Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Unapekenywa wewe sii bure, Bi mdashi aondoke hata leo yani [emoji856][emoji848][emoji848]
 
Nimekuambia Tanzania haiongozwi na Sheria ya dini. Kuna ndoa za kidini, za kitamaduni na bomani (za kiserikali) ambazo hazina masharti ya dini. Hivyo jua ndoa za kidini ni sehemu tu ya ndoa halali zinazoweza kufungwa hapa nchini.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Sasa babra huyu wa kupangisha folen wanaume, km aziza wa buguruni ndo umuone smart sanaa huyo makamba wako??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…