Nini kimeiua Tips Lounge?

Nini kimeiua Tips Lounge?

Na wengi wanaoanzisha hizi Bars na Pubs za mchipuko sio watu wa Biashara hizo. Unakuta mtu Afisa Ugavi huko kakwalua pesa ofisini hajui hata afanye nini anaemda kufungua Bar au Club sasa tatizo linakuja kwenye Management ambayo inahitaji wajuzi wa kazi hizo sio wababaishaji.
**** Sehemu Bongo zinaanzishwa lkn ukiziona tu unajua hazimalizi hata miaka miwili lazima zife.
Ukiona watu kama SamakiSamaki wanamaintain siyo kazi ndogo.
Unawezakuwa sahihi. Kuna chimbo walinipeleka rafiki zangu panaitwa woodland ilikua miezi 3 iliyopita, hiyo sehemu ilikua hot vibaya mno ila sasa tumerudi juzi pamepwaya, wateja tulikuwa kama watano tu na ni saa saba usiku
Yani kwa kifupi ku maintain status ya biashara ni jambo zito mnoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa vijana wa Dar wanajua balaa la Tips ikifika ijumaa. Ni nyomi la kufa mtu plus pisi za hatari.

Sasa jana kwa mara ya pili naenda Tips saa 6 usiku nakuta papo kimya pametulia. Hata parking unapata mlangoni.

Nini kimetokea ghafla hivi? Vibe limeamia wapi party people?
Tupo kidimbwi
 
Unawezakuwa sahihi. Kuna chimbo walinipeleka rafiki zangu panaitwa woodland ilikua miezi 3 iliyopita, hiyo sehemu ilikua hot vibaya mno ila sasa tumerudi juzi pamepwaya, wateja tulikuwa kama watano tu na ni saa saba usiku
Yani kwa kifupi ku maintain status ya biashara ni jambo zito mnoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona Sasa..yaani management ya hizi sehemu ni shughuli pevu. Lazima.management ijue kucheza na wateja.
 
Kila nikikumbuka ile misululu ya magari parking mpaka karibu na barabarani.

Nakumbuka tena Moet na Hennessy zinavyoshushwa.

Nataman nikuamini wale ni wanafunzi ila nafsi inakataa.

Alafu situation iliyopo ukifika ni tofauti na unachoeleza. Tatizo sio wateja wamekata ila ni kama huduma zimesitishwa.
Kama totozi za chuo hakuna, anadhani nan anaenda?
 
Mbona nimesikia mwenye nayo alikimbia nchi kuna tukio alifanya kukwepa mkono ikabidi atoroke .
 
Kwa vijana wa Dar wanajua balaa la Tips ikifika ijumaa. Ni nyomi la kufa mtu plus pisi za hatari.

Sasa jana kwa mara ya pili naenda Tips saa 6 usiku nakuta papo kimya pametulia. Hata parking unapata mlangoni.

Nini kimetokea ghafla hivi? Vibe limeamia wapi party people?
Imekufa? Dah!
 
Unawezakuwa sahihi. Kuna chimbo walinipeleka rafiki zangu panaitwa woodland ilikua miezi 3 iliyopita, hiyo sehemu ilikua hot vibaya mno ila sasa tumerudi juzi pamepwaya, wateja tulikuwa kama watano tu na ni saa saba usiku
Yani kwa kifupi ku maintain status ya biashara ni jambo zito mnoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii woodland ndo ile iko masaki mkuu?
 
Tips ipo kwenye makazi ya watu na wenye hela so wamepigwa pini mziki mwisho sa sita tu. Same story na Boardroom, tena pale pamefungwa kabisa
 
Back
Top Bottom