Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Yaani unaunza nyumba halafu unaenda kupanga tena nyumba ulioiunza unapanga hiyohiyo .
Hapo kutakuwa na kitu kimejifiza nyuma ya panzia tu
Hapo kutakuwa na kitu kimejifiza nyuma ya panzia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani airtel wanauza uume mkuu au unashida ya kueleweUume au?
Nimekuelewa..Ngoja nifafanue kidogo,
Kwenye hii sekta ya Mawasiliano umiliki wa minara huenda sambamba na mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutafuta location, kujenga minara, kuifanyia marekebisho Mara kwa Mara, kuhakikisha muda wote site iko hewani, kushughulikia umeme wa site na kuweka mafuta kwenye Standby Generator, Ulinzi n.k. Yote Haya yanagharimu pesa nyingi.
Sasa makampuni ya Mitandao (i.e Voda, Tigo na sasa Airtel) yalijikuta katika wakati mgumu kuingia gharama za kujenga minara na baada ya hapo kuihudumia kila siku. (Ni sawa na mtu ulazimike kujenga nyumba kubwa ambayo kiuhalisia unahitaji hapo chumba kimoja tu). Kwamba lazima ujenge mnara wa mita hamsini ilhali kiuhalisia unahitaji nafasi ya mita tatu tu kati ya hizo hamsini zote.
Sasa ili kuepuka huu usumbufu ndipo wakaamua kuuza minara ambayo tayari walikwisha ijenga na kisha kuwa wapangaji, na yule anayeinunua anakupangisha wewe na wenzako wengine kwenye mnara huo huo uliomuuzia i.e Tigo, Smile, TTCL, Halotel etc..
Tuchukulie mfano maintanace cost ilikuwa inakugharimu Tsh. 20 kwa mwezi ila mtu anakwambia umuuzie kisha akupangishie kwa Tsh. 10 kwa mwezi na hapo unaondokana na stress za site kuzima, kuibiwa vifaa na Mafuta n.k kwa makubaliano kuwa ikitokea usipokuwa hewani kwenye huo mnara yeye mpangishaji anakulipa fidia..
Kifupi hili walilofanya Airtel sasa, lilitarajiwa kufanyika nadhani miaka ya 2016/17, ila Serikali kaweka pingamizi baada ya kubaini kuwa Airtel alipora miundo mbinu mingi ya Serikali kipindi kile TTCL imekufa.. Ndiyo maana mpaka Leo Serikali ina fungu lake ndani ya Airtel.
Ghorofa hilo siyo lao kama sikosei ghorofa ni la UWTRunning cost ni kubwa, wamewauzia RAHA TOWER .
Pia wameuza ghorofa lao pale Morocco kwa dola milioni 172.
![]()
Airtel Africa sells Tanzania towers at $175 million
Airtel Africa PLC has on Wednesday June 2, said that it has agreed to sell Airtel Tanzania's tower portfolio to a joint venture owned by a subsidiary of SBA Communications Corp. and Paradigm...www.thecitizen.co.tz
Tatizo majadiliano ya kitaalamu mnaingiza u- kada wa chama.sio kila kitu lazima muingize mambo ya siasa,Hamjioni kuwa mnaonekana wajinga!
Sasa Lissu ameingiaje hapa?
Hamjioni kuwa mnaonekana wajinga!
Sasa Lissu ameingiaje hapa?
Wewe umetoa jibu zuri. Kuna wengine hata kufikiri mara mbili hawawezi. Unajua kampuni zinapiga mahesabu: gharama ya kusimamia minara vs kukodi. Bila shaka wameona kukodi inalipa zaidi. Ni kama unavyokuta kampuni kama Voda mambo ya customer care walivyo outsource. Au unakuta kampuni badala ya kaajiri vibarau eg wa kufanya usafi wanawapa tenda kampuni nyingine.Ni kitu Cha kawaida sana kwenye biashara maana ataachana na kufatilia mambo ya ujenzi wa minara, kuweka walinzi, majenereta, mafuta.
Voda na Tigo waliishauza yao kwa HTT tangu 2014
Mkampuni mengi duniani yanafanya hivyo. kuendesha ile minara siyo kitu rahisi kama unavyodhani. Kuna kampuni moja yenye mtandao wa maduka makubwa Europe juzi juzi wameuza moja ya majengo yake makubwa yalikuwa na maduka halafu wakaendelea kuwa wapangaji.Yaani unaunza nyumba halafu unaenda kupanga tena nyumba ulioiunza unapanga hiyohiyo .
