Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Mbona hilo ni jambo la kawaida sana.Ukiona hivyo huyo muhindi wa Airtel keshaona fursa nyingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hilo ni jambo la kawaida sana.Ukiona hivyo huyo muhindi wa Airtel keshaona fursa nyingine.
Swali zuri.Hapa mi najiuliza. Kama kupaendesha patakugharimu tsh 20 na ukipanga unapalipia tsh10 wakati uliyemuuzia anapaendesha kwa gharama zilezile ambazo umezikwepa wewe. Je nikivipi atapata faida?
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hapa kunawawekezaji wawili ,ambao ni kampuni binafsi(nimesahau jina)na serikali yenyewe ,sasa tuseme serikali imefilisika au imejifilisi ,ili ijikwepe KODI yetu.aiseHaiwezi kuwa technique ya kukwepa kodi hii?
Uwekezaji wa Mhindi siku zote huwa na konakona nyingi.kifupi sishangaiKampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175.
Katika taarifa yake Airtel imesema itatumia baadhi ya fedha hizo kulipia madeni, kuongeza uwekezaji Tanzania na mgao kwa serikali ya Tanzania
Dili hilo litamruhusu Airtel kuendelea na shughuli zake kwenye minara hiyo lakini sasa akiwa amekodi nafasi.
Nini kimeikumba Bhati Airtel iliyowahi kutamba na Msudan Mo Ibrahim kama Celtel na kuwa 'The world's first borderless network' Afrika Mashariki?
Mada haijazungumziwa chama,imezungumzwa Airtel,kwa Nini Kila wakati unaweka uchama tu?Makodi yapi?
Acha ujuha kijana!
Ifike wakati CHADEMA mrudi kama zama za Dr. Slaa na kuanza kuona kwamba haya makampuni yapo kwa maslahi yao. Airtel ina tuhuma kibao za kukwapua mtaji toka kampuni ya TTCL, nyie vijana wa Bavicha mliobalehe juzi mkiona haya mambo mnahisi Magufuli alikuwa anataka ili hizo kampuni zife.
Ifike wakati nyie washabiki wajinga wajinga wa chadema muone kwamba kampuni kama airtel haiwezi kufa kisa kodi maanaake wakiamua kukuibia wewe mbugila mbugila sh. 1 tu kwa kila mteja wanakuwa tayari wameshapata hela ya kulipa kodi.
Ifike wakati nyie washabiki wajinga wajinga wa chadema mnapotoa hoja humu muwe mnaleta na mchanganuo wa hizo kodi zilizofanya wauze minara yao.
Wow!Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175.
Katika taarifa yake Airtel imesema itatumia baadhi ya fedha hizo kulipia madeni, kuongeza uwekezaji Tanzania na mgao kwa serikali ya Tanzania
Dili hilo litamruhusu Airtel kuendelea na shughuli zake kwenye minara hiyo lakini sasa akiwa amekodi nafasi.
Nini kimeikumba Bhati Airtel iliyowahi kutamba na Msudan Mo Ibrahim kama Celtel na kuwa 'The world's first borderless network' Afrika Mashariki?
Outsourcing is the delegation of non-core operations from internal production to an external entity specializing in the management of that operation.The same to voda na tigo walikua wanamiliki wakauza so walichofanya airtel sio kigeni….. wanapunguza management headache na kuongeza ufanisi zaidi
Serikali ina hisa na kwenye top management kuna waTZ pia. Ni mikakati ya biashara tu. Wanapunguza usumbufu wa kuservice minara.Ukiona hivyo huyo muhindi wa Airtel keshaona fursa nyingine.
Wewe ni MPUMBAVU wa mwaka huuDikteta aliwabana sn kwenye haya makodi kibao
Sio kweli mnasoma wapi hadi Kiingereza hamjui,ukisoma towers unajua ni ghorofa soma vizuri habari yote uilewe context yake. Hiyo habari ni kuuza hiyo minara. Pale Morocco jengo lile sio lao wamepangishwa na UWT ya CCM.Running cost ni kubwa, wamewauzia RAHA TOWER .
