Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Mleta mada anahoja ya MSINGI, Mwigulu et al, lifanyieni kazi hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani wanayo treni inayoishia Nairobi. Ni masuala ya muda tu kuja kufaidika na SGR yetu.Kenya wanatumia SGR au nao ni barabara kama chichi
Mimi sina roho ya chuki iliyojaa ushamba mwingi ndani yake.Na wewe usiye 'Mbongo', unaona mazuri tu, hata yasiyo kuwepo!
Ni mara ngapi tumejibishana juu ya haya aliyo eleza hapa mkuu 'RMC'.
kama kawaida yako, maneno ni yale yale tangu DP World aingie ; na wewe ndio wakati ule ule ukaajiriwa kuingia JF kupambania mradi!
Ndio ukweli wenyewe, tatizo lenu ni lile lile la chuki ya kwanini Samia awe rais wa sita wa JMT mnachosahau au mnachokiweka pembeni vichwani mwenu ni ukweli kwamba urais unapangwa na Mungu mwenyewe alishaandikiwa tangu yupo tumboni mwa Mama yake.Hivi haya maneno uli yakariri kwamba hata siku moja hayabadiliki?
Sita shangaa ukipata jibu toka kwa 'Steve' kuwa hiyo reli wapewe DP World; lakini ukimwambia tuwape serikali ya mama na mama mwenyewe akae pembeni; hapo hutapata jibu.
Ni mteja mkubwa wa hiyo reli, inajengwa ili ilete faida kubwa za kiuchumi. Kubeba abiria ni sehemu tu ya mojawapo ya malengo ya reli lakini kikubwa iwe chanzo kimojawapo cha mapato ya hazina yetu.Kwani dp world ndo inajenga reli?
Ukiwa kiongozi wa nchi naamini unatazama malengo mapana ya kitaifa. Huyo DPW anawafaidisha wote watatu DRC, Rwanda na Tanzania na kila taifa kwa namna lilivyojipanga kibaishara.watanzania kila siku nasema, Rwanda ni kanchi ambako tunatakiwa kukaweka second choice after Burundi. hii ni kwa sababu wao ni landlocked lakini huwa wanapenda kutuendesha wapendavyo. kipindi cha kikwete walipogundua mizigo mingi inapita kwao kwenda congo, walipandisha ushuru wa kupitishia kwao hadi laki 5 kwa lori moja, na kipindi cha corona wakalazimisha magari yakifika boda madereva wao ndio wapokee. sasa, dawa yao ni moja tu, tuchepushe njia tuwe tunapiga Burundi ili wao watutafute wenyewe badala ya sisi, anajua sana udhaifu wa viongozi wetu na hutumia hiyo kama fimbo kuwachapa. reli ya SGR na barabara to congo pitishia both burundi na rwanda ili kama kagame (ambaye umri umeenda muda wowote anakata) wakileta kiburi still tutakuwa na option wateja wetu kupitia burundi kwa raha zao. rwanda kadanganya viongozi wetu waingie mkataba na DP WORLD kwa sababu yeye anajenga bandari kavu ya DP world pale rwanda ili mizigo ya congo itue pale kwake kwanza na apige ushuru. yaani hana bahari ila anatuzidi akili kwamba mizigo ipite hapa kwetu ikatue kwake yeye apige ushuru, na viongozi wetu wametoa mimacho tu. kama hiyo dp world yake atategemea mombasa peke yake, basi ngoja tuone.
Dp world wamefeli hakuna kitu wameongeza pale bandarini kabla ya wao kuja Rwanda alikuwa anatumia bandari ila wamekuja wao Rwanda anahamaNi mteja mkubwa wa hiyo reli, inajengwa ili ilete faida kubwa za kiuchumi. Kubeba abiria ni sehemu tu ya mojawapo ya kazi za hiyo reli lakini kikubwa ni iwe chanzo kimojawapo cha mapato ya hazina yetu.
Na hiyo bandari ya dar ilivyo ya hovyo watahama kweliSGR ya Kenya itapita Uganda hadi Rwanda na kuunganisha Tanzania
Ikikamilika hata watanzania watatumia Bandari ya Mombasa 😂
Sidhani kama unapitisha hapo bandarini hata kontena moja la magodoro, makelele mengine ya JF katika kuongelea masuala ambayo ufahamu wake huwa ni sifuri tu.Dp world wamefeli hakuna kitu wameongeza pale bandarini kabla ya wao kuja Rwanda alikuwa anatumia bandari ila wamekuja wao Rwanda anahama
Tujiandae withini 5 year Rwanda atatuzidi mbali mno na sie tukiendelea na ulofa wetu huu! Nchi ya kishenzi sijawahi ona 😬😬Wakati bado tunaendelea kuomboleza kifo cha mfanyakazi wa TRA, Marehemu Amani Simbayao, Kuna jambo limenishangaza kidogo.
