Misimamo kwenye vitu vingi ayo ya uasi umeongea ww, walikijenga chama then anakujamwana kuja na cheo wanampa, sasa tu kuanzia hapo wana misimamo gani yani walimuingiza adui hadi chumbani wanavurugana wenyewe kwa wenyewe chadema wamejiua wenyeweMsimamo kwenye nini?. Ulitaka waanzishe kikundi cha uasi?. Endeleeni na ccm hamna aliyewakataza.
TrueKiukweli CHADEMA haijafa, sema imekuwa "dormant".
Siku CHADEMA ikipata mwenyekiti mpya mwenye kujitambua na mwenye misimamo mikali, hakika CHADEMA watachukua madaraka ya hii nchi.
Andika kwa kiswahili tuelewane kijana...Mlishakalili ayo ayo tu kwan hakunaga point zingne imekuwa as if mashairi jmnii kwan chadm si imeanza zamni kabla ya magu kuingia madarakani mbna mlikuwaga ivo ivo 2 toka enzi kwaiy nie toka mmeanzishaga chama chenu mnaibiwaga tu kura na kuonewa miaka yote iyoo hamjashika nchiii basi tutawaona na apa kwa samia
Punguzeni unafiki jamani!Kilichoiua chadema ni natural coincidences zilizotokea wakati wa uchaguzi wa 2015.
Within chadema yenyewe kulitokea ukengeufu wa kumtosa Dr Slaa na kumleta Lowassa kuwa mgombea wa urais. Wale wasioamini ktk unyumbu hawakufurahishwa na hicho kitendo. Hicho kiliifanya chadema kutoaminika.
Outside chadema, ccm wakachagua jembe, Hayati Dr John Pombe Magufuli (rip) kuwa mgombea wa urais, ambaye aliihuisha na kuipa uhai mpya ccm ambayo ilikuwa imejifia kama chadema ya sasa hivi.
Vichaa wanazidi kuongezeka kwa kasi safari mtatembea mnaimba ChademaKuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema
Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti
akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe
Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema
Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote
Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake
tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Hizi ni ng'ombe zilezile chadema ni imara sana sasa ukichezea moto tuuuuuuTuanze kutafuta sababu ya kifo cha chichiemu kwanza.
Sisi tunajua yule mwovu aliyetumia mabilioni ya kodi zetu kujaribu kuiua Chadema ndiye amekufa na yuko motoni anapokea mshahara wa maovu yake lakini Chadema ipo sana tuKuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema
Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti
akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe
Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema
Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote
Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake
tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Sasa kuna hoja gani ya kujibu hapo kwenye andiko lako? Chawa kama chawa huna jipya zaidi ya kunyonya wenzako tu hapo lumumbaMasikio na macho yako yakitaka kusikia au kusoma kila unachohisi kwako ni sahihi wala hainisumbui..
Hiyo propaganda ilishafeli na aliyeapa kuiua chadema alikufa yeye.Wamejiua wenyewe kwa tamaa zao
Walisimama majukwaani kusema Lowasa fisadi papa, ndimi hizohizo zikaja kusema Lowasa safiiiii👍🤣
- Mbowe
- Lissu
- Lema
- Msigwa
- Mnyika
View attachment 2480444
Utamwamini mtu wa hivi?
Utamuelewa?
Na atakayejaribu tena atakufa yeye na kuiacha ChademaHiyo propaganda ilishafeli na aliyeapa kuiua chadema alikufa yeye.