Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Makamba naye ni wa kishua usimchukulie poa
 
Ninemsoma!!. Ila hapo nyuma Kuna mahala nimeeleza kuwa familia ya makamba uislamu wao ni ule uislamu unaoonekana siku ya Eid , siku ya harusi na siku ya msiba. Ndiyo maana inafika mahala Hadi watu Wanabishana kwa kushindwa kuelewa ni watu wa kundi gani !!.
Waislamu wa aina hii ndio wale wakiulizwa nguzo za uislamu ni ngapi wanakwambia " inategemeana na ukubwa wa msikiti, !! Kama msikiti mdogomdogo nguzo nne zinatosha na kama msikiti ni mkubwa sana basi unaweza kuhitaji Hadi nguzo sitini na Tano na kuendelea.

Waislamu wa aina hii ndio wale wakiulizwa nguzo za uislamu ni ngapi wanakwambia " inategemeana na ukubwa wa msikiti, !! Kama msikiti mdogomdogo nguzo nne zinatosha na kama msikiti ni mkubwa sana basi unaweza kuhitaji Hadi nguzo sitini na Tano na kuendelea.😀😀🔨🔨
 
Back
Top Bottom