Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

Nini kilisababisha na kinakufanya usiwaamini wapinzani kwa chochote?

huenda ulikua unawakubali mno awali,
lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa..

nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisaa wapinzani na kwamba ni watu wasio aminika tena?🐒
Pale mzee wa nyagi Mbowe alipolamba asali. vijana wamepigwa hadi virungu yeye akiwa gerezani, kesho yake wakashangaa yupo Ikulu na bitukinao.
 
ili kushuka dola lazima uaminike,

lakini pia,
ili uaminike,
lazima uwe mwaminifu mwenye maono, mipango, ushawishi wenye sera za kuvutia wananchi, lakini pia lazima uwe mwenye bidii na weledi kwenye kufanya maamuzi magumu ya kuwaunganisha wananchi:pedroP:

hata hivyo,
ahadi za upinzani ni zipi tangu mfumo wa vyama vingi kanzishwa:pulpTRAVOLTA:
Upo sawa mkuu, ndio maana nikasema binafsi.
 
Yani tusiwaamini watu nnaowasajili kwa dau kubwa na wakija kwenu mnawapa namba muhimu huku wakwenu wakikaa benchi. Hope unatania.
hapana utani aise, tena kwenye mambo muhimu na ya maana kama haya,...

inahitaji maamuzi magumu kwenye majadiliano muhimu ya kuchochea uhai wa demokrasia na mustakabali wa taifa letu kama haya. be free kwenda kuongeza nguvu ya ushawishi kwenye mrengo unao uona unakufaa:pulpTRAVOLTA:
 
Wanakula Ruzuku TU hawajawahi kugawa hata Bajaj kwa Wananchi fungu lote wanagawana wenyewe, CCM inagawa na kurudisha kwa Jamii na Jamaa ee bwana anaekupa na asiekupa unamfuata yupi? Wewe chukulia tu Mtoto mdogo huku kuna Jamaa kashika Boksi la Eatsammo alafu huku kuna lijimaa halina chochote Mkononi Wewe unaenda upande gani? Mwenye nacho ataongezewa Mkono wa birika hapana TOA upokee Mkono unaotoa ndio mkono unaopokea, wapinzani hayo maburungutu sio mnayala peke yenu wageeni na Wananchi bring back to society come on you know what? something is better than nothing & I understand someone will come here and say inazungumza Bangi hii hakuna kitu rubbish Ila ukweli umewafikia hata kwa njia ya mmea
 
Wanakula Ruzuku TU hawajawahi kugawa hata Bajaj kwa Wananchi fungu lote wanagawana wenyewe, CCM inagawa na kurudisha kwa Jamii na Jamaa ee bwana anaekupa na asiekupa unamfuata yupi? Wewe chukulia tu Mtoto mdogo huku kuna Jamaa kashika Boksi la Eatsammo alafu huku kuna lijimaa halina chochote Mkononi Wewe unaenda upande gani? Mwenye nacho ataongezewa Mkono wa birika hapana TOA upokee Mkono unaotoa ndio mkono unaopokea, wapinzani hayo maburungutu sio mnayala peke yenu wageeni na Wananchi bring back to society come on you know what? something is better than nothing & I understand someone will come here and say inazungumza Bangi hii hakuna kitu rubbish Ila ukweli umewafikia hata kwa njia ya mmea
hata kumnunuliwa Lisu gari hawataki, jamaa akaanza kufanay donei, na chairman kaminya kimyaaa hata donei hakuhamasisha. Lisu anapata shida sana na hana hata kwa kwenda mskini.
 
