ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
- Thread starter
- #81
Wanywaji..
uzi wa walevi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzi wa walevi huu
Vp smirnoff 007?
Dah! Haka ka Sminorff kametoboa mifuko ya wakaka! Ukienda bar ukampa binti ofa, atakwambia nakunywa Sminorff!
X10 = 35,000.buku 3500 tu jaman unalalamika?duh..
X10 = 35,000.
Angekuwa anakunywa kamoja afadhali. Sasa unakuta anakunywa vingi. Tena anamgongea pasi na best ake umuhudumie...
Eeeh! Nikishaona unakunywa kutia hasara, nakuagizia bapa upambane nalo!Hahahaha ndo maana mm ht iweje npeqe ofa lazima nitembee na amount mtu kuna siku una fwashteshen unaham ujipombekee kumbe ww unanihesabia visiminofu 10😂😂!
Hhahaha ila ukiona mtu ametandika smirnof 10.huyo mheshim..mm mwisho kbs kbs huwa 7!yaan hapo nakuwa level sana sana sana..kali sana hii kituEeeh! Nikishaona unakunywa kutia hasara, nakuagizia bapa upambane nalo!
Duh! Vp kwenye kutoa mzigo ukishatandika hizo saba? Nikikupiga ofa ya saba, bado utabana mzigo?Hhahaha ila ukiona mtu ametandika smirnof 10.huyo mheshim..mm mwisho kbs kbs huwa 7!yaan hapo nakuwa level sana sana sana..kali sana hii kitu
Duh! Vp kwenye kutoa mzigo ukishatandika hizo saba? Nikikupiga ofa ya saba, bado utabana mzigo?
Daah! Hapo utakuwa umetia hasara...mimi nikilewa ndo usiniguse kbsaa...hahaa sipend kbs!napenda kucheza music na kulala tu! lol
😂😂😂 si nakunywa kwa hela zangu mkuu🤔! au untaka kunipa ofa..nipe tuone😂Daah! Hapo utakuwa umetia hasara...
TuFanye kazi myebusi tu enjoy maishaWabongo bana mnakuwa weledi na bidii wa vitu vidogovidogo na vya kijingajinga. Tungekuwa na bidii kama hii ya kutaka kuishi maisha mazuri na uchumi kwa kila mbongo
Fanyeni kazi aiseee
Eeeh! Ntakupeleka The Great Park Tabata... Then we will see what happens next... 😛 😀😂😂😂 si nakunywa kwa hela zangu mkuu🤔! au untaka kunipa ofa..nipe tuone😂
Hqhaa umeanza lalamika tu mapema hvi..hahaa kuna hatari ya kunywa smirnofu 2 ukachikichia..hehehe lolEeeh! Ntakupeleka The Great Park Tabata... Then we will see what happens next... 😛 😀
Noo! Mbaya ni pale unapokuwa hujui uwezo wa mtu fulani kugida pombe... Maadam najua uwezo wako hauzidi kumi, so sitashangaa ukiwa unazidondosha kama nazi! Najua tu kuwa natenga elfu hamsini ya 'kukumaliza'...Hqhaa umeanza lalamika tu mapema hvi..hahaa kuna hatari ya kunywa smirnofu 2 ukachikichia..hehehe lol
Lini nikupe offer?Hqhaa umeanza lalamika tu mapema hvi..hahaa kuna hatari ya kunywa smirnofu 2 ukachikichia..hehehe lol
Asante mzee baba sipo dar kwasasaLini nikupe offer?
Ukirudi nitafute... Hata nauli ya kukutoa mkoani nitatuma ili mradi uje ufaidi za offer! 😀 😛Asante mzee baba sipo dar kwasasa
😂😂😂unatuma then nakimbia ID mazima😅! lolUkirudi nitafute... Hata nauli ya kukutoa mkoani nitatuma ili mradi uje ufaidi za offer! 😀 😛
Basi itakuwa hasara kwangu!😂😂😂unatuma then nakimbia ID mazima😅! lol