Nini kimeifanya Rwanda ipunguze kupitishia mizigo Tanzania na kugeukia Kenya?

Nini kimeifanya Rwanda ipunguze kupitishia mizigo Tanzania na kugeukia Kenya?

Huwa nina kawaida ya kuongea au kuwasilisha nilichokiona au nilichokidadisi, watanganyika kwa Sasa hamna chenu kwenye bandari au unataka tuanze kubishana Mimi na wewe kuhusu mnufaika mkuu wa mkataba wa DP World ni nani?? Sina huo muda nenda kajadiliane na chawa mwenzio Mwashambwa.

Chuki na ubaguzi mko navyo nyie machawa, maana mmeamua kuzitupa akili zenu chooni na kutetea uozo wowote unaofanywa na serikali ya sita mathalan tu Kila mnanufaika nyie na familia zenu.... Na mtu yeyote mwenye mawazo tofauti na nyie mnamuona adui wa mama yenu, wapuuzi sana nyie
Mmiliki wa bandari ya TPA ni mimi na wewe ambao ni wale wale tuliokuwa wamiliki wakati ikiendeshwa na TICTS kwa kipindi cha miaka 20.

Na tutaendelea kuwa mimi na wewe baada ya DPW kumaliza mkataba wake. Kuza kwanza uelewa wako kuliko kutegemea hizi habari za udaku zenye kuongezewa chumvi nyingi kwa sababu wanaozianzisha wamejawa na roho za chuki za kishamba.
 
Mimi pia nimeahuhudia mizigo ya mheshimiwa Mbunge ikishukia Mombasa kuja Kigoma hebu watwambie ukweli..
 
Mmiliki wa bandari ya TPA ni mimi na wewe ambao ni wale wale tuliokuwa wamiliki wakati ikiendeshwa na TICTS kwa kipindi cha miaka 20.

Na tutaendelea kuwa mimi na wewe baada ya DPW kumaliza mkataba wake. Kuza kwanza uelewa wako kuliko kutegemea hizi habari za udaku zenye kuongezewa chumvi nyingi kwa sababu wanaozianzisha wamejawa na roho za chuki za kishamba.
Nani akuze uelewa wake? Wewe ndio wa kuniambia hivyo? Huna Cha kuniambia kuhusiana na suala lolote lile linaloendelea nchi hii hasa kwenye hii awamu ya machawa.... mnufaika mkuu wa bandari baada ya mkataba wa DP world ni waarabu na viongozi corrupted baadhi wakiongozwa na Samia, na sio mtanzania wa Kawaida.

Tatizo lenu nyie machawa mnahisi Kila mtanzania ni mpumbavu na ana uelewa duni, washenzi sana nyie.

Nina akili timamu timilifu ambazo zinafanya kazi sawa sawa Tena kuliko hata zako nyang'au mkubwa wewe.... Wewe sema labda na Mimi nivae roho ya kinafiki kama wewe na sio eti nikuze uelewa.

Endelea kutetea uozo wa serikali ya Samia kisa tu wewe na familia yako mmepata auheni ya kimaisha kutokana na maamuzi yake yanayoliumiza taifa.

Akili huna. Na huyu mama yenu hapo juu Hana maisha marefu hii awamu yake ya machawa tunaisahau.
 
Nani akuze uelewa wake? Wewe ndio wa kuniambia hivyo? Huna Cha kuniambia kuhusiana na suala lolote lile linaloendelea nchi hii hasa kwenye hii awamu ya machawa.... mnufaika mkuu wa bandari baada ya mkataba wa DP world ni waarabu na viongozi corrupted baadhi wakiongozwa na Samia, na sio mtanzania wa Kawaida.

Tatizo lenu nyie machawa mnahisi Kila mtanzania ni mpumbavu na ana uelewa duni, washenzi sana nyie.

Nina akili timamu timilifu ambazo zinafanya kazi sawa sawa Tena kuliko hata zako nyang'au mkubwa wewe.... Wewe sema labda na Mimi nivae roho ya kinafiki kama wewe na sio eti nikuze uelewa.

Endelea kutetea uozo wa serikali ya Samia kisa tu wewe na familia yako mmepata auheni ya kimaisha kutokana na maamuzi yake yanayoliumiza taifa.

