Savimbi JB
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 378
- 343
Hata kama humpendi huyu jamaa ila tambua kipaji chake tu basi,,,baadae, tupogo, ndagushima aliwashirikisha mastaa gani?????ommy dimpoz, ni msanii mwenye uwezo mdogo sana kimziki..Kitu kilichombeba dimpoz ni kushirikisha wasanii wakali katika ngoma zake za mwanzo ndio aka-shine.. Hata wimbo uliomtoa kimziki alimshirikisha msanii mkubwa ndio akatoka.. Mastaa kama diamond na Kiba wapo juu kwani walifanikiwa kutoka kwa juhudi zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inamtafuna haswaaOmmy alikuwa anamdhihaki mond wakati anataka kutoa wanjera,,alijua ameweza...hakuangalia wametoka wapi,,,akakubali mawazo ya madam...sasa naona ile dhambi inamtafuna..
Duu....lkn lisemwalo lipo!punga
linaonekana kabisa
Ommy anajua sana yani alikuea akiachia wimbo unahit mwaka mzma anapga show.Hata kama humpendi huyu jamaa ila tambua kipaji chake tu basi,,,baadae, tupogo, ndagushima aliwashirikisha mastaa gani?????
ali kiba na team yake ya majungulaizationunamaanisha Ali Kiba The King... nai nai
kuna ghorofa nyumba nzur anaonesha sana insta kama kanunua lakin majirani wanasema hawajawah kumuona mwanamke yeyoteanalelewa na nani?
ni mubengaaaani Mobenga mkuu
ahahahahahahujue ommy zamani alikaa karibu na uwaridi..
ndio maana akanukia
sasa sijui yuko team gani lazima apotee...
kabla alikua na chibu ,alifanikiwa sana!!!
saivi naona ana maskendo tu ya upunga
tupogo, ????
Mungu anakuona,,duh..Mmmh dimpoz anatafunwa mkust ndo maan kawa kmy
Acha banaMmmh dimpoz anatafunwa mkust ndo maan kawa kmy
Unamana gani mkuu...umeniacha chalinze..Anaishi kwa nguvu za GSM sahv
Mkuu kuna kazi gani anawafanyia hao Gsm au kuna ubarozi wamempa wa kuwatangazia kazi zao?
Sina swali tena..