Kwangu mimi,nimekuwa na itikadi za mrengo wa kushoto dhidi ya serikali,nimesoma sana magazeti ya ya MwanaHalisi na Tanzania Daima yalikuwa na upinzani mkubwa dhidi ya serikali. Wanasiasa kina Slaa,Zito Kabwe,Kafulila,Mnyika,Mchungaji Msigwa,Prof Kitila Mkumbo,Prof Mwesiga Baregu na wengineo walikuwa wananikosha sana Na Agenda kubwa ya Ufisadi katika Serikali. Mara tuliyeaminishwa ni fisadi mkuu akaingia Chadema,akawa mgombea uraisi,tulioamini wanajua zaidi tukawasikiliza wakabadili kauli,Lowasa sio Fisadi. Kwangu ilikuwa ngumu kumeza,nilikataa kuwa bendera fuata upepo. Imani yangu kwa Chadema na itikadi zao ikaishia hapo.
una hoja yenye mashiko mno,:KasugaYeah:

wahusika wa vyama yafaa kuzingatia na kutunza imani za wafuasi wao, na sio kuwakatisha tamaa, kwa tamaa zao binafsi za vyeo na masdaraka kwa kunajisi misingi, katiba na itikadi zao..:pulpTRAVOLTA:
 
huenda ulikua unawakubali mno awali,
lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa..

nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisaa wapinzani na kwamba ni watu wasio aminika tena?🐒
Katika nchi hii wapinzani ni CCM. Maana ni wao ndio wanapinga maendeleo ya nchi. Imagine miaka 60 ya uhuru, ila bado kuna shule wanafunzi wanakaa chini, japokuwa tuna misiti na miti ya kutosha.
 
hata kumnunuliwa Lisu gari hawataki, jamaa akaanza kufanay donei, na chairman kaminya kimyaaa hata donei hakuhamasisha. Lisu anapata shida sana na hana hata kwa kwenda mskini.
dah aise..
kuna mambo ya siasa upinzani ni imotional sana saa zingine dah:CaptFailFish:
 
Katika nchi hii wapinzani ni CCM. Maana ni wao ndio wanapinga maendeleo ya nchi. Imagine miaka 60 ya uhuru, ila bado kuna shule wanafunzi wanakaa chini, japokuwa tuna misiti na miti ya kutosha.
mbadala yuko wap sasa ili wanafunzi hao wasikae chini?

ana mipango na anaaminika kweli?:pedroP:
 
Kwa mara ya kwanza niliwadharau na kutowaamini tena wapizani wa bongo wakati wa utawala wa hayati Magufuli.

Kwakipindi chote walikuwa wanahubiri ufisadi na uzembe ulio kithiri kwenye office za uma.

Magufuli alijaribu kwa uwezowake kupambana na wahuni wanao itafuna nchi na kujaribu kuweka misingi ya udhibiti wa mapato kwakuelekeza malipo yote ya serikali yafanyike kwa control namba na juhudi nyingine zote alizo fanya kwaajili ya maendeleo ya taifaletu lakini wapizani wakamchukia sana.

Ndio maana nimeamua kuwapuuza kwasababu wanacho tuhubiria kwenye majukwaa nitofauti na kinacho endelea mioyonimwao, nimewa group kwenye kapu moja na mafisadi ya nchi hii.

And that's my reason why I don't trust those people!.
 
Wanakula Ruzuku TU hawajawahi kugawa hata Bajaj kwa Wananchi fungu lote wanagawana wenyewe, CCM inagawa na kurudisha kwa Jamii na Jamaa ee bwana anaekupa na asiekupa unamfuata yupi? Wewe chukulia tu Mtoto mdogo huku kuna Jamaa kashika Boksi la Eatsammo alafu huku kuna lijimaa halina chochote Mkononi Wewe unaenda upande gani? Mwenye nacho ataongezewa Mkono wa birika hapana TOA upokee Mkono unaotoa ndio mkono unaopokea, wapinzani hayo maburungutu sio mnayala peke yenu wageeni na Wananchi bring back to society come on you know what? something is better than nothing & I understand someone will come here and say inazungumza Bangi hii hakuna kitu rubbish Ila ukweli umewafikia hata kwa njia ya mmea
umeandika ukweli wa wazi sana,
halafu unagusa mpaka moyoni kwa kila mwanasia mwenye dhamana na anae tafuta uongozi wa kisiasa,

ama kweli siasa sio kazi ya kujenga nyumba ya ibada..
habari ya sijua eti fulani ni raisi wa mioyo ya waTanzania ni misemo ya kujifariji na kujichelewesha sana...

election is very expensive process:pulpTRAVOLTA:
 
JamiiForums-72271314.jpg~2.jpg
 
Kwa mara ya kwanza niliwadharau na kutowaamini tena wapizani wa bongo wakati wa utawala wa hayati Magufuli.

