Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aje atuambie, kwanini Lisu anahangaika namna ile hadi anatafuta chama cha kwenda ila hakipo, amebaki kwenye mioyo ya raia ila chadema amekuchoka, Lisu ni mwanamapinduzi, mtu mkweli, sio mnafiki, mwanasheria anayetunza maneno, akisema tunaandamana anajua anachosema, akisema tunadai haki ana hoja zenye mashiko. amekijenga sana chadema, kwanini wanashindwa hata kumwongezea juu ile hela iliyobaki ili anunue gari? hawaoni aibu? kwani ruzuku za kina mdee zinaenda wapi? hivi huoni kitendo cha subordinate kutangaza kuchangia gari badala ya mwenyekiti ni dharau? na inaonyesha kule ndani walishindana, wakakataa kununua, akatoka nje kuomba kununuliwa na wananchi, ni dharau kwamba kwasababu mwenyekiti umekataa basi mimi nitaomba mchango kwa wananchi na nitautangaza mimi mwenyewe hata wewe usipotangaza nitautangaza mimi mwenyewe.dah aise...
i am speechless labda huyu jamaa ana neno@Tindo![]()
Sisi = wananchimakosa huanzia hapo hapo kwenye sisi, wao na wenu
hakuna wa kutoboa kwa style hiyo kisiasa...
Tindo Erythrocyte samahani sana, neno lako moja tu linatosha kutuliza mitima ya wadau kwenye hili. asanti sanaaje atuambie, kwanini Lisu anahangaika namna ile hadi anatafuta chama cha kwenda ila hakipo, amebaki kwenye mioyo ya raia ila chadema amekuchoka, Lisu ni mwanamapinduzi, mtu mkweli, sio mnafiki, mwanasheria anayetunza maneno, akisema tunaandamana anajua anachosema, akisema tunadai haki ana hoja zenye mashiko. amekijenga sana chadema, kwanini wanashindwa hata kumwongezea juu ile hela iliyobaki ili anunue gari? hawaoni aibu? kwani ruzuku za kina mdee zinaenda wapi? hivi huoni kitendo cha subordinate kutangaza kuchangia gari badala ya mwenyekiti ni dharau? na inaonyesha kule ndani walishindana, wakakataa kununua, akatoka nje kuomba kununuliwa na wananchi, ni dharau kwamba kwasababu mwenyekiti umekataa basi mimi nitaomba mchango kwa wananchi na nitautangaza mimi mwenyewe hata wewe usipotangaza nitautangaza mimi mwenyewe.
haya sasa, wananchi wamechanga zimetoka hela nyingi tu ila hazijatosha, kwanini msimwongezee? jazilizieni juu anunue gari.

Walipochukua posho bungeni na kwenda kula raha Dar huku wakilazimisha wananchi wawekwe Lockdown kipindi cha COVID-19 kisa tu Ulaya wapo Lockdown.huenda ulikua unawakubali mno awali,
lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa..
nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisaa wapinzani na kwamba ni watu wasio aminika tena?🐒
ni kiri tu mbele yako na mbele ya JF fraternity,Mmoja wa wakala wa watekaji ambaye kapewa jukumu la kuja JF kufanya kazi ya shetani ni huyu hapa 'Tlaatlaaa.'
Ni wazi sasa watu wajue, pamoja na kutomzuia mtu yeyote kuwasilisha maoni ndani ya JF, lakini ni wajibu wetu pia wachangiaji ndani ya jukwaa hili kuwatambua watu wanao changia kutekwa kwetu.
Jukwaa hili siyo la vichekesho, au kuja tu kuburudika. Hapa ni sehemu ya mapambano, na CCM imemtuma mtu kama huyu kuja hapa kuipambania.
Ni katika mwendelezo uleule unaofanyika sehemu zote inakopeleka utekaji wake. CCM imempa kazi ya kuja kuwateka watumiaji wa JF kwenye jukwaa hili.

Hawana jipya ni njaa njaa tu bora ubaki njia kuu(CCM) tupambane kuwapata watu sahihi sehemu sahihi kwa muda sahihi ndani ya chama kuliko kutoka nje ya chama ni uongo mtu wote ni pandikizi, wengine ni tamaa za vyeo, wengine walinyimwa vyeo wanaenda vitatufuta nje ya CCMhuenda ulikua unawakubali mno awali,
lakini kutokana na mambo mbalimbali kufanyika na kubadilika bila utararibu na kufanya upinzani kupoteza dira na uelekeo, imefikia mahali umekosa imani na matumaini nao kabisa..
nini hasa kilisababisha ukafikia hatua hiyo ya kutowaamini na kuwakatia tamaa kabisaa wapinzani na kwamba ni watu wasio aminika tena?🐒
Kidumu Chama Cha MapinduziHawana jipya ni njaa njaa tu bora ubaki njia kuu(CCM) tupambane kuwapata watu sahihi sehemu sahihi kwa muda sahihi ndani ya chama kuliko kutoka nje ya chama ni uongo mtu wote ni pandikizi, wengine ni tamaa za vyeo, wengine walinyimwa vyeo wanaenda vitatufuta nje ya CCM
Kidumu cha chama tawala

KWAHIYO MNAWASUBIRIA KIMYA KIMA WAJILETE TENA MIWANYOOSHE KWENYE SANDUKU LA KURA SIO?Kutuahidi posa-hewa kila baada ya miaka 5 kwamba wanachukua nchi na kuunda serikali, huku wakiishia tu kukomba ruzuku na kuunda purukushani vyamani.
Tuko tumekaa tunawachora tu wakijiandaa kutunadia mbwembwe zingine kibao mwaka huu na mwakani.

Tuongozwe na Russiasasa tutaongozwa na nini, kanisa au msikiti?![]()