Kama n hivyo basi hatupo salamaHuko ndo wamejazana sasa utategemea wasemeje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama n hivyo basi hatupo salamaHuko ndo wamejazana sasa utategemea wasemeje??
Ni kazi ya CDF kufukuza hao watumishi wa umma? Huyo mama kutochukua hatua ni ishara alichosema CDF ni uongo? Kwani CDF alichosema ni maoni yake binafsi, au ni tamko la taasisi?
Kama raia tu anajua kuna wanyarwanda kwenye taasisi zetu nyeti, idara ya usalama wa taifa wao wanasemaje kuhusu hili?
Wakati bado tunaendelea kuomboleza kifo cha mfanyakazi wa TRA, Marehemu Amani Simbayao, Kuna jambo limenishangaza kidogo.
Kumbe Mwigulu Nchemba yupo. Maana zaidi ya kumkumbuka ninaposafiri na kuona mamia ya mawe huko kwenye barabara ninazopita, yameandikwa "Mwigulu Rais 2015", huwa simsikii akijibu hoja na maswali mbali mbali kwa namna ya uharaka aliouonesha kwenye jambo hili.
Rwanda ni nchi ambayo kijografia, inaifanya kutegemea nchi nyingine ili kupata mizigo yake inayopitia baharini.
Kwa kifupi Rwanda haina bahari na kwa ivo haina bandari ya baharini. Bandari za Rwanda ni zile zilizoko kwenye ziwa Viktoria.
Siku za nyuma Rwanda baada ya DRC ndiyo ilikuwa nchi inayoitegemea Bandari ya Dar es salaam kusafirishia mizigo yake kutoka na kwenda Rwanda.
Lakini baadae Rwanda ikaleta sera kwamba nchi hiyo isiwe tegemezi wa kupitishia mizigo kwenye nchi moja. Hivyo ikaanza kupitishia mizigo yake na Kenya pia.
Lakini ndani ya mwaka mmoja mambo haya yametokea. Kwanza shehena ya mizigo kupitia Kenya imeongezeka na mizigo inayopitia Tanzania imepungua.
Mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 121.45 sawa ongezeko la asilimia 361.43 (361.43%) imepitia Kenya ukilinganisha na Oktoba Mwaka jana 2023.
Idadi hiyo ya mizigo kupitia Kenya unaifanya nchi hiyo kuwa ya pili nyuma ya China ambayo imeingiza Rwanda mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani 142.08 sawa na ongezeko la 34.95% .
Kwa Tanzania uingizaji wa mizigo Rwanda kupitia Tanzania umekuwa ukipungua kwa karibia 39.04% kwa msingi wa mwezi kwa mwezi na kwa mwaka mzima uingizaji mizigo Rwanda kupitia Tanzania umepungua kwa 30.16%.
Ukilinganisha Mwezi Oktoba 2023, Rwanda imepitishia Tanzania Mizigo yenye thamani ya Dola za kimarekani milioni 57.38 pekee.
Wazee wa kushinda 99% nini kinaendelea hapa.
Simple.Wakati bado tunaendelea kuomboleza kifo cha mfanyakazi wa TRA, Marehemu Amani Simbayao, Kuna jambo limenishangaza kidogo.
Kumbe Mwigulu Nchemba yupo. Maana zaidi ya kumkumbuka ninaposafiri na kuona mamia ya mawe huko kwenye barabara ninazopita, yameandikwa "Mwigulu Rais 2015", huwa simsikii akijibu hoja na maswali mbali mbali kwa namna ya uharaka aliouonesha kwenye jambo hili.
Rwanda ni nchi ambayo kijografia, inaifanya kutegemea nchi nyingine ili kupata mizigo yake inayopitia baharini.
Kwa kifupi Rwanda haina bahari na kwa ivo haina bandari ya baharini. Bandari za Rwanda ni zile zilizoko kwenye ziwa Viktoria.