Kwakipindi chote walikuwa wanahubiri ufisadi na uzembe ulio kithiri kwenye office za uma.

Magufuli alijaribu kwa uwezowake kupambana na wahuni wanao itafuna nchi na kujaribu kuweka misingi ya udhibiti wa mapato kwakuelekeza malipo yote ya serikali yafanyike kwa control namba na juhudi nyingine zote alizo fanya kwaajili ya maendeleo ya taifaletu lakini wapizani wakamchukia sana.

Ndio maana nimeamua kuwapuuza kwasababu wanacho tuhubiria kwenye majukwaa nitofauti na kinacho endelea mioyonimwao, nimewa group kwenye kapu moja na mafisadi ya nchi hii.

And that's my reason why I don't trust those people!.
aise umeandika kitu kizito na muhimu mno,
wasio elewa, wasiopima na kufuatilia mambo haya muhimu kwa maendeleo ya taifa, wanaweza kukubeza ila kiukweli sababu yako ina mashiko na ina maana sana, pengine ilistahili press conference kabisa :pulpTRAVOLTA:
 
dah aise..
kuna mambo ya siasa upinzani ni imotional sana saa zingine dah:CaptFailFish:
just imagine, ameenda gerezani vijana wameacha hadi kazi wanaandamana kwa ajili yake, wanashinda mahakamani kila siku ya kesi, wanastukia tu yupo ikulu anakunywa chai. halafu pia, amepinga kina covid 19 wee, mwisho wakapewa malimbikizo ya ruzuku zote, na bado wanazipokea, ila hawana hela ya kununua gari ya Lisu aliyepigwa risasi kwenye harakati hizo hizo na hajahamasisha hata kuchangia, hivi mbowe angeamka siku moja tu, hata kwa tweet tu akasema NAOMBA TUMCHANGIE LISU GARI, mbona zingejaa kesho yake. hadi kina Maria sarungi na wengine wamehamasisha jamaa kapata kadhaa na hazijatosha hadi leo na bado hajasema hicho kilichobaki wacha nikuongezee. kwani ruzuku zinafanya kazi gani? mbona Lisu ana matunda sana kwenye safari zake, anahamasisha wananchi kuliko hata mbowe mweneywe. lakini ndio hana gari. hata ile alipigiwa risasi ilikuwa kwa sababu ya ubunge wake.
 
just imagine, ameenda gerezani vijana wameacha hadi kazi wanaandamana kwa ajili yake, wanashinda mahakamani kila siku ya kesi, wanastukia tu yupo ikulu anakunywa chai. halafu pia, amepinga kina covid 19 wee, mwisho wakapewa malimbikizo ya ruzuku zote, na bado wanazipokea, ila hawana hela ya kununua gari ya Lisu aliyepigwa risasi kwenye harakati hizo hizo na hajahamasisha hata kuchangia, hivi mbowe angeamka siku moja tu, hata kwa tweet tu akasema NAOMBA TUMCHANGIE LISU GARI, mbona zingejaa kesho yake. hadi kina Maria sarungi na wengine wamehamasisha jamaa kapata kadhaa na hazijatosha hadi leo na bado hajasema hicho kilichobaki wacha nikuongezee. kwani ruzuku zinafanya kazi gani? mbona Lisu ana matunda sana kwenye safari zake, anahamasisha wananchi kuliko hata mbowe mweneywe. lakini ndio hana gari. hata ile alipigiwa risasi ilikuwa kwa sababu ya ubunge wake.
dah aise...

i am speechless labda huyu jamaa ana neno@Tindo :BRUHMM:
 
Back
Top Bottom