Black joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 306
- 621
Hii chaiNimechukizwa na matusi, jazba, chuki, na kila kitu kuita "chai".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chaiNimechukizwa na matusi, jazba, chuki, na kila kitu kuita "chai".
Kweli, ni vizuri watu kuleta mada kwa staha na bila kukashifu imani za watu wengineMimi nimechukizwa na mada nyingi za dini zinazoletwa na watu wasio kuwa na Elimu ya dini na kupelekea wengine wasio kuwa na Elimu hiyo kuchangia kwa kupotosha na pia nimechukizwa sana na mada nyingine za kudhalilisha ukuu wa Mungu (mfano: Kumfananisha Mungu na viumbe nk nk nk)
Huwa wananiuzi sana hao wa chai, wao wanataka experience na limitations zao ndiyo ziwe za kila mtu.Nachukizwa na watu wanaokuja kwenye uzi wako wanasema Chai hii au wale wengine wanaosema " JF imevamiwa" yaani kama watu hatuna haki ya kutoa ya mioyoni mwetu🙌
Nafurahishwa na wote wanaotoa ushauri bila hiyana unapoleta jambo lako.
😜😜😜😜Watu wanaotukana na kukosa lugha za staha wananiuzi sana.
Ila nyuzi zilizonifurahisha nikacheka sana in 2025 ni 👇 .
Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?
Habari wakuu Mara ya kwanza kujiunga na huduma za kibenki nilienda kwenye tawi la benki wakanisajili ikafika mda wa kufanya kadi iwe active. Nimeenda kwenye ATM na yule mhudumu akaiweka kadi ndani ya ATM ananiambia chagua lugha, me hapo hata sijui wanabonyeza wapi, akanionesha zile button za...www.jamiiforums.com
Kubaguliwa kwa waafrika na watu weupe huenda sababu kuu ni Tabia zetu zilizo ndani ya damu zetu
Wakuu kheri nyingi kwenu nyote. Tuanzie hapa. Miaka kadhaa iliyopita hapa kazini ulikuja uongozi mpya wa wazungu kuanzia ngazi ya gm,super hadi kwa foreman. Hawa wazungu walikuwa wametoka Mataifa tofauti tofauti kama Canda,australia na ufilipino na hata indonesia nk. Baada ya kuja basi...www.jamiiforums.com
Mtu niliyemfurahia sana 2025 ni mzee mwenzangu Ushimen 🙈
Ebu check PM hapo unijibu chap 😋Watu wanaotukana na kukosa lugha za staha wananiuzi sana.
Ila nyuzi zilizonifurahisha nikacheka sana in 2025 ni 👇 .
Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?
Habari wakuu Mara ya kwanza kujiunga na huduma za kibenki nilienda kwenye tawi la benki wakanisajili ikafika mda wa kufanya kadi iwe active. Nimeenda kwenye ATM na yule mhudumu akaiweka kadi ndani ya ATM ananiambia chagua lugha, me hapo hata sijui wanabonyeza wapi, akanionesha zile button za...www.jamiiforums.com
Kubaguliwa kwa waafrika na watu weupe huenda sababu kuu ni Tabia zetu zilizo ndani ya damu zetu
Wakuu kheri nyingi kwenu nyote. Tuanzie hapa. Miaka kadhaa iliyopita hapa kazini ulikuja uongozi mpya wa wazungu kuanzia ngazi ya gm,super hadi kwa foreman. Hawa wazungu walikuwa wametoka Mataifa tofauti tofauti kama Canda,australia na ufilipino na hata indonesia nk. Baada ya kuja basi...www.jamiiforums.com
Mtu niliyemfurahia sana 2025 ni mzee mwenzangu Ushimen 🙈
Sasa mkuu hiyo mijadala chanya ya kuijenga nchi si hata wewe unaweza ukaileta tuijadili?Post za mapenzi ni nyingi kuliko mijadala chanya ya kuijenga nchi, kwa mfano ukienda sehemu ya trending threads humu katika nyuzo 30, 20+ zinahusu mapenzi na less thani 5 Samia na Kafulila na zilizobaki Simba na Yanga Linerpool nk 👇
- Wanawake wawili wanapigana kumgombania mwanamme mmoja.
- Aisee we mwanaume mwenzangu uliyekuwa na mpenzi wako hapa rainbow pub kwa nje mnakula chipsi kesho nakugongea demu wako.
- Nilimtongoza kanikataa jana kaona natoka na demu Gheto leo kaja kunimaindi
- Wadada hebu mtuambie ambao hatuna pesa tunwapata vipi??
