaki madarakani kwa nguvu.
Ni bora kudanganyana kuliko kuvumilia takataka unazojaza humu kutwa nzima.mnadanganyana na kupeana moyo kikatili sana dah 🤣
kwamba leo wanadai katiba wanaachia njiani, kesho wanadai bei ya maharage ishuke, wanaacha keshokutwa wanadai maandamano tena wanaacha right?🤣kuwa vigeugeu na matukio hivyo kutoeleweka
Usisumbuke na timu, mimi nipo hapa hapa nawe hadi kieleweke.halafu timu yako imekaa kimyaaa🤣
Hawajapewa nafasi ya kuongoza serikali, kwa hiyo hatuwezi kuwahukumu. Wapewe nafasi ndipo tuwafanyie evaluation.Huenda ulikuwa unawakubali mno awali, lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa.
Nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisa wapinzani na kwamba ni watu wasioaminika tena?🐒
Kutuahidi posa-hewa kila baada ya miaka 5 kwamba wanachukua nchi na kuunda serikali, huku wakiishia tu kukomba ruzuku na kuunda purukushani vyamani.
Tuko tumekaa palee tunawachora tu wakijiandaa kutunadia mbwembwe zingine kibao mwaka huu na mwa
Vsasa watu wasio na dira, mipango wala uelekeo wataeleweka au kuaminika kwa nani kwa mfano, hata wakabidhiwe dhamana nzito na muhimu kama kuongoza mtaa,kata, jimbo au nchi kwa mustakabali wa maisha yao?🐒
Vyote vinatakiwa kwakuwa vyote vimeharibiwa na CCM. Kwa neno lililonenwa na nabii. "Kila mtu ale Kwa urefu wa kamba yake"kwamba leo wanadai katiba wanaachia njiani, kesho wanadai bei ya maharage ishuke, wanaacha keshokutwa wanadai maandamano tena wanaacha right?🤣
yaani hawajui hata wanadai au kutetea nini,dah 🐒
nina kazi nyingi za kufanya ikiwa ni pamoja na kuandaa makala ntakayo iweka humu jukwaani muda usio kua mrefu ujao 🐒Usisumbuke na timu, mimi nipo hapa hapa nawe hadi kieleweke.
Nimekwisha kujuwa vyema sana, kwa hiyo usihangaike na kujieleza kwangu kuhusu unakopata hizo takataka zote.nina kazi nyingi za kufanya ikiwa ni pamoja na kuandaa makala ntakayo iweka humu jukwaani muda usio kua mrefu ujao 🐒
usilale, nazungumza kidogo na kuna wageni kidogo hapa nyumbani 🐒
😅😅😅yaani ni wajibu wako kuporomosha matusi right?