Hebu tuendelee kufuatilia .. haiwezekani starehe yetu ipotezwe kizembe tu hivi bila kufanya juhudi!Unfortunately yes mkuu.
Ila leo nimeona kitu kama carton ya smirnoff black ice ya kopo kwenye picha ambayo mtu alipost somewhere hapa JF. Nilipomhoji hakujibu.
Imenipa matumaini kuwa huenda kwenye supermarkets kubwa itakuwepo ya kopo.
Nitafuatilia
Msamehe tu kaka...akibalehe ataachaMaisha siyo kazi tu naona umekalili kuwa maisha ni kazi tu kuna vitu vingine nje baada ya kazi
mungu mwenyewe kipindi cha uumbaji aliumba dunia siku sita ila siku ya saba akapumzika je unajua alipopumzika alikuwa anatumia nini totoz, bwax, au alilala tu ujui
Kazi na bata, wewe kama umeamua kufanya kazi masaa 24 komaa tu acha wengine wajadili vitu vingine
Ujuaji mwingi ujui je kama mleta mada ni afisa masoko wa smine off yupo kukipa promo kinywaji chake uoni anafanya kazi
Acheni kujifanya mnaakili sana kuzidi wengine
Hazipo mkuuu hazipo pale!Eeeh! Ntakupeleka The Great Park Tabata... Then we will see what happens next... [emoji14] 😀
Mkuu hizo hazina TBS huogopi sumu?Mimi awamu hii nakunywa Kayoga, Kimpumu, Ulanzi, Gongo, Mnazi, Komoni, Mbege, Wanzuki, yani za viwandani nshasahau kabisa.
Pamoja mkuu,wengine sio zoazoa kwnye tyoe hizi,chata zote twende kaziHaipandi boss. Ile ni vodka kama vodka.
Pamoja mkuu,wengine sio zoazoa kwnye tyoe hizi,chata zote twende kazi
Mimi mzee wa kayoga na wanzuki nawasindikiza hata kwa kelele za mwandiko tu.Ya kuchanganya mkuu haiji as perfect.
Utazidisha limao, au kvant, au barafu. Hupati ile perfect solution.
Mimi awamu hii nakunywa Kayoga, Kimpumu, Ulanzi, Gongo, Mnazi, Komoni, Mbege, Wanzuki, yani za viwandani nshasahau kabisa.
Mimi mzee wa kayoga na wanzuki nawasindikiza hata kwa kelele za mwandiko tu.
Marhabaa na ni swadakta mkuu.Chama linaitwa "inueni mioyo"!Chama lenu hilo...
It is back.Mimi mwenyewe nashangaa kwanini haipatikani. Yani sometimes hata kwenye pubs kubwa na zamaana.
Watu tuisopenda vilevi vichungu. Smine off black ice
Imerudi mkuu. Starehe yetu imerudi. Naishusha as we speak.Hebu tuendelee kufuatilia .. haiwezekani starehe yetu ipotezwe kizembe tu hivi bila kufanya juhudi!
Imerudi mkuu. Starehe yetu imerudi. Naishusha as we speak.
The great park tabataWap hiyo mkuu
The great park tabata
Vp mkuu bei ni ile ile au kuna mabadiliko?Imerudi mkuu. Starehe yetu imerudi. Naishusha as we speak.