Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice?

Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice?

Unfortunately yes mkuu.

Ila leo nimeona kitu kama carton ya smirnoff black ice ya kopo kwenye picha ambayo mtu alipost somewhere hapa JF. Nilipomhoji hakujibu.

Imenipa matumaini kuwa huenda kwenye supermarkets kubwa itakuwepo ya kopo.

Nitafuatilia
Hebu tuendelee kufuatilia .. haiwezekani starehe yetu ipotezwe kizembe tu hivi bila kufanya juhudi!
 
Maisha siyo kazi tu naona umekalili kuwa maisha ni kazi tu kuna vitu vingine nje baada ya kazi

mungu mwenyewe kipindi cha uumbaji aliumba dunia siku sita ila siku ya saba akapumzika je unajua alipopumzika alikuwa anatumia nini totoz, bwax, au alilala tu ujui

Kazi na bata, wewe kama umeamua kufanya kazi masaa 24 komaa tu acha wengine wajadili vitu vingine


Ujuaji mwingi ujui je kama mleta mada ni afisa masoko wa smine off yupo kukipa promo kinywaji chake uoni anafanya kazi

Acheni kujifanya mnaakili sana kuzidi wengine
Msamehe tu kaka...akibalehe ataacha
 
Mimi awamu hii nakunywa Kayoga, Kimpumu, Ulanzi, Gongo, Mnazi, Komoni, Mbege, Wanzuki, yani za viwandani nshasahau kabisa.
 
Iko wapi hii kitu? Nimebakiwa na kumbukumbu ya chupa tu!
20190827_140520.jpeg
 
Zimerudi I swear.

Dah! God bless whoever made this possible.
 
Imerudi mkuu. Starehe yetu imerudi. Naishusha as we speak.
Vp mkuu bei ni ile ile au kuna mabadiliko?

Nakumbuka 1st time kuonja hii kitu ilikua 2011, and since then ndo kikawa kinywaji changu pendwa. Hiki kinatufaa ambao hatutumii bia na vinywaji vikali
 
Back
Top Bottom