Pia wameuza ghorofa lao pale Morocco kwa dola milioni 172.
![]()
Airtel Africa sells Tanzania towers at $175 million
Airtel Africa PLC has on Wednesday June 2, said that it has agreed to sell Airtel Tanzania's tower portfolio to a joint venture owned by a subsidiary of SBA Communications Corp. and Paradigm...www.thecitizen.co.tz
Airtel wamemuibia ttcl au wameiibia serikali ya ccm tena serikali ikiwa madarakani na iliiba kwa kushirikiana na wanaccm wenyewe?Makodi yapi?
Acha ujuha kijana!
Ifike wakati CHADEMA mrudi kama zama za Dr. Slaa na kuanza kuona kwamba haya makampuni yapo kwa maslahi yao. Airtel ina tuhuma kibao za kukwapua mtaji toka kampuni ya TTCL, nyie vijana wa Bavicha mliobalehe juzi mkiona haya mambo mnahisi Magufuli alikuwa anataka ili hizo kampuni zife.
Ifike wakati nyie washabiki wajinga wajinga wa chadema muone kwamba kampuni kama airtel haiwezi kufa kisa kodi maanaake wakiamua kukuibia wewe mbugila mbugila sh. 1 tu kwa kila mteja wanakuwa tayari wameshapata hela ya kulipa kodi.
Ifike wakati nyie washabiki wajinga wajinga wa chadema mnapotoa hoja humu muwe mnaleta na mchanganuo wa hizo kodi zilizofanya wauze minara yao.
Kwa mkataba wa kifisadi wakina lowasa ambapo uwt wameambulia maumivu tu, enzi zetu pale tulikuwa tunakula bata enzi za gogo hotelSio kweli mnasoma wapi hadi Kiingereza hamjui,ukisoma towers unajua ni ghorofa soma vizuri habari yote uilewe context yake. Hiyo habari ni kuuza hiyo minara. Pale Morocco jengo lile sio lao wamepangishwa na UWT ya CCM.
Pia wameuza ghorofa lao pale Morocco kwa dola milioni 172.
Unaemuuzia anawapangisha wengi mkuu kwenye mnara huohuo mmoja, mfano voda, tigo, airtel na halo wote wakipanga hapo ni sh40 hapo, halafu watu hawajui kuwa airtel ndio wamwisho kuuza tigo, halotel na voda walishauza kitambo ndio maana unakuta kuna site wanasheaHapa mi najiuliza. Kama kupaendesha patakugharimu tsh 20 na ukipanga unapalipia tsh10 wakati uliyemuuzia anapaendesha kwa gharama zilezile ambazo umezikwepa wewe. Je nikivipi atapata faida?
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ni la UWT ila kuna mkataba uliingiwa kifisadi matokeo yake uwt wanapata kiduchu mnoHukijui unachokiongea boss[emoji4] ghorofa dola million 172? Lile jengo kwanza sio lao wamepanga ni la manji
follow link and read yourself, inajumuisha ghorofa na minara ambayo imehusisha kampuni ya "hellois towers"Lile gorofa halina thamani hii ulivyoandika, hata 10% ya hii bei bado ni kubwa sana mzee.
Rudia kumsoma tena utaelewa...mnara mmoja unaweza kuwa na wapangaji zaidi ya mmoja, huoni kama ni win win situation? Mpangaji anapata kwa bei ya chini na mpangishaji anapata pato kubwa toka kwa wapangaji wengi.Hapa mi najiuliza. Kama kupaendesha patakugharimu tsh 20 na ukipanga unapalipia tsh10 wakati uliyemuuzia anapaendesha kwa gharama zilezile ambazo umezikwepa wewe. Je nikivipi atapata faida?
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app