Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Watu wanaokosa lugha za staha wananiuzi sana. Ila nyuzi zilizonifurahisha nikacheka sana in 2025 ni 👇 .
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Mtu niliyemfurahia sana 2025 ni mzee mwenzangu Ushimen 🙈
Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?
Habari wakuu Mara ya kwanza kujiunga na huduma za kibenki nilienda kwenye tawi la benki wakanisajili ikafika mda wa kufanya kadi iwe active. Nimeenda kwenye ATM na yule mhudumu akaiweka kadi ndani ya ATM ananiambia chagua lugha, me hapo hata sijui wanabonyeza wapi, akanionesha zile button za...
Kubaguliwa kwa waafrika na watu weupe huenda sababu kuu ni Tabia zetu zilizo ndani ya damu zetu
Wakuu kheri nyingi kwenu nyote. Tuanzie hapa. Miaka kadhaa iliyopita hapa kazini ulikuja uongozi mpya wa wazungu kuanzia ngazi ya gm,super hadi kwa foreman. Hawa wazungu walikuwa wametoka Mataifa tofauti tofauti kama Canda,australia na ufilipino na hata indonesia nk. Baada ya kuja basi...
Mtu niliyemfurahia sana 2025 ni mzee mwenzangu Ushimen 🙈