Nini kimempata Aslay, Nyimbo zake kwa sasa zina shida gani?

Nini kimempata Aslay, Nyimbo zake kwa sasa zina shida gani?

Aslay is just another artist who has become a victim of poor or lack of proper management as far as music matters are cconcerned.
 
Huyu dogo tangu clouds waanze kumpa promo ili azibe pengo la diamond ndipo hapo walipomuharibia wamemtia gundu tu mtoto wa watu.maana mashabiki wengi wa wcb wakaanza kumpotezea matokeo yake mawingu wamemsababishia mpasuko wa mashabiki kijana wa watu wakati alikua anapata support kubwa tu
 
Wasalaam

Kati ya watu au wasanii wenye vipaji hapa nchini vya kuimba ni Aslay....
Aslay anao uwezo mkubwa sana tena sana...
Lakini kwa hivi karibuni muziki wake umeanza kuyumba kabisa na hata ile ladha imeanza kupotea kabisa na hata attentions ya watu kwake imepungua sana...
Bado najiuliza nini kimempata Aslay? Je ni utunzi umechokwa? Hana kipya cha kuwapa tena mashabiki?
Nani wakumsaidia Aslay na anguko hili? washauri wako hawaoni tatizo?
Wasalaam........
He is musically fatigued
 
Kaanguka kivipi? Mbona mi naona yupo sawa tu.Nini kinakufanya uone kaanguka kimziki?Hebu fafanua.
 
Kwangu mimi Aslay hajawahi kuchuja, hana nyimbo mbaya hata moja, naisikiliza ANANIKOMOA almost kila saa
 
Wasalaam

Kati ya watu au wasanii wenye vipaji hapa nchini vya kuimba ni Aslay....
Aslay anao uwezo mkubwa sana tena sana...
Lakini kwa hivi karibuni muziki wake umeanza kuyumba kabisa na hata ile ladha imeanza kupotea kabisa na hata attentions ya watu kwake imepungua sana...
Bado najiuliza nini kimempata Aslay? Je ni utunzi umechokwa? Hana kipya cha kuwapa tena mashabiki?
Nani wakumsaidia Aslay na anguko hili? washauri wako hawaoni tatizo?
Wasalaam........

Unapompata Mganga wa Kienyeji mzuri basi hakikisha ya kwamba haumdhulumu lakini pia unafuata masharti yake ' tukuka ' kabisa lakini hata kama ikibidi uwe unamtumia tu hata Hela kama asante nje ya makubaliano yenu ya Kilozi / Kiushirikina basi uwe unafanya tu hivyo ili azidi Kukurekebishia ' nyota ' yake kinyume cha hapo tegemea ' anguko ' kubwa na takatifu. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Back
Top Bottom