Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
alikuwa anachota huko hela aafu anawalazimisha wampe gawio.Dikteta aliwabana sn kwenye haya makodi kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwa anachota huko hela aafu anawalazimisha wampe gawio.Dikteta aliwabana sn kwenye haya makodi kibao
follow link and read yourself, inajumuisha ghorofa na minara ambayo imehusisha kampuni ya "hellois towers"
Kaumiza sn watualikuwa anachota huko hela aafu anawalazimisha wampe gawio.
Helios ni contractor WA uendeshaji na maintenance we boya sio mmiliki
Kwa sababu hupangi peke yakoHapa mi najiuliza. Kama kupaendesha patakugharimu tsh 20 na ukipanga unapalipia tsh10 wakati uliyemuuzia anapaendesha kwa gharama zilezile ambazo umezikwepa wewe. Je nikivipi atapata faida?
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
CHADEMA ndio walikuwa wanaendesha nchi, ilipoingia CCM mwaka 2015 ndio wakaanza kwanyosha matajiri waishi kama mashetani.We ni Fala Airtel wakati wanakwapua mitaji ya TTCL serikali ilikuwa wapi ,we mbwa ?
Kichwa boga
Hii si kwa airtel pekee.. tiGo na VodaCom walishauza baadhi ya minara yao, ukiondoa switches... Unawafahamu HELIOS TOWERS (HTT)?Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175.
Katika taarifa yake Airtel imesema itatumia baadhi ya fedha hizo kulipia madeni, kuongeza uwekezaji Tanzania na mgao kwa serikali ya Tanzania
Dili hilo litamruhusu Airtel kuendelea na shughuli zake kwenye minara hiyo lakini sasa akiwa amekodi nafasi.
Nini kimeikumba Bhati Airtel iliyowahi kutamba na Msudan Mo Ibrahim kama Celtel na kuwa 'The world's first borderless network' Afrika Mashariki?
Tanzania communications regulatory fines Raha Sh11.8 billion
Friday August 28 2020
Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) on Friday, August 28, struck Raha Limited with a Sh11.8 billion fine over violation of communications regulations.
The leading internet service provider is also accused of using radio communication frequencies in the range of 1452-1482 MHZ without possessing a valid license since March 24 this year.
"Let me put it clear on this. Frequency is very sensitive due to security reasons and that is why no one is allowed to use it without a permit from the regulator. The company has totally violated communions regulations," said TCRA Director General James Kilaba.
Raha Limited has recently rebranded to Raha Liquid Telecom.
Mr Kilaba said that Raha is required to pay the fine within 90 days and should they fail further action will be taken against them.
According to Mr Kilaba should Raha find the regulator’s ruling unfair, ‘they can appeal to Fair Competition Tribunal (FCT)’.
Link: Tanzania communications regulatory fines Raha Sh11.8 billion
Ghorofa lile lilikuwa la AIRTEL?Running cost ni kubwa, wamewauzia RAHA TOWER .
Pia wameuza ghorofa lao pale Morocco kwa dola milioni 172.
![]()
Airtel Africa sells Tanzania towers at $175 million
Airtel Africa PLC has on Wednesday June 2, said that it has agreed to sell Airtel Tanzania's tower portfolio to a joint venture owned by a subsidiary of SBA Communications Corp. and Paradigm...www.thecitizen.co.tz
Ww ni mjinga hujui kitu.....Dikteta aliwabana sn kwenye haya makodi kibao
Lala kwa shemeji yako mpuuzi weweWw ni mjinga hujui kitu.....
Jinga kabisa ww. .Lala kwa shemeji yako mpuuzi wewe
Bwashee hajatoka mkuu?Jinga kabisa ww. .
unahemkwa kweli
Ww jinga usiwe mkurupukajiBwashee hajatoka mkuu?