Kumbe Mwigulu Nchemba yupo. Maana zaidi ya kumkumbuka ninaposafiri na kuona mamia ya mawe huko kwenye barabara ninazopita, yameandikwa "Mwigulu Rais 2015", huwa simsikii akijibu hoja na maswali mbali mbali kwa namna ya uharaka aliouonesha kwenye jambo hili.
Rwanda ni nchi ambayo kijografia, inaifanya kutegemea nchi nyingine ili kupata mizigo yake inayopitia baharini.
Kwa kifupi Rwanda haina bahari na kwa ivo haina bandari ya baharini. Bandari za Rwanda ni zile zilizoko kwenye ziwa Viktoria.
Siku za nyuma Rwanda baada ya DRC ndiyo ilikuwa nchi inayoitegemea Bandari ya Dar es salaam kusafirishia mizigo yake kutoka na kwenda Rwanda.
Lakini baadae Rwanda ikaleta sera kwamba nchi hiyo isiwe tegemezi wa kupitishia mizigo kwenye nchi moja. Hivyo ikaanza kupitishia mizigo yake na Kenya pia.
Lakini ndani ya mwaka mmoja mambo haya yametokea. Kwanza shehena ya mizigo kupitia Kenya imeongezeka na mizigo inayopitia Tanzania imepungua.
Mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 121.45 sawa ongezeko la asilimia 361.43 (361.43%) imepitia Kenya ukilinganisha na Oktoba Mwaka jana 2023.
Idadi hiyo ya mizigo kupitia Kenya unaifanya nchi hiyo kuwa ya pili nyuma ya China ambayo imeingiza Rwanda mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani 142.08 sawa na ongezeko la 34.95% .
Kwa Tanzania uingizaji wa mizigo Rwanda kupitia Tanzania umekuwa ukipungua kwa karibia 39.04% kwa msingi wa mwezi kwa mwezi na kwa mwaka mzima uingizaji mizigo Rwanda kupitia Tanzania umepungua kwa 30.16%.
Ukilinganisha Mwezi Oktoba 2023, Rwanda imepitishia Tanzania Mizigo yenye thamani ya Dola za kimarekani milioni 57.38 pekee.
Wazee wa kushinda 99% nini kinaendelea hapa.
Wewe unapitisha kontena ngapi?Sidhani kama unapitisha hapo bandarini hata kontena moja la magodoro, makelele mengine ya JF katika kuongelea masuala ambayo ufahamu wake huwa ni sifuri tu.
Hivi ukiwa ccm lazima uwe mpumbafu kiasi hiki,mizigo ya bandari inapungua wewe unasema hatuna hofu,atoke rwanda,atoke zambia,atokea malawi atoke congo uonre hali itakavyokuwa mbaya,hivi hujui ni mapato kiasi gani yanapatikana bandarini kwa sababu ya upitishaji wa bidhaa kwenda au kutoka kwenye hizo nchi.Deal la nchi tatu za afrika mashariki na DPW ni kubwa na lilipangwa miaka kadhaa iliyopita.
Rwanda kupitisha mizigo yao bandari ya Kenya ni maamuzi yao na hayawezi kuifanya Tanzania ikaingiwa na hofu yoyote.
Hizo hatua unachukua wewe?
Hizo hatua unachukua wewe?
Hajakosoa bali ameeleza hali halisi ilivyo.Endelea kukosoa kila kitu
kwanza tupe source ya takwimu hizo ndipo tunaweza kuchangiaWakati bado tunaendelea kuomboleza kifo cha mfanyakazi wa TRA, Marehemu Amani Simbayao, Kuna jambo limenishangaza kidogo.
Kumbe Mwigulu Nchemba yupo. Maana zaidi ya kumkumbuka ninaposafiri na kuona mamia ya mawe huko kwenye barabara ninazopita, yameandikwa "Mwigulu Rais 2015", huwa simsikii akijibu hoja na maswali mbali mbali kwa namna ya uharaka aliouonesha kwenye jambo hili.
Rwanda ni nchi ambayo kijografia, inaifanya kutegemea nchi nyingine ili kupata mizigo yake inayopitia baharini.
Kwa kifupi Rwanda haina bahari na kwa ivo haina bandari ya baharini. Bandari za Rwanda ni zile zilizoko kwenye ziwa Viktoria.
Siku za nyuma Rwanda baada ya DRC ndiyo ilikuwa nchi inayoitegemea Bandari ya Dar es salaam kusafirishia mizigo yake kutoka na kwenda Rwanda.
