Nini kimeikumba Airtel? Wameuza minara yake yote na kugeuka wapangaji!

Nini kimeikumba Airtel? Wameuza minara yake yote na kugeuka wapangaji!

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175.

Katika taarifa yake Airtel imesema itatumia baadhi ya fedha hizo kulipia madeni, kuongeza uwekezaji Tanzania na mgao kwa serikali ya Tanzania

Dili hilo litamruhusu Airtel kuendelea na shughuli zake kwenye minara hiyo lakini sasa akiwa amekodi nafasi.

Nini kimeikumba Bhati Airtel iliyowahi kutamba na Msudan Mo Ibrahim kama Celtel na kuwa 'The world's first borderless network' Afrika Mashariki?
 
Dikteta aliwabana sn kwenye haya makodi kibao
Dikteta Kilaza! ni bora uwe Dikteta halafu uwe na Elimu iliyonyooka.

mybusiness.png
 
Hapo kaamua kuuza tu ili ajikite kwenye biashara ndogo zaidi ila bado ataendelea kukarabati na ni joint venture hao.

Bharti ni pampu kubwa sana.

Biashara ni kupambana ukiona ni ina wazinguaji una badili tu na mambo ynaenda
 
Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175...
Ni kitu Cha kawaida sana kwenye biashara maana ataachana na kufatilia mambo ya ujenzi wa minara, kuweka walinzi, majenereta, mafuta.

Voda na Tigo waliishauza yao kwa HTT tangu 2014
 
Running cost ni kubwa, wamewauzia RAHA TOWER .

Pia wameuza ghorofa lao pale Morocco kwa dola milioni 172.

 
Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175...
Hapa kuna mambo makubwa mawili

1. Walikuwa wanahitaji pesa na offer ni nzuri.
2. Wanapunguza ulipaji wa kodi kwa kupangisha maana hizo tower zinatoka kuwa assets na kuwa liability. Ni kama kwenye ndege kukodi ni gharama na itapunguza kodi wanazolipa maana sasa tower ni cost. Hii vilevile itaongeza pesa za matumizi mengine cashflow
 
Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175...
Airtel Africa PLC has on Wednesday, June 2, said that it has agreed to sell Airtel Tanzania's tower portfolio to a joint venture owned by a subsidiary of SBA Communications Corp. and Paradigm Infrastructure Ltd. for $175 million.

SBA Communications is an independent owner and operator of wireless communications infrastructure, while the UK-based Paradigm Infrastructure is focused on developing, owning and operating shared wireless infrastructure in selected growth markets.

The UK listed, Africa-focused telecommunications operator said this is the latest strategic divestment of its tower portfolio as part of its shift to an asset-light business model focused on its core subscriber-facing operations.

Airtel Tanzania's tower portfolio comprises around 1,400 towers, which form part of the group's wireless telecommunications infrastructure network.

As per the agreement, the group's subsidiary Airtel Tanzania Plc will continue to develop, maintain and operate its equipment on the towers under a separate lease arrangement with the buyer companies.

The transaction is the latest strategic divestment of Airtel's tower portfolio as it focuses on an asset-light business model and on its core subscriber-facing operations.
 
Dikteta aliwabana sn kwenye haya makodi kibao
Makodi yapi?

Acha ujuha kijana!

Ifike wakati CHADEMA mrudi kama zama za Dr. Slaa na kuanza kuona kwamba haya makampuni yapo kwa maslahi yao. Airtel ina tuhuma kibao za kukwapua mtaji toka kampuni ya TTCL, nyie vijana wa Bavicha mliobalehe juzi mkiona haya mambo mnahisi Magufuli alikuwa anataka ili hizo kampuni zife.

Ifike wakati nyie washabiki wajinga wajinga wa chadema muone kwamba kampuni kama airtel haiwezi kufa kisa kodi maanaake wakiamua kukuibia wewe mbugila mbugila sh. 1 tu kwa kila mteja wanakuwa tayari wameshapata hela ya kulipa kodi.

Ifike wakati nyie washabiki wajinga wajinga wa chadema mnapotoa hoja humu muwe mnaleta na mchanganuo wa hizo kodi zilizofanya wauze minara yao.
 
Back
Top Bottom