Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Ndani ya siku hizi mbili amekuwa akipost jumbe ambazo zimewaweka njia panda wadau wa Soka nchini Tanzania na zote ni kama zinamlenga mtu mmoja tu.

Kwa mliosoma Cuba tutafutieni huyo mwamba anayemnyima usingizi dada yetu.

#solomatv_updates

View attachment 2688996
Mwache aonje raha ya Dunia kidogo make uwez jua maisha yana [emoji115] and [emoji116]
 
Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Vipi chura mazee....
 
Back
Top Bottom