Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
- Thread starter
- #161
Ommy siku hizi kama Mkongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenichekesha sanaEti wanasema jina la meneja wake wa mwanzo ndilo lilikuwa linanogesha wimbo pale linapotajwa....
"Mobeenga"
Sasa siku hizi sijui anamtajaga Lizaboni...
Kipindi hiki sijamuona kufanya show yeye mwenyewe binafsi,hii nayo itamgharibu kama siku kiba atamwacha,ndio itakuwa basi tena.Ommy anaharibu anapojifanya kila kitu lazma afanye na Kiba.
kiba kaowa sidhani kama wataendelea kupumuliana.Kipindi hiki sijamuona kufanya show yeye mwenyewe binafsi,hii nayo itamgharibu kama siku kiba atamwacha,ndio itakuwa basi tena.
Duh...alikataa kujiunga WCB mond akamuwekea vikwazo vya kutoka kimuziki