mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh !! Iko kazi bandugu !!Yaan SHERIA hiyo, inataka kuwepo na Mahabusu maalumu za "Wauzaji wa Dawa za Kulevya?" .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh !! Iko kazi bandugu !!Yaan SHERIA hiyo, inataka kuwepo na Mahabusu maalumu za "Wauzaji wa Dawa za Kulevya?" .
Nchi nyingi kuna mahabusu hizi na pia za Uhamiaji(kwa wenye makosa ya nayousu uhamiaji) City Council (mfano Jiji la Dar wana ata mahakama yao pale jengo la Avalon karibu na st. Jospeh. Pia South Africa wote wenye kesi za Uhamiaji wana Mahabusu yao inaitwa Lindela. Hapa Tanzania Mfano Uhamiaji Singinda wana mahabusu zao na iwapo utakutwa na hatia mahakamani ndo utaenda magereza tumikia kifungo. Uhamiaji Dar HQ kama wana ishu na mtu mara nyingi uwalaza pale Central Police - lakini ata pale Uhamiaji Posta Dar Mambo ya ndani wanayo mahabusu yao. So ni kawaida bahadhi ya Idara zinazodeal na Law enforcement kuwa na mahabusu zao- Ata Jeshi wanazo na zipo chini ya MPYaan SHERIA hiyo, inataka kuwepo na Mahabusu maalumu za "Wauzaji wa Dawa za Kulevya?" .
Kwa kweli !!!Nchi nyingi kuna mahabusu hizi na pia za Uhamiaji(kwa wenye makosa ya nayousu uhamiaji) City Council (mfano Jiji la Dar wana ata mahakama yao pale jengo la Avalon karibu na st. Jospeh. Pia South Africa wote wenye kesi za Uhamiaji wana Mahabusu yao inaitwa Lindela. Hapa Tanzania Mfano Uhamiaji Singinda wana mahabusu zao na iwapo utakutwa na hatia mahakamani ndo utaenda magereza tumikia kifungo. Uhamiaji Dar HQ kama wana ishu na mtu mara nyingi uwalaza pale Central Police - lakini ata pale Uhamiaji Posta Dar Mambo ya ndani wanayo mahabusu yao. So ni kawaida bahadhi ya Idara zinazodeal na Law enforcement kuwa na mahabusu zao- Ata Jeshi wanazo na zipo chini ya MP
Hata TAKUKURU wana Mahabusu zao, Easy ChiefBunge tayari limepitisha Sheria hiyo jana Tarehe 14, 2022 ndio maana tunaomba wajuzi wa mambo watusaidie kuna nini kimeficha nyuma
Umeelewa kweli kinachoongolewa? Sheria mpya inataka watumuhumiwa dawa za kulevya kuwa na mahabusu/jela zao chini ya DCEA.wasiwasi wako nini, hata kama ingekuwa ni kuwapiga risasi?
Yaelekea kwenu kuna watu wanaofanya hii biashara, napendekeza WAUAWE