Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

Huenda ulikuwa unawakubali mno awali, lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa.

Nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisa wapinzani na kwamba ni watu wasioaminika tena?🐒
Mvua za Elinino.....
 
"Tuishi nao kwa akili" sometimes hii kauli isitumike tu kwa wanawake inastahili kwa watu kama hawa wenye mihemko
Hiki kimstari kimoja tu kimekuelezea vya kutosha wewe ni mtu wa aina gani. I have very low regard for such individuals.
Kwa maana hiyo nitajibishana nawe katika ngazi hiyo hiyo.
 
Ni hivi, kama bado huelewi. Ukija kilevi utakutana na ulevi. It's all season upande huu.
wewe huna upande bana uko hivyo hivyo ulivyoeleza, hubadiliki wala huna fikra wala mawazo mbadala dhidi ya hoja yangu ya misingi 🐒

unanifurahisha tu sasa hivi 🤣
 
wewe huna upande bana uko hivyo hivyo ulivyoeleza, hubadiliki wala huna fikra wala mawazo mbadala dhidi ya hoja yangu ya misingi 🐒

unanifurahisha tu sasa hivi 🤣
Wewe humu ndani ya JF huna "hoja ya msingi" yoyote, kazi yako inafahamika.
 
Maana ya vitisho ni nini. Kuna vitisho zaidi ya kushinda hapa JF ukiweka takataka za kuvuruga akili za watu?
Hopeless Kabisa.
sasa ghadhabu za nini, kwa mfano 🤣

Kwan unalazimishwa kusoma au kuchangia mada yoyote humu jukwaani? unababaika na vinavyokukera ili ujulikane kwamba ni hodari wa kuporomosha matusi au kutukana, right?🤣
 
sasa ghadhabu za nini, kwa mfano 🤣

Kwan unalazimishwa kusoma au kuchangia mada yoyote humu jukwaani? unababaika na vinavyokukera ili ujulikane kwamba ni hodari wa kuporomosha matusi au kutukana, right?🤣
maadam kazi inayo kuleta humu imekwisha julikana, ni jukumu langu kupambana nawe. It's as simple as that!
Huu ni wajibu kwangu. Kwa hiyo elewa hivyo.
 
Wewe humu ndani ya JF huna "hoja ya msingi" yoyote, kazi yako inafahamika.
Yes,
kazi yangu ni kuelimisha na mimi kujifunza na kuongeza uealewa na ufahamu wa masuala mbalimbali ya kijamii kisiasa na kiuchumi yanayoibuliwa na wangwana, watu muhimu sana familia ya JF...

Kwan kuna kitu mbaya hapo 🐒
 
Yes,
kazi yangu ni kuelimisha na mimi kujifunza na kuongeza uealewa na ufahamu wa masuala mbalimbali ya kijamii kisiasa na kiuchumi yanayoibuliwa na wangwana, watu muhimu sana familia ya JF...

Kwan kuna kitu mbaya hapo 🐒
Huna lolote la kuelimisha mtu , bali kutumikia hao wanaokutuma.
 
maadam kazi inayo kuleta humu imekwisha julikana, ni jukumu langu kupambana nawe. It's as simple as that!
Huu ni wajibu kwangu. Kwa hiyo elewa hivyo.
yaani ni wajibu wako kuporomosha matusi right?🤣

mbona kazi ngumu sana aise umechagua 🐒
 
Huna lolote la kuelimisha mtu , bali kutumikia hao wanaokutuma.
kama wew huhitaji kupata elimu, ufahamu na uelewa wa ziada tuliza mihemko bas wengine wajifunze,sio Lazima 🐒
 
Huelewi inasemaje?
Uniulize mimi wakati nimekwisha kueleza kuwa ni takataka? Ni kipi kisicho eleweka hapo!
kaa kimya sasa,
unabwekabweka na kubabaika na nin 🐒
 
Back
Top Bottom