Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

wapinzani wote wanaweza kuahamia ccm safari hii, maana ni kichekesho aise :pedroP:
Kipindi kile walikuwa wanasema jiwe anawanunua sasa hivi sijui watakuwa na hoja gani mkuu. Tena ni viongozi wanao hama!!!
Tanzania hatuna vyama vya upinzani ki ujumla vyote ni masalia ya CCM
Hii inaitwa rudi nyumbani kumenoga


Kidumu chama tawala
 
Kipindi kile walikuwa wanasema jiwe anawanunua sasa hivi sijui watakuwa na hoja gani mkuu. Tena ni viongozi wanao hama!!!
Tanzania hatuna vyama vya upinzani ki ujumla vyote ni masalia ya CCM
Hii inaitwa rudi nyumbani kumenoga


Kidumu chama tawala
wanarudi kwa hiyari yao dah :pedroP:

Kidumu Chama Cha Mapinduzi...
 
huenda ulikua unawakubali mno awali,
lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa..

nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisaa wapinzani na kwamba ni watu wasio aminika tena?🐒
Wapinzani wanaaminika sana na Watanzania wengi ukiondoa machawa wachache kama wewe ambao bila kulamba nyazo za Bibi wa Kizimkazi hamuendi choo!
 
huenda ulikua unawakubali mno awali,
lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa..

nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisaa wapinzani na kwamba ni watu wasio aminika tena?🐒
(1) Lipumba na Maalim Seif kupishana baada ya Seif kutoomgawia hela alizopata kutoka kwa Lowassa alipoingia UKAWA 2015
(2) Dr Slaa alipopokea hifadhi CCM na kukubali kuwa Balozi baada ya Lowassa kuingia CHADEMA na kuwa mgombea kwa kutoa Tsh 10 Bilioni. Huku hizo hela wakigawana Mbowe, Edwin Mtei na Maalim Seif peke yao
 
wakakahamia upinzani na kuwa watakatifu na wakawa wasio wizi wala mafisadi tena, bali wakawa wasafi na weupe kama pamba, right?
upinzani ni kiwanda cha kusafisha wezi na mafisadi right?:pedroP:
wapinzani ni vibaraka wa Chama tawala kiendelee kutawala ilo hata wao wanalijua Walichokifanya kwa Lowassa ndo wanataka kukifanya kwa Makamba kumchafua kila siku
 
huenda ulikua unawakubali mno awali,
lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa..

nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisaa wapinzani na kwamba ni watu wasio aminika tena?🐒
Siwaamini na kuwakubali matapeli wa chama cha matapeli (CCM)
 
KWAHIYO MNAWASUBIRIA KIMYA KIMA WAJILETE TENA MIWANYOOSHE KWENYE SANDUKU LA KURA SIO? :pedroP:
Tumeshakaa vikao vyote vitatu - cha maandalizi ya awali, mipango na mbinu za utekelezaji - kinachosubiriwa sasa ni muda mwafaka tu.

Mikakati yote tayari imo kwenye bahasha ya khaki ndani ya kabrasha jeusi.

Ni mapema sana kusema ni dawa ipi tumewachemshia safari hii.

Haya yanalazimu kutokea baada ya kubaini kwamba dozi zilizopita hazikuwa na ufanisi unaoridhisha.

Tunawaomba wanachama wote wasikivu na wasakidhi (hustlers) wakae mkao wa mlo wa mchana.
 
Sababu ni wana Siasa; by the way unaongelea Upinzani as if CCM wanaaminika...
 
Unataka kujua mitaa tunayoishi ili iweje?
Serikali inatakiwa ifanyie kazi kero ya ufisadi unaoibuliwa kila mwaka na CAG kwani kila mwaka anaeleza kuhusu ufisadi unaofanywa.
Fedha nyingi zingeokolewa ambazo zingeweza kuja kutatua kero mbalimbali kwenye jamii kama serikali ingeamua kuifanyia kazi ipasavyo ripoti hiyo
 
Unataka kujua mitaa tunayoishi ili iweje?
Serikali inatakiwa ifanyie kazi kero ya ufisadi unaoibuliwa kila mwaka na CAG kwani kila mwaka anaeleza kuhusu ufisadi unaofanywa.
Fedha nyingi zingeokolewa ambazo zingeweza kuja kutatua kero mbalimbali kwenye jamii kama serikali ingeamua kuifanyia kazi ipasavyo ripoti hiyo
Wewe hizo fedha zinakuhusu nini
 
Kinyume chake ndiyo ukweli wa wapinzani
wanachombezwa sana na ccm na wanaingia kingi kirahisi sana. Demu mtamu ni yule ambaye haingii kingi kirahisi rahisi kama hawa wapinzani. unamoiga miti huku ukifurahia , sio kuingia kingi kama akina nahii na wenzake
 
Back
Top Bottom