Nini kimemkuta Mshana Jr?

Nini kimemkuta Mshana Jr?

Ishhhh mihemko bana, kwamba mshana kuna baadhi ya ma jukwaa hatakiwi kuchangia???
Mshana mwambie sponsor anaekupa bando aache make kaanza masharti
 
Hahaha inawezekana hii ni fake id ya mshana jr saa hii atakuwa makapuku [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji13] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji81]
 
Moja kati ya watu walionivutia sana kipindi najiunga jamii forum ni huyu anayejiita mshana jr,nilizoea kumkuta kule jamii inteligence na great thinkers akiwa na mada za kuumiza kichwa,kufikirisha na kuchangamsha akili hasa kuhusu ujasusi,ushirikina,imani za kidini na masuala mengine nyeti.
Lakini ghafla nimeanza kumuona katika forum za mahusiano na mapenzi,mara jamii celebrities akipiga umbea huko kuhusu mimba fake ya wema,mara sijui diamond kafanyaje na hapa juzi kanichosha kabisa kuhusu picha ya photoshop ya mtoto akiwakimbia manesi kuchoma sindano.
Sasa nataka kujua kaka mshana umepatwa na nini,au siyo wewe au kule kuwa great thinker ndio kumekufanya uwe na uwezo mdogo siku hizi.
Tafadhali rudi kwenye ubora wako mshana jrView attachment 382729
Duh rahaaa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Moja kati ya watu walionivutia sana kipindi najiunga jamii forum ni huyu anayejiita mshana jr,nilizoea kumkuta kule jamii inteligence na great thinkers akiwa na mada za kuumiza kichwa,kufikirisha na kuchangamsha akili hasa kuhusu ujasusi,ushirikina,imani za kidini na masuala mengine nyeti.
Lakini ghafla nimeanza kumuona katika forum za mahusiano na mapenzi,mara jamii celebrities akipiga umbea huko kuhusu mimba fake ya wema,mara sijui diamond kafanyaje na hapa juzi kanichosha kabisa kuhusu picha ya photoshop ya mtoto akiwakimbia manesi kuchoma sindano.
Sasa nataka kujua kaka mshana umepatwa na nini,au siyo wewe au kule kuwa great thinker ndio kumekufanya uwe na uwezo mdogo siku hizi.
Tafadhali rudi kwenye ubora wako mshana jrView attachment 382729
Nipo ndugu yangu..kuna watu watakushambulia hata kukudhihaki..utaambiwa mimi ni wewe kwa ID nyingine pia...usijali wala kubishana na yeyote
Niliingia JF kupitia lango kuu la MMU, kisha nikaenda photos halafu intelligence ila kwasasa nimepumzika kidogo ndio maana unaona niko kwenye umbea kidogo na refresh mind au siasani kutafuta stress
Nitarejea kwenye mada zetu likizo ikiisha kwahiyo kuwa mvumilivu na asante kwa kujali kwako
 
mtu akiwa huku anajiona kuwa ana akili sana hii sijui inasababishwa na nini,ila humu wengi ni vilaza kama vilaza wengine tu na kipimo cha hili ni pale mtu anapoleta hoja kunakuwa na reply nyepesi sana kama zinazoonekana huko juu,an empty mind is always defensive,kama lilivyo bomba tupu linavyopiga kelele nyingi.
 
Nipo ndugu yangu..kuna watu watakushambulia hata kukudhihaki..utaambiwa mimi ni wewe kwa ID nyingine pia...usijali wala kubishana na yeyote
Niliingia JF kupitia lango kuu la MMU, kisha nikaenda photos halafu intelligence ila kwasasa nimepumzika kidogo ndio maana unaona niko kwenye umbea kidogo na refresh mind au siasani kutafuta stress
Nitarejea kwenye mada zetu likizo ikiisha kwahiyo kuwa mvumilivu na asante kwa kujali kwako

nimejifunza kitu hapa... ahsante
 
mtu akiwa huku anajiona kuwa ana akili sana hii sijui inasababishwa na nini,ila humu wengi ni ****** kama ****** wengine tu na kipimo cha hili ni pale mtu anapoleta hoja kunakuwa na reply nyepesi sana kama zinazoonekana huko juu,an empty mind is always defensive,kama lilivyo bomba tupu linavyopiga kelele nyingi.
Wewe ni kichwa Panzi kweli kweli,sasa kama kumuulizia huyo mganga wako si ungemuulizia huko huko unakodai anakoonekana kwenye majukwaa anapiga umbea? ungemuandikia comment huko huko! lakini lengo lako halikua hilo na tumekuelewa,halafu huyo sio wakutafuta kihivyo coz anashinda humu kutwa kucha!!
 
mtu akiwa huku anajiona kuwa ana akili sana hii sijui inasababishwa na nini,ila humu wengi ni ****** kama ****** wengine tu na kipimo cha hili ni pale mtu anapoleta hoja kunakuwa na reply nyepesi sana kama zinazoonekana huko juu,an empty mind is always defensive,kama lilivyo bomba tupu linavyopiga kelele nyingi.

Mpendwa umeachika nini mbona mapovu namna hiyo??

Piga konde moyo...mlango mmoja ukifugwa mwingine unafunguka, ni wewe tu tangaza fursa watu wajimwaemwae
 
Moja kati ya watu walionivutia sana kipindi najiunga jamii forum ni huyu anayejiita mshana jr,nilizoea kumkuta kule jamii inteligence na great thinkers akiwa na mada za kuumiza kichwa,kufikirisha na kuchangamsha akili hasa kuhusu ujasusi,ushirikina,imani za kidini na masuala mengine nyeti.
Lakini ghafla nimeanza kumuona katika forum za mahusiano na mapenzi,mara jamii celebrities akipiga umbea huko kuhusu mimba fake ya wema,mara sijui diamond kafanyaje na hapa juzi kanichosha kabisa kuhusu picha ya photoshop ya mtoto akiwakimbia manesi kuchoma sindano.
Sasa nataka kujua kaka mshana umepatwa na nini,au siyo wewe au kule kuwa great thinker ndio kumekufanya uwe na uwezo mdogo siku hizi.
Tafadhali rudi kwenye ubora wako mshana jrView attachment 382729
Siku za mwisho mambo mengi hujitokeza
 
Back
Top Bottom