Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

Mambo mawili, hasa:
1. Kuikodisha chadema kwa lowassa (rip) kuwa kigombeleo cha urais 2015, kwa kukatiwa cha juu. Iliniumiza sana nikaamua kuachana na ushabiki wa vyama.
2. Mbowe kusema angeachia ngazi mwishoni mwa 2023 na asitimize ahadi yake. Hakutimiza ahadi, hakutoa maelezo ya kwa nini alibadili mawazo, wala kuomba radhi!
Sasa watu kama hao kuendelea kuwaamini si kujitafutia presha bure?!
 
Mambo mawili, hasa:
1. Kuikodisha chadema kwa lowassa (rip) kuwa kigombeleo cha urais 2015, kwa kukatiwa cha juu. Iliniumiza sana nikaamua kuachana na ushabiki wa vyama.
2. Mbowe kusema angeachia ngazi mwishoni mwa 2023 na asiyimize ahadi yake. Hakuyimiza ahadi, hakutoa maelezo ya kwa nini alibadili mawazo, wala kuomba rafhi!
Sasa watu kama hao kuendelea kuwaamini si kujitafutia presha bure?!
nacheka but ni mambo imotinal sana, na for sure watu wamejeruhiwa sana na wana very serious injuries za siasa za vyama mioyoni mwao,

wapambanaji wanaumizwa sana na mambo ya kubadili gia angani kwa maslahi binafsi ya wachache wazi wazi kabisa...dah🐒

inasikitisha sana, inakatisha tamaa 🐒
 
Kutuahidi posa-hewa kila baada ya miaka 5 kwamba wanachukua nchi na kuunda serikali, huku wakiishia tu kukomba ruzuku na kuunda purukushani vyamani.

Tuko tumekaa palee tunawachora tu wakijiandaa kutunadia mbwembwe zingine kibao mwaka huu na mwakani.
Government is of the people, for the people and by the people. Ukielewa hilo huto hangaika na vyama vya siasa kujiletea ukombozi.
 
Government is of the people, for the people and by the people. Ukielewa hilo huto hangaika na vyama vya siasa kujiletea ukombozi.
hivi concentrations za vyama vya siasa vilivyo inje ya serikali huwa wapi hasa kwenye hilo?

ni kwenye "of the people", "for the people" au "by the people"?
na mashaka ya wanaichi huwa ni wapi?🐒
 
hivi concentrations za vyama vya siasa vilivyo inje ya serikali huwa wapi hasa kwenye hilo?

ni kwenye "of the people", "for the people" au "by the people"?
na mashaka ya wanaichi huwa ni wapi?🐒
Hii inafunction vizuri kwenye zile nchi ambazo wagombea huru wanaruhusiwa bila ridhaa ya chama chochote..
 
Huenda ulikuwa unawakubali mno awali, lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa.

Nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisa wapinzani na kwamba ni watu wasioaminika tena?🐒
Hatuna imani na Tawala tu kwakua hawa wapinzani wanao compromise ni watu wao hivyo hatuna sababu yakuwachukia ike hali mbaya wetu ni vegetables
 
Waliposema vijana hawana ajira na kuna umaskini wa kutisha Tanzania wakati si kweli, watu wote ni matajiri
Huenda ulikuwa unawakubali mno awali, lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa.

Nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisa wapinzani na kwamba ni watu wasioaminika tena?🐒
iiposema
 
Wanakula Ruzuku TU hawajawahi kugawa hata Bajaj kwa Wananchi fungu lote wanagawana wenyewe, CCM inagawa na kurudisha kwa Jamii na Jamaa ee bwana anaekupa na asiekupa unamfuata yupi? Wewe chukulia tu Mtoto mdogo huku kuna Jamaa kashika Boksi la Eatsammo alafu huku kuna lijimaa halina chochote Mkononi Wewe unaenda upande gani? Mwenye nacho ataongezewa Mkono wa birika hapana TOA upokee Mkono unaotoa ndio mkono unaopokea, wapinzani hayo maburungutu sio mnayala peke yenu wageeni na Wananchi bring back to society come on you know what? something is better than nothing & I understand someone will come here and say inazungumza Bangi hii hakuna kitu rubbish Ila ukweli umewafikia hata kwa njia ya mmea
Sijui hata umeongea nini
 
Huenda ulikuwa unawakubali mno awali, lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa.

Nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisa wapinzani na kwamba ni watu wasioaminika tena?🐒
Baada ya kuanza kumtukana rais samia hapo ndo walipotea mazima. Wananchi waliwadharau kwa kuwa samia ndo kwanza aliwatia kifungoni baada ya miaka 5 kufungwa midomo na jpm na wengine kumimbia nchi.

Mama akawafanyia hisani lakini wao wakaanza kumshambulia as if kafanya kosa kuwafungua.
 
Swali la kujiuliza mwanzo uliwaamini kwa lipi? Ni kwa sababu tu wanaikosoa serikali?
 
mwenzio ametoa ya moyoni dhidi yangu, na sasa amepata relief ya kutosha, moyo wake umetulia, hana mihemko tena, anasonga mbele akiwa huru moyoni 🐒

bado wewe sasa,
ndio kwanza umepata bando sasa hivi, huku ukiwa na mzigo mzito wa mihemko na ghadhabu dhidi yangu...

mimi ni dawa ya mihemko, utapona tu kua na Imani.

ila dah, utumwa mbaya sana huo wa kujitakia. Chuki binafsi ya nini sasa gentleman?🐒

mtu akiona unabwabwaja na kubabaika kwa mihemko, ghadhabu na matusi mazito mazito bila sababu asicheke jaman, alaaa🤣

CCM wote wanacheka sasa si utafura mashavu sana kwaajili ya kununua kwa chuki binafsi zako gentleman?🤣
Inawezekana wewe ni mlevi wa bangi, hii siyo akili ya mtu wa kawaida tu.

Lakini bangi zitakapo koma hapo ndipo utakapotambua dunia iko vipi.
 
kwahiyo hapo ndio umemtishia kijana kwamba una la kumfanya, right?🤣

jamaa wengine bana,
kakushauri ustick kwenye mada, uachane na issue za personal,
ambazo hazina maana yoyote, ati unamvimbia na vitisho dhaifu na vya kinyoonge namna hiyo, kweli 🤣
Wewe una mada gani kama siyo takataka unazojaza humu kila siku!
Unahangaika sana, hiyo ni ishara tosha kwamba huko uliko kunafuka moto mkubwa. Ukiziwi mliojipachika mmeona hausaidii kitu badala yake unawadidimiza. Ndiyo maana nyinyi walamba...mnahangaika kama mliowekewa pilipili sehemu nyeti.
 
kwahiyo hapo ndio umemtishia kijana kwamba una la kumfanya, right?🤣

jamaa wengine bana,
kakushauri ustick kwenye mada, uachane na issue za personal,
ambazo hazina maana yoyote, ati unamvimbia na vitisho dhaifu na vya kinyoonge namna hiyo, kweli 🤣
"Tuishi nao kwa akili" sometimes hii kauli isitumike tu kwa wanawake inastahili kwa watu kama hawa wenye mihemko
 
Wewe una mada gani kama siyo takataka unazojaza humu kila siku!
Unahangaika sana, hiyo ni ishara tosha kwamba huko uliko kunafuka moto mkubwa. Ukiziwi mliojipachika mmeona hausaidii kitu badala yake unawadidimiza. Ndiyo maana nyinyi walamba...mnahangaika kama mliowekewa pilipili sehemu nyeti.
gentleman,
kwani mada inasemaje:pedroP:
 
Inawezekana wewe ni mlevi wa bangi, hii siyo akili ya mtu wa kawaida tu.

Lakini bangi zitakapo koma hapo ndipo utakapotambua dunia iko vipi.
kwamba umenitisha au umenihubiria?:pedroP:

ushauri ni mzuri ila mshauri mwenyewe sasa:pedroP: dah
 
Back
Top Bottom