- Kushikwa matiti na mwanaume
- Mtu umeoa, lakini bado unakula wake za watu, wako akiliwa, unaanza kulialia!
- Papuchi za kununua sio tamu
- Wanawake na kasumba ya kusingizia mimba
- Hivi mtu unawezaje kufanya mapenzi na mtu aliyebikiriwa na njemba mwingine?
- Hivi mtu anawezaje kuzama chumvini?
- Miaka miwili bila uhusiano/ uzinzi iliyopelekea nionekane mwendawazimu machoni mwa watu
- Waume zetu ndiyo tumefikia huku jamani?
- HAKIKA SHUGULI NILIOIFANYA LEO SIMCHEZO
- Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?
- Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?
- Kwanini Wanaume wa kichaga hawakai na wake zao?
- Nguvu za kiume zimekua tatizo
- Ndoa ni uvumilivu lakini inaweza kukaribisha umauti.
- Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya
- Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?
- Mke anahitajika
- Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu
- Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?
- Ulishawahi kudate na mtu ambaye hata iweje hutamani kurudiana naye?
Labda ni uhalisia kwamba mapenzi yanaiendesha dunia, nafikiri nyuzi ni nyingi kwa sababu zinapokelewa na kuchangiwa zaidi hivyo zinatia hamasa waandishi waendelee.Post za mapenzi ni nyingi kuliko mijadala chanya ya kuijenga nchi, kwa mfano ukienda sehemu ya trending threads humu katika nyuzo 30, 20+ zinahusu mapenzi na less thani 5 Samia na Kafulila na zilizobaki Simba na Yanga Linerpool nk 👇
- Wanawake wawili wanapigana kumgombania mwanamme mmoja.
- Aisee we mwanaume mwenzangu uliyekuwa na mpenzi wako hapa rainbow pub kwa nje mnakula chipsi kesho nakugongea demu wako.
- Nilimtongoza kanikataa jana kaona natoka na demu Gheto leo kaja kunimaindi
- Wadada hebu mtuambie ambao hatuna pesa tunwapata vipi??
- Kushikwa matiti na mwanaume
- Mtu umeoa, lakini bado unakula wake za watu, wako akiliwa, unaanza kulialia!
- Papuchi za kununua sio tamu
- Wanawake na kasumba ya kusingizia mimba
- Hivi mtu unawezaje kufanya mapenzi na mtu aliyebikiriwa na njemba mwingine?
- Hivi mtu anawezaje kuzama chumvini?
- Miaka miwili bila uhusiano/ uzinzi iliyopelekea nionekane mwendawazimu machoni mwa watu
- Waume zetu ndiyo tumefikia huku jamani?
- HAKIKA SHUGULI NILIOIFANYA LEO SIMCHEZO
- Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?
- Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?
- Kwanini Wanaume wa kichaga hawakai na wake zao?
- Nguvu za kiume zimekua tatizo
- Ndoa ni uvumilivu lakini inaweza kukaribisha umauti.
- Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya
- Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?
- Mke anahitajika
- Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu
- Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?
- Ulishawahi kudate na mtu ambaye hata iweje hutamani kurudiana naye?
Haaa haa mzee mwenzangu, mimi na wewe tena!Ebu check PM hapo unijibu chap 😋
😂 Sawa watakua wamekusikia, ila Joe wewe huombagi kweli?Nachukizwa na nyuzi za vijana wazembe wanaomba utelezi kwa watu wenye ID za kike
Ni uzembe mkubwa sana
Tuenda pm ukivutiwa na id😂 Sawa watakua wamekusikia, ila Joe wewe huombagi kweli?
Haipati wachangiaji hata kidogoSasa mkuu hiyo mijadala chanya ya kuijenga nchi si hata wewe unaweza ukaileta tuijadili?
Huku nchi inasererekaLabda ni uhalisia kwamba mapenzi yanaiendesha dunia, nafikiri nyuzi ni nyingi kwa sababu zinapokelewa na kuchangiwa zaidi hivyo zinatia hamasa waandishi waendelee.
Kweli kabisa, nyuzi za Kafulila hii 2025 ni nyingi sanaNyuzi za kafulila kwa ID tofauti kujisifia kila siku hadi kamfunika mama yao
Naona wananchi ndiyo wamejikatia tamaaHuku nchi inaserereka
Ni kweli, kuna mtu alisema ukiwa masikini faraja pekee na ya lazima ni hiyoNaona wananchi ndiyo wamejikatia tamaa