Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice?

X10 = 35,000.
Angekuwa anakunywa kamoja afadhali. Sasa unakuta anakunywa vingi. Tena anamgongea pasi na best ake umuhudumie...

Hahahaha ndo maana mm ht iweje npeqe ofa lazima nitembee na amount mtu kuna siku una fwashteshen unaham ujipombekee kumbe ww unanihesabia visiminofu 10πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
Wabongo bana mnakuwa weledi na bidii wa vitu vidogovidogo na vya kijingajinga. Tungekuwa na bidii kama hii ya kutaka kuishi maisha mazuri na uchumi kwa kila mbongo


Fanyeni kazi aiseee
TuFanye kazi myebusi tu enjoy maisha
 
Hqhaa umeanza lalamika tu mapema hvi..hahaa kuna hatari ya kunywa smirnofu 2 ukachikichia..hehehe lol
Noo! Mbaya ni pale unapokuwa hujui uwezo wa mtu fulani kugida pombe... Maadam najua uwezo wako hauzidi kumi, so sitashangaa ukiwa unazidondosha kama nazi! Najua tu kuwa natenga elfu hamsini ya 'kukumaliza'...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…