Zurri, post: 28313732, member: 483599"]Sayansi ina habari nyingi sana,na vimbwanga kadha wa kadha. Sasa kuna maswali nataka kuuliza juu ya suala la Big Bang.
1. Nataka nipewe uthibitisho wa tukio hili kama kweli lilitokea. Na kama lilitokea,swali la pili linafata kutokana na na tukio hilo.
Big Bang ilitokea,Kuanza kwa big bang ni kama vile unapoamka kutoka usingizini,Unakuwa totally assleep with no consciusness kisha bang unaamka.Uthibitisho wakwamba big bang ilitokea ni universality of natural elements-zote zimeundwa kwa Atoms zenye protons na neutrons na kwamba idadi ya protons,neutrons na electrons ndio inatofautisha elements tofauti and hence matter.Kama unakubaliana nanchochote kati ya nilivosema hapo basi unakubali kwamba Big bang ilitokea
2. Kabla ya Big Bang kutokea,hali ilikuwaje ?
Kabla ya big bang all wa still and calm letsay there was only emptyness/ utupu/ukiwa yaani nothing had taken form,everything formless which simply means unstable and unstable things keep changing untill they find stability that is when they start taking form.So before big bang the universe was unstable,volatile,everchanging,empty
3. Mchakato wa maumbile ulikuwaje kuwaje baada ya tukio hilo kutokea ?
All that was needed was stability,balance,and everything that came out of the Big bang had one purpose to create stability humans included.And the cycle continues to maintain that stability and the universe will end if that stability comes to an end
4. Nini kilisababisha Big Bang kutokea ?
Kama nilivosema the universe was unstable so as usual unstable things will keep looking for stability and at one point and time will find it and hence the cause of the big bang was the unstability of the universe
Nitafurahi sana nikipatiwa majibu ya maswali yangu.
Tuendelee