Uislam ni ile imani kuwa muumba ni mmoja tu kwa dhati na sifa zake. Nguzo nyingine za imani zinajengwa juu ya imani ya Mungu mmoja wa kweli, imani juu ya maisha baada ya kifo, imani juu ya Malaika wa Mungu, vitabu vyake na kudra na tafsiri ya vitendo ya imani hii ni: Sala, Zakah, Saumu na Hija.akili hauna zinaongelea udini
Akili ni nywele dahMakamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Hivi Waziri mjanja kama January anakosaje senti za kumuhonga Babra? Kuwa serious bhana!Kutombako ni kuzuri sana that means January manyuzi hana mkwanja wa kuhonga
Hahahaha ola dogo akawa Rais bhana!Kuna mtu alikuwa na nguvu Sana nchi hii kuliko wote na kuna siku aliapa Kikwete hatakuwa Rais....
Ni wa January? Halafu hajarudi nchini kwao bado eeh? Ameamua kuwa mwenyeji TZ sasa!Atulie alee mtoto..maneno maneno maziwa yatakatika mtoto ahare buree
Nchini kwao wapiNi wa January? Halafu hajarudi nchini kwao bado eeh? Ameamua kuwa mwenyeji TZ sasa!
Mkuu. Si ana asili ya Hispania (Muispaniola) au? Wakati anakuja Simba wachambuzi fulani fulani walikuwa wanaongelea wasifu wake.Nchini kwao wapi
Barabara Mtanzania...Mkuu. Si ana asili ya Hispania (Muispaniola) au? Wakati anakuja Simba wachambuzi fulani fulani walikuwa wanaongelea wasifu wake.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nasemaje hawa nilowataja hawawezi kuwa marais.
Duh! Ahsante sana kwa kunijuza hili. Ila asili yake sidhani kama ni Tanzania.Barabara Mtanzania...
Mzazi mmoja ndo atakuwa alitoka huko ila kazaliwa hapa na mzazi mmoja WA hapa...Duh! Ahsante sana kwa kunijuza hili. Ila asili yake sidhani kama ni Tanzania.
Ooh ahsante sana boss!Mzazi mmoja ndo atakuwa alitoka huko ila kazaliwa hapa na mzazi mmoja WA hapa...
Mama mzaramo...Duh! Ahsante sana kwa kunijuza hili. Ila asili yake sidhani kama ni Tanzania.
Mwache aonje raha ya Dunia kidogo make uwez jua maisha yana [emoji115] and [emoji116]Ndani ya siku hizi mbili amekuwa akipost jumbe ambazo zimewaweka njia panda wadau wa Soka nchini Tanzania na zote ni kama zinamlenga mtu mmoja tu.
Kwa mliosoma Cuba tutafutieni huyo mwamba anayemnyima usingizi dada yetu.
#solomatv_updates
View attachment 2688996
Dini ya mtu imekuwa na mchango gani kwenye uongozi wa nchi?🤣🤣 Hapo kwenye Urais 2030 haiwezekani. Rais atakuwa mkristo.
Vipi chura mazee....Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Mara nyingi watoto wenye akili mingi hawana chura... angalia MD wa NMB.Vipi chura mazee....
Kwamba lazima aruke vihunzi vya mabaharia?Mwanamke kupata cheo,kazi au pesa bila kutumia Ile kitu ni ngumu sana
Hata sijui ndugu kama ni wa Jan au naniNi wa January? Halafu hajarudi nchini kwao bado eeh? Ameamua kuwa mwenyeji TZ sasa!
Hakuna mchango wowote, ila utaratibu ndo huoDini ya mtu imekuwa na mchango gani kwenye uongozi wa nchi?
Mbona hatusemi hivyo kwenye vyama vya siasa, kwamba sasa zamu ya CUF, CCM, au TLP?