Siku za nyuma Rwanda baada ya DRC ndiyo ilikuwa nchi inayoitegemea Bandari ya Dar es salaam kusafirishia mizigo yake kutoka na kwenda Rwanda.
Lakini baadae Rwanda ikaleta sera kwamba nchi hiyo isiwe tegemezi wa kupitishia mizigo kwenye nchi moja. Hivyo ikaanza kupitishia mizigo yake na Kenya pia.
Lakini ndani ya mwaka mmoja mambo haya yametokea. Kwanza shehena ya mizigo kupitia Kenya imeongezeka na mizigo inayopitia Tanzania imepungua.
Mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 121.45 sawa ongezeko la asilimia 361.43 (361.43%) imepitia Kenya ukilinganisha na Oktoba Mwaka jana 2023.
Idadi hiyo ya mizigo kupitia Kenya unaifanya nchi hiyo kuwa ya pili nyuma ya China ambayo imeingiza Rwanda mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani 142.08 sawa na ongezeko la 34.95% .
Kwa Tanzania uingizaji wa mizigo Rwanda kupitia Tanzania umekuwa ukipungua kwa karibia 39.04% kwa msingi wa mwezi kwa mwezi na kwa mwaka mzima uingizaji mizigo Rwanda kupitia Tanzania umepungua kwa 30.16%.
Ukilinganisha Mwezi Oktoba 2023, Rwanda imepitishia Tanzania Mizigo yenye thamani ya Dola za kimarekani milioni 57.38 pekee.
Wazee wa kushinda 99% nini kinaendelea hapa.
Kama unafahamu maana CDF huwezi kusema ni story za vijiweni.Raia wanajaza habari za vijiweni wanaamini wanachotaka kuamini. Wewe ukiulizwa taja mrwanda mmoja kwenye serikali ya JMT unalo jibu?
CDF alisema kuna warwanda ndani ya serikali miaka miwili iliyopita hadi leo kashindwa kutaja hata mmoja, kama hizo sio story za vijiweni ni nini?
Hapo mwisho sasa kwenye wazee wa kushinda 99% kimekuwa kichekesho.Wakati bado tunaendelea kuomboleza kifo cha mfanyakazi wa TRA, Marehemu Amani Simbayao, Kuna jambo limenishangaza kidogo.
Kumbe Mwigulu Nchemba yupo. Maana zaidi ya kumkumbuka ninaposafiri na kuona mamia ya mawe huko kwenye barabara ninazopita, yameandikwa "Mwigulu Rais 2015", huwa simsikii akijibu hoja na maswali mbali mbali kwa namna ya uharaka aliouonesha kwenye jambo hili.
Rwanda ni nchi ambayo kijografia, inaifanya kutegemea nchi nyingine ili kupata mizigo yake inayopitia baharini.
Kwa kifupi Rwanda haina bahari na kwa ivo haina bandari ya baharini. Bandari za Rwanda ni zile zilizoko kwenye ziwa Viktoria.
Siku za nyuma Rwanda baada ya DRC ndiyo ilikuwa nchi inayoitegemea Bandari ya Dar es salaam kusafirishia mizigo yake kutoka na kwenda Rwanda.
Lakini baadae Rwanda ikaleta sera kwamba nchi hiyo isiwe tegemezi wa kupitishia mizigo kwenye nchi moja. Hivyo ikaanza kupitishia mizigo yake na Kenya pia.
Lakini ndani ya mwaka mmoja mambo haya yametokea. Kwanza shehena ya mizigo kupitia Kenya imeongezeka na mizigo inayopitia Tanzania imepungua.
Mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 121.45 sawa ongezeko la asilimia 361.43 (361.43%) imepitia Kenya ukilinganisha na Oktoba Mwaka jana 2023.
Idadi hiyo ya mizigo kupitia Kenya unaifanya nchi hiyo kuwa ya pili nyuma ya China ambayo imeingiza Rwanda mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani 142.08 sawa na ongezeko la 34.95% .
