Nini kimeikumba Airtel? Wameuza minara yake yote na kugeuka wapangaji!

Nini kimeikumba Airtel? Wameuza minara yake yote na kugeuka wapangaji!

Serikali ya Tanzania haina hisa Airtel Tanzania?
Kama wanahisa. Je watapata gawio lolote?
 
Nimesoma kwamba asilimia kubwa ya hizi pesa itakwenda kwenye kulipia madeni ya Airtel!!
 
Wezi tu hao wadosi, tumeamka hakuna longolongo kama zamani..
 
We ni Fala Airtel wakati wanakwapua mitaji ya TTCL serikali ilikuwa wapi ,we mbwa ?
CHADEMA ndio walikuwa wanaendesha nchi, ilipoingia CCM mwaka 2015 ndio wakaanza kwanyosha matajiri waishi kama mashetani.
 
Kichwa boga

Sawa changia mada kimantiki ,sio muda wote ni kutukana tu,nashangaa unaitetea chadema kwa mitusi ,nyie ndio mnafanya bavicha waonekane wahuni....Chadema hakuna mtu asiye na hoja kwenye mada ,matusi tumezoea kutoka kwa ccm.

Fanya research kwanza kabla ya keueleza jambo humu JF ,Helios Tower inamiliki zaidi ya Towers 3500 Tanzania nzima na makampuni ya simu baadhi wamepangisha kwenye Towers zao...Unaelezwa ukweli unabaki kutukana tu......Maintanance wanafanya kwa sababu ni tower zao!
 
Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175.

Katika taarifa yake Airtel imesema itatumia baadhi ya fedha hizo kulipia madeni, kuongeza uwekezaji Tanzania na mgao kwa serikali ya Tanzania

Dili hilo litamruhusu Airtel kuendelea na shughuli zake kwenye minara hiyo lakini sasa akiwa amekodi nafasi.

Nini kimeikumba Bhati Airtel iliyowahi kutamba na Msudan Mo Ibrahim kama Celtel na kuwa 'The world's first borderless network' Afrika Mashariki?
Hii si kwa airtel pekee.. tiGo na VodaCom walishauza baadhi ya minara yao, ukiondoa switches... Unawafahamu HELIOS TOWERS (HTT)?

Ni kwamba makampuni ya simu yaliamua kubaki na core business tu..!! KUUZA AIRTIME... Haya mambo ya surpoting functions waliamua kuwaachia wengine.. mfano Call centers zilipelekwa kwa wengine (airtel waliwapa SPANCO), IT ilipelekwa kwa wengine (Airtel waliwapa IBM), Network department, kwa wakati huo, airtel waliwapa Nokia Siemans (NSN) etc... Hawataki mambo ya kuwalipa wenye ardhi ilikojengwa minara, hawataki kumiliki majengo etc

HIVYO SI JAMBO GENI... Hapo kabla Airtel towers ilikuwa zinunuliwe na AMERICAN TOWERS COMPANY lakini ilishindikana kwa sababu ya shares za Serikali kwa airtel.. SIJAJUA WAMASOTI VIPI HILO, LAKINI NI MPANGO WA MUDA MREFU KAMA ILIVYO KWA tiGo na VodaCom
 
Kwa nini mnunuzi amefichwa?
Kuna mtu hapa amesema ni RAHA!
Je ni huyu aliyepigwa faini na serikali na baadae akabadilisha jina?
Je faini walishalipa?

Tanzania communications regulatory fines Raha Sh11.8 billion​

Friday August 28 2020​

Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) on Friday, August 28, struck Raha Limited with a Sh11.8 billion fine over violation of communications regulations.
The leading internet service provider is also accused of using radio communication frequencies in the range of 1452-1482 MHZ without possessing a valid license since March 24 this year.
"Let me put it clear on this. Frequency is very sensitive due to security reasons and that is why no one is allowed to use it without a permit from the regulator. The company has totally violated communions regulations," said TCRA Director General James Kilaba.
Raha Limited has recently rebranded to Raha Liquid Telecom.
Mr Kilaba said that Raha is required to pay the fine within 90 days and should they fail further action will be taken against them.
According to Mr Kilaba should Raha find the regulator’s ruling unfair, ‘they can appeal to Fair Competition Tribunal (FCT)’.
Link: Tanzania communications regulatory fines Raha Sh11.8 billion
 
Kwenye hii industry huwezi kuwa na kampuni ya simu at the same time ukawa na minara hiyo ni kazi ya kampuni nyingine
 
Back
Top Bottom