Akili huna. Na huyu mama yenu hapo juu Hana maisha marefu hii awamu yake ya machawa tunaisahau.
Tatizo unapiga domo tu humu jamvini haufanyi biashara yoyote. Unageuka kuwa spika ya hoja za kipuuzi zenye kujaa ubaguzi usio na msaada wowote katika kukuza uchumi wa nchi.

Mfaidikaji wa uwepo wa DPW ni mfanyabiashara mkubwa ndio huyo kawekewa mazingira mazuri, wewe kapuku mpiga kelele humu JF hauna chochote unachoweza kuelewa kwani akilini mwako imejaa chuki peke yake.
 
1.Miundombinu yenye akili,kama ilivyokuwa wenye waliwaza SGR kufika kule Isaka.Hii ikijumjumuisha na Barabara zenye uwezo wa kufupisha masaa.
Mfano mdogo tu Barabara ya TANZAM ni kama kichochoro vile,haendani na vitu vinavyopita kabisa miaka na miaka.

2.Kodi rafiki na kuzingatia huduma zinaoendana na wakati.

3.Tuwe na uchu wa kuzitaka pesa kutoka kwa majirani hasa katika nyanja ya bandari na usafirishaji.Tuna blaa blaa nyingi sana.Wakati tuna Nchi kibao zinahitaji huduma yetu vizuri sana.
 
Mfano mdogo tu Barabara ya TANZAM ni kama kichochoro vile,haendani na vitu vinavyopita kabisa miaka na miaka.
Hii Barabara inashangaza sana. Miaka na miaka ndiyo angalau pale Mbeya wanataka kuifanya "four ways" tena kwa lengo la kisiasa na siyo kutokana na uhitaji.
 
Hii Barabara inashangaza sana. Miaka na miaka ndiyo angalau pale Mbeya wanataka kuifanya "four ways" tena kwa lengo la kisiasa na siyo kutokana na uhitaji.
Upo sahihi Mkuu, ndio uone jinsi tulivyo akili zetu.
Hii barabara haina tofuati na kichochoro cha Tandika huko.Ni hovyo hovyo..

Inashindikana nini Barabara kuu zote ziwe 4ways? Hasa zile zinazohitajika na Nchi zenye zinahitaji huduma adimu ya bandari.

Huwa hatujui tunataka nini..

Kuna uchawi mwingine huu wa Barabara ya Dom Iringa😀😀😀😀😀

Miundombinu bora ingepunguza na kuvutia watu wengi sana.

Mfano ni SGR,sema tu roho mbaya zetu na ubinafsi..ni mradi mkali sana kimkakati.

Kwa kuwa tulizoea shida shida na kutembea kwa miguu ni ngumu kuelewa sekta ya uchukuzi ikiboreshwa huboost nchi mbali sana.
 
Upo sahihi Mkuu, ndio uone jinsi tulivyo akili zetu.
Hii barabara haina tofuati na kichochoro cha Tandika huko.Ni hovyo hovyo..

Inashindikana nini Barabara kuu zote ziwe 4ways? Hasa zile zinazohitajika na Nchi zenye zinahitaji huduma adimu ya bandari.

Huwa hatujui tunataka nini..

Kuna uchawi mwingine huu wa Barabara ya Dom Iringa😀😀😀😀😀

Miundombinu bora ingepunguza na kuvutia watu wengi sana.

Mfano ni SGR,sema tu roho mbaya zetu na ubinafsi..ni mradi mkali sana kimkakati.

Kwa kuwa tulizoea shida shida na kutembea kwa miguu ni ngumu kuelewa sekta ya uchukuzi ikiboreshwa huboost nchi mbali sana.
Yaani waliochora master plan miaka 80 ndiyo mawazo yao tunayatumia hata Sasa.

Hapa Iringa kuna Barabara ya mzunguko (Ring Road) inajulikana kwa jina la " Barabara ya mita sitini" wanasiasa wanazuia isijengwe kisa na wao wamejenga ilikokusudiwa kupita Barabara hiyo.
 
Yaani waliochora master plan miaka 80 ndiyo mawazo yao tunayatumia hata Sasa.

Hapa Iringa kuna Barabara ya mzunguko (Ring Road) inajulikana kwa jina la " Barabara ya mita sitini" wanasiasa wanazuia isijengwe kisa na wao wamejenga ilikokusudiwa kupita Barabara hiyo.
Kazi ipo ...Bongo yetu hii
 
Back
Top Bottom