We unadhani kwa kiwango cha saka angekuwepo pale matokeo yangebaki vile kaingia partey tu kabadilisha mchezo unadhani angeingia saka ingekuwaje team zote zilikosa wachezaji wake muhimu[emoji2] eti hawachezi pekeyao.! Hivi unajua athari ya kuwakosa playmaker wawili Kwa wakati mmoja?
Leo hii saka akikaa nje pale arsenal athari take n ndogo kuliko Rodrigo pale city.. kama unaleta ushabiki huwezi nielewa..
#Delulu is only solulu
Huwa inatokea, hao ni wanadamu sio maroboti ndio maana waingereza wana msemo wao “Form is temporary but class is permanent”Mwamba msimu uliopita alifunga magoli mengi sana katika michuano yote mpaka tukambatiza jina la utani “JINI”
Msimu huu imekuwa tofauti, Haaland ana struggle kiasi kikubwa sana. Huwezi amini katika mechi nne zilizopita za mashindano yote hajafunga hata goli moja. Au ndio kusema anamkosa KDB kikosini ndio maana nae mambo hayaendi vizuri?
Huko ndiyo kukabwa na kuzidiwaMan city walicheza kama wamelazimishwa. Timu haipigi paso zikafika. Back pass za kutosha,Foden akiiomba mtu karudisha nyuma. Benardo Silva alikuwa hapandi ,kule mbele Alvarez akipata mpira anawaza kumzidi Haaland piga hovyo hovyo.
Kati palipwaya sana wambele wambele wa nyuma wa nyuma. Kovacic ndio kabisa anacheza rafu tu.
Doku aliingia dakika za lala salama kama namba 7 chenga zikakataa. Akahamia namba 11 pia patupu akabaki kupigwa tobo tu. Labda ilitakiwa awahi kama dkk ya 60 hivi.
Ila mechi nzima ilipoa sana.
yule bila kupewa mapande ya space hana lolote, sasa hivi aliyekuwa anamlisha kaumia - Kevin De BruyneMwamba msimu uliopita alifunga magoli mengi sana katika michuano yote mpaka tukambatiza jina la utani “JINI”
Msimu huu imekuwa tofauti, Haaland ana struggle kiasi kikubwa sana. Huwezi amini katika mechi nne zilizopita za mashindano yote hajafunga hata goli moja. Au ndio kusema anamkosa KDB kikosini ndio maana nae mambo hayaendi vizuri?
Punguza mapenzi, Saka hajafikia Kiwango Cha kusema ati asipokuwapo team haishindi. Saka Hana level ya kutafuta excuse Kwa timu serious. Na Labda tuseme wachezaji karibu wote wa Asernal ni average players, hakuna aliye na upekee Kwa timu kupata au kukosa matokeo. Siyo sawa na Son Tot. Spurs, Mo. Salah Liverp, KDB Mun. City, Mbappe PSG, etc. Ingawaje pia hata hawa matokeo yanaweza kuwa yoyote wakiwapo ama wasipokuwapo.We unadhani kwa kiwango cha saka angekuwepo pale matokeo yangebaki vile kaingia partey tu kabadilisha mchezo unadhani angeingia saka ingekuwaje team zote zilikosa wachezaji wake muhimu
Game ya Community shield Rodrigo alikuwepo na KDB aliingia baadae, lakini Haland alitoka na expected goal 0 kama game ya juzi. You know what? It's William SalibaNilitaka nikupe jibu lakini kumbe ushaliandika....
Tatizo ni KDB...
Na Ile game ya arsenal kukosekana Kwa Rodrigo ndo mambo yakawa magumu zaidi....
Hata hivo Tembo hata akikonda awezi kua ndama still Haaland ndie top scorer ana Goli 8 Katika mechi nane it means Kwa average kila ana Goli moja ..
Ila alitiwa kwa pocket na Saliba juzi kati mpaka nikabaki nacheka tu.Mwamba msimu uliopita alifunga magoli mengi sana katika michuano yote mpaka tukambatiza jina la utani “JINI”
Msimu huu imekuwa tofauti, Haaland ana struggle kiasi kikubwa sana. Huwezi amini katika mechi nne zilizopita za mashindano yote hajafunga hata goli moja. Au ndio kusema anamkosa KDB kikosini ndio maana nae mambo hayaendi vizuri?
Kane Yuko Bayern Munich saivi.Kwa hiyo mlitaka kila mechi yeye awe anafunga tu utafikiri anacheza na vipofu, mchezaji wa hivyo yuko wapi.
You're out of subject.. 🤣 🤣 😛Kane Yuko Bayern Munich saivi.
Wewe ndiye hujaelewa.You're out of subject.. [emoji1787] [emoji1787] 😛
Isak?? Ni ngumu Sana hata hawezi kua juu ya Salah wala Son .. muda utaongeaTop scorer msimu huu ni halaand au isak
punguza mihemko mleta uzi
| Rank | Name | GoalsGL | AssistsA | PlayedP | Goals per 90 | Mins per GoalMPG | Goal Conversion | Shot Accuracy |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | Erling HaalandHaaland Manchester CityMan City | 8 | 1 | 8 | 1.02 | 89 | 29% | 64% |
| 2 | Alexander IsakIsak Newcastle UnitedNewcastle | 6 | 0 | 7 | 1.14 | 79 | 40% | 73% |
| 2 | Son Heung-minSon Heung-min Tottenham HotspurTottenham | 6 | 0 | 8 | 0.86 | 105 | 38% | 69% |
| 4 | Mohamed SalahSalah LiverpoolLiverpool | 5 | 4 | 8 | 0.66 | 137 | 24% | 57% |
Muda utatoa jibu, tuombe uzima.Tofauti ya haaland na striker wa Ihefu ni mshahara tu.
Last season ilikua kismati tu ila haendi mbali sana. Miaka 5 baadaye atapotea kabisa.
Anaweza kuwa Haaland Tena but Kwa consistency ya Mo Salah na Son for the last five yrs lolote linaweza kutokea Kwa hao wawili kuweza hata kumpiku Haaland although performance ya timu zao inaweza kuwa factor ya kuwabeba ama kuwaangusha.Muda utatoa jibu, tuombe uzima.