Kwa Tanzania uingizaji wa mizigo Rwanda kupitia Tanzania umekuwa ukipungua kwa karibia 39.04% kwa msingi wa mwezi kwa mwezi na kwa mwaka mzima uingizaji mizigo Rwanda kupitia Tanzania umepungua kwa 30.16%.
Ukilinganisha Mwezi Oktoba 2023, Rwanda imepitishia Tanzania Mizigo yenye thamani ya Dola za kimarekani milioni 57.38 pekee.
Wazee wa kushinda 99% nini kinaendelea hapa.
Hauna uwezo wa kujua kinachoendelea kulinganisha na meneja wa bandari anayejua shughuli zote za hapo TPA pamoja na wote walioingia mikataba na hao DPW pamoja na Adani.Mkuu nafahamu ninachokiongea, hizo bandari zote nazijua utendaji wake tangu enzi za East African Harbours Cooperation. Halafu gundua tu kuwa kijiweni kuna taarifa za ukweli zisizo rasmi.... Hiyo ndio tofauti!.
Watanganyika hamna chenu!, siasa zile zile za vijiweni za kupenda kusambaza umbea ambao mtu hana uelewa wala taarifa za kina.Serikali ya Rwanda inaongozwa na watu makini wenye maono wasiokurupuka, na wakifanya maamuzi ya jambo fulani lazima liwe na faida hata kama sio kwa muda huo, so wao kuikimbia hii bandari ya warabu(nasema ya warabu kwa sababu watanganyika hamna chenu Sasa hivi pale) lazima Kuna dosari kubwa sana wameziona ambazo serikali yetu hii kichwa Cha mwendawazimu inayolindwa na machawa haiwezi kuziona,
Hongera sana raisi Kageme hakika wewe ndio chaguo la Mungu kwa afrika hii
Waliosaini mikataba ya Adani na DPW ni marafiki zangu wa karibu pia.Aaah kumbe miaka ya 2000 basi sawa
Huyo meneja wa bandari anaishi mbinguni jomba? Hiyo mikataba na mipango ya kampuni anaifanya peke yake? Huko ofisini kwake ni kama safe anafungia kila kitu na kurudi zake mbinguni mpaka siku inayofuata?Hauna uwezo wa kujua kinachoendelea kulinganisha na meneja wa bandari anayejua shughuli zote za hapo TPA pamoja na wote walioingia mikataba na hao DPW pamoja na Adani.
Stori za vijiweni zinazungusha habari za kijinga vichwani mwetu pia zinalemaza ubongo.
Mimi nikajua ni wewe kumbe marafiki zako?Waliosaini mikataba ya Adani na DPW ni marafiki zangu wa karibu pia.
Kama unafahamu maana CDF huwezi kusema ni story za vijiweni.
Huwa nina kawaida ya kuongea au kuwasilisha nilichokiona au nilichokidadisi, watanganyika kwa Sasa hamna chenu kwenye bandari au unataka tuanze kubishana Mimi na wewe kuhusu mnufaika mkuu wa mkataba wa DP World ni nani?? Sina huo muda nenda kajadiliane na chawa mwenzio Mwashambwa.Watanganyika hamna chenu!, siasa zile zile za vijiweni za kupenda kusambaza umbea ambao mtu hana uelewa wala taarifa za kina.
TICTS walikaa pale kuanzia 2001 mpaka 2020 na wao walikuwa na chao cha moja kwa moja?. Chuki pamoja na ubaguzi vinatutesa sana.
Machawa kutoka Tanganyika wanaojipendekeza kwa huyu bibi wa kizanzibar ndio huwa wanahemkwa sana, na wakati wazanzibari wenyewe huwa wanapenda sana sisi kujitambulisha kama watanganyika na wenyewe kama wazanzibari... Maana ndio uhalisia wenyeweKwa nini Tanganyika ikitajwa huwa naona kama vile watu huchachamaa ghafla?