Hapo kutakuwa na kitu kimejifiza nyuma ya panzia tu
You can't be serious..revisit your article comprehension skills. Kuna jengo Tz hii lina gharama ya dola milioni 172?Running cost ni kubwa, wamewauzia RAHA TOWER .
Pia wameuza ghorofa lao pale Morocco kwa dola milioni 172.
![]()
Airtel Africa sells Tanzania towers at $175 million
Airtel Africa PLC has on Wednesday June 2, said that it has agreed to sell Airtel Tanzania's tower portfolio to a joint venture owned by a subsidiary of SBA Communications Corp. and Paradigm...www.thecitizen.co.tz
Hapa mi najiuliza. Kama kupaendesha patakugharimu tsh 20 na ukipanga unapalipia tsh10 wakati uliyemuuzia anapaendesha kwa gharama zilezile ambazo umezikwepa wewe. Je nikivipi atapata faida?Ngoja nifafanue kidogo,
Kwenye hii sekta ya Mawasiliano umiliki wa minara huenda sambamba na mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutafuta location, kujenga minara, kuifanyia marekebisho Mara kwa Mara, kuhakikisha muda wote site iko hewani, kushughulikia umeme wa site na kuweka mafuta kwenye Standby Generator, Ulinzi n.k. Yote Haya yanagharimu pesa nyingi.
Sasa makampuni ya Mitandao (i.e Voda, Tigo na sasa Airtel) yalijikuta katika wakati mgumu kuingia gharama za kujenga minara na baada ya hapo kuihudumia kila siku. (Ni sawa na mtu ulazimike kujenga nyumba kubwa ambayo kiuhalisia unahitaji hapo chumba kimoja tu). Kwamba lazima ujenge mnara wa mita hamsini ilhali kiuhalisia unahitaji nafasi ya mita tatu tu kati ya hizo hamsini zote.
Sasa ili kuepuka huu usumbufu ndipo wakaamua kuuza minara ambayo tayari walikwisha ijenga na kisha kuwa wapangaji, na yule anayeinunua anakupangisha wewe na wenzako wengine kwenye mnara huo huo uliomuuzia i.e Tigo, Smile, TTCL, Halotel etc..
Tuchukulie mfano maintanace cost ilikuwa inakugharimu Tsh. 20 kwa mwezi ila mtu anakwambia umuuzie kisha akupangishie kwa Tsh. 10 kwa mwezi na hapo unaondokana na stress za site kuzima, kuibiwa vifaa na Mafuta n.k kwa makubaliano kuwa ikitokea usipokuwa hewani kwenye huo mnara yeye mpangishaji anakulipa fidia..
Kifupi hili walilofanya Airtel sasa, lilitarajiwa kufanyika nadhani miaka ya 2016/17, ila Serikali kaweka pingamizi baada ya kubaini kuwa Airtel alipora miundo mbinu mingi ya Serikali kipindi kile TTCL imekufa.. Ndiyo maana mpaka Leo Serikali ina fungu lake ndani ya Airtel.
Mnara mmoja anapangisha kampuni hata 4, hapo anakuwa kapata tsh 10. Faida tsh 30Hapa mi najiuliza. Kama kupaendesha patakugharimu tsh 20 na ukipanga unapalipia tsh10 wakati uliyemuuzia anapaendesha kwa gharama zilezile ambazo umezikwepa wewe. Je nikivipi atapata faida?
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mnunuzi anaweza kuwapangishia watu wengi wakafanya cost sharingHapa mi najiuliza. Kama kupaendesha patakugharimu tsh 20 na ukipanga unapalipia tsh10 wakati uliyemuuzia anapaendesha kwa gharama zilezile ambazo umezikwepa wewe. Je nikivipi atapata faida?
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hii tofauti mkuu, Airtel mwanzo alikuwa mmiliki wa minara, ameamua kuiuza na kuwa mpangaji. Ni sawa na wewe ujenge nyumba, uamue kuiuza kisha umwambie uliyemuuzia akupangishe.
Running cost ni kubwa, wamewauzia RAHA TOWER .
Pia wameuza ghorofa lao pale Morocco kwa dola milioni 172.
![]()
Airtel Africa sells Tanzania towers at $175 million
Airtel Africa PLC has on Wednesday June 2, said that it has agreed to sell Airtel Tanzania's tower portfolio to a joint venture owned by a subsidiary of SBA Communications Corp. and Paradigm...www.thecitizen.co.tz
Hii tofauti mkuu, Airtel mwanzo alikuwa mmiliki wa minara, ameamua kuiuza na kuwa mpangaji. Ni sawa na wewe ujenge nyumba, uamue kuiuza kisha umwambie uliyemuuzia akupangishe.