Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji106]Hivi ukiwa mwanasiasa huwa hujui kama kuna kifo wala magonjwa?
Yani kuna binadamu wenzetu tayari wana uhakika wa kuiona 2030?
[emoji15][emoji15]Wewe hauna uhakika, mimi ninao uhakika. Nitakuja kukumbusha hii post 2030.
Hapo anampiga kijembe 'try tena" kwa kumtemesha U-CEO wa robo robo fcNdani ya siku hizi mbili amekuwa akipost jumbe ambazo zimewaweka njia panda wadau wa Soka nchini Tanzania na zote ni kama zinamlenga mtu mmoja tu.
Kwa mliosoma Cuba tutafutieni huyo mwamba anayemnyima usingizi dada yetu.
#solomatv_updates
View attachment 2688996
Unapekenywa wewe sii bure, Bi mdashi aondoke hata leo yani [emoji856][emoji848][emoji848]Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Nimekuambia Tanzania haiongozwi na Sheria ya dini. Kuna ndoa za kidini, za kitamaduni na bomani (za kiserikali) ambazo hazina masharti ya dini. Hivyo jua ndoa za kidini ni sehemu tu ya ndoa halali zinazoweza kufungwa hapa nchini.Sasa nikuulize, ndoa ya watu wa dini tafauti inafungishwa kanisani au msikitini!! Kila dini Ina Sheria na taratibu za ndoa ambazo ni tafauti na Sheria na taratibu za dini nyingine, sasa watu wa dini tafauti watafungishwa ndoa kwa Sheria na taratibu za dini ipi?! Ndoa ya kikristo lazima ifungishwe na padri au mchungaji kanisani na ndoa ya kiislamu nayo inataratibu zake ndio maana nikasema hapa Tanzania hakuna ndoa ya muislamu na mgalatia hasa kwa kuzingatia kuwa uislamu kisheria hautambui ndoa ya kiserikali iliyofungishwa nje ya Mila na taratibu za kiislamu.
Una kichaa cha bata weweKatiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Hapana, January mama yake ni Mkristo ingawa mzee Makamba ni Islam ila aliamua kufuata dini ya mama yake. Labda kama amebadili sasa hiviIslam
Utaelewa muda ukifikaAnakuaje raisi wakati election ni 2025[emoji849]
Wee vic walioana lini? Hebu huyo Babra aoneshe mtoto wake kwan tumthaminishee. Ana mficha nn.Dini yao inaruhusu mitaala. Walishaoana.
Sasa babra huyu wa kupangisha folen wanaume, km aziza wa buguruni ndo umuone smart sanaa huyo makamba wako??Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Makamba na mwigulu hawawezi kuwa marais, hata Komunio wapate leo, hawawezi kuwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguza uongo..
January mkatoliki
Wee usitudanganye hapa, makamba ni muislamu na watoto zake wote, January na mwamvita.Umewahi kumsikia hata siku moja Yusuph Makamba akiquote aya za Quran?
Lakini Biblia?
Kutombako ni kuzuri sana that means January manyuzi hana mkwanja wa kuhongaMo anaona wivu,Barbara siku hizi ni mke wa January Makamba. Mo si alikuwa danga la Barbara. Sasa Mo amelipiza kisasi kwa Barbara. Hajampa mikwanja. Kuchapiwa kubaya nyie.
Kuna mtu alikuwa na nguvu Sana nchi hii kuliko wote na kuna siku aliapa Kikwete hatakuwa Rais....Makamba na mwigulu hawawezi kuwa marais, hata Komunio wapate leo, hawawezi kuwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasemaje hawa nilowataja hawawezi kuwa marais.Kuna mtu alikuwa na nguvu Sana nchi hii kuliko wote na kuna siku aliapa Kikwete hatakuwa Rais....
Angekuwa anapangisha foleni angenikubalia na mimi.Sasa babra huyu wa kupangisha folen wanaume, km aziza wa buguruni ndo umuone smart sanaa huyo makamba wako??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
akili hauna zinaongelea udiniAkili kubwa zinaongelea maendeleo.
Akili za kawaida zinaongelea matukio.
Akili ndogo zinaongelea watu.