nakwede97
JF-Expert Member
- Aug 9, 2021
- 946
- 2,478
Watu wanaotoa lugha za matusi wanakera sana ...... Sawa hatukujui na huonekani lakin kutoa lugha chafu hakumfany mtu kua mjanja sana ila unaonekana mpumbavu usiye na akili ndo nyie vizaz vyenu vinarith upuuz wenu
Swala la Iman (dini) wewe umezaliwa umekuta familia ni waisilam au wakristo hebu hangaika na dini yako habar za kuanza kuongea ovyo Iman za watu wengine na kujifanyia much knw sana kumbe jinga fulan iyo dini unayoisakama ni vile tu hujazaliwa Kwa familia ya din iyo ungezaliwa Kwa familia ya dini iyo sidhan kama ungekuja na nguvu ya kuja humu na kubwabwaja
Wanaotukana wanawake haswa ma single mama Kuna kitu kinaitwa KARMA nyie wengine ni. Wazaz na wengine mtakuja kua wazaz mtazaa watoto wa kike na atapitia hayo unayotolea matusi
Swala la Iman (dini) wewe umezaliwa umekuta familia ni waisilam au wakristo hebu hangaika na dini yako habar za kuanza kuongea ovyo Iman za watu wengine na kujifanyia much knw sana kumbe jinga fulan iyo dini unayoisakama ni vile tu hujazaliwa Kwa familia ya din iyo ungezaliwa Kwa familia ya dini iyo sidhan kama ungekuja na nguvu ya kuja humu na kubwabwaja
Wanaotukana wanawake haswa ma single mama Kuna kitu kinaitwa KARMA nyie wengine ni. Wazaz na wengine mtakuja kua wazaz mtazaa watoto wa kike na atapitia hayo unayotolea matusi