Lakini baadae Rwanda ikaleta sera kwamba nchi hiyo isiwe tegemezi wa kupitishia mizigo kwenye nchi moja. Hivyo ikaanza kupitishia mizigo yake na Kenya pia.
Lakini ndani ya mwaka mmoja mambo haya yametokea. Kwanza shehena ya mizigo kupitia Kenya imeongezeka na mizigo inayopitia Tanzania imepungua.
Mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 121.45 sawa ongezeko la asilimia 361.43 (361.43%) imepitia Kenya ukilinganisha na Oktoba Mwaka jana 2023.
Idadi hiyo ya mizigo kupitia Kenya unaifanya nchi hiyo kuwa ya pili nyuma ya China ambayo imeingiza Rwanda mizigo yenye thamani ya Dola za Kimarekani 142.08 sawa na ongezeko la 34.95% .
Kwa Tanzania uingizaji wa mizigo Rwanda kupitia Tanzania umekuwa ukipungua kwa karibia 39.04% kwa msingi wa mwezi kwa mwezi na kwa mwaka mzima uingizaji mizigo Rwanda kupitia Tanzania umepungua kwa 30.16%.
Ukilinganisha Mwezi Oktoba 2023, Rwanda imepitishia Tanzania Mizigo yenye thamani ya Dola za kimarekani milioni 57.38 pekee.
Wazee wa kushinda 99% nini kinaendelea hapa.
Issue ni Tanzania imeongeza Kodi kwenye bidhaa za maziwa kutoka Rwanda hiyo ndio sababu kubwa tafuta Habari acha kupiga siasa.Kuna shida bandarini na hasa utaratibu wa kutoa mzigo tena kwa gharama kubwa. Kingine ni ubovu wa barabara zetu hasa kipande cha kutoka Nyakanazi hadi kuipata border ya Rusumo. Barabara ile iko kwenye hali mbaya kwa zaidi ya miaka 6 sasa.
Japo kuna umbali mrefu kwa mzigo wa Rwanda kuingizwa kutokea Kenya na Uganda, unafuu uko kwenye ubora wa barabara za nchi hizo tatu ukilinganisha na barabara zetu. Ukiritimba na janja janja ya bandari na border post zetu inaweza kuwa sababu ya wanyarwanda kuamua kutumia bandari ya Mombasa.
Huko kusini pia hakuko salama, Malawi wako kwenye mchakato wa kuangalia uwezekano wa kuitumia bandari ya Beira zaidi na kwa mbali naona wakijaribu kufanya window shopping kwenye bandari ya Mtwara. Zambia huenda wakajiunga na Malawi kwenye mpango huo. Burundi pia wakati wa Nkurunziza walikuwa na mpango wa kujenga barabara na reli kwenye mwambao wa magharibi ya ziwa Tanganyika ili mizigo yao ipitie Kapirimposhi na Lubumbashi.
Tuendelee tu kutekana na kuuana wakati wengine wakipanga mipango imara ya kunusuru nchi zao kiuchumi.
Tuliambiwa tutaongeza efficiency! Efficiency inaweza kupimwa kwa parameters nyingi.Ilisemwa bandari wakipewa DP World mizigo inayopitia bandari ya DSM toka nchi jirani itaongezeka naona imekuwa vice versa kwa Rwanda.
Mkuu naomba data hizi aisee, ili hoja ijengwe namna ya kuishawishi serikali kuongeza mapato!Hizo porojo. Rushwa iko TRA ndio maana wafanyabiashara wa Kariakoo hadi sasa wanalia. Ili mzigo utoke kazime uwe na TRA clearance. Sio DP WORLD
Pili Kabla ya kuja hao DP World kuna uwekezaji mkubwa ulifanyika kwa mkopo wa World Bank na kwa kawaida kabla ya investment huwa tunafanya economic analysis ya projected income kwa miaka kadhaa, sasa kabla hujawasifia tafuta data kwa ule mkopo tuliokopa mapato yangekuwa kiasi gani ( net income) ambayo yote yalikuwa yanaingia hazina kwa asilimia 100. Kisha chukua baada ya kuja DP World mapato ni kiasi gani then ondoa kile wanachochukua DP World na tazama kile kunachoingia Hazina baada ya kugawana na DO World kisha ltoa kile tunacholipa mkopo wa Workd bank then lnganisha kinachobaki na kile ambacho tungepata kutokana na ule mkopo wa Works bank kama tungebaki pwke yetu
Baada,ya hapo ndio useme kama tunanufaika au la.
Tamko la mkuu wa majeshi ni story za vijiweni?!Taja wawili tu kwa mfano ambao wapo serikalini na sio watz?
Mkuu wenu wa majeshi aliropoka hadi Leo hajataja hata mmoja ili achukuliwe hatua. Mnapenda sana story za vijiweni.