Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah.Hii inatwa plastic surgery
HAPO SAWA!Kitu Volvo xc 90 vitu vya uhakikaView attachment 479641 sio huo upuuzi.
lile ni sufuria la kukaangia bisiUmenijumbusha Porte
Hii ni kweli ila haimaanishi ndio walipue lipue hivyo! Gari zina shepu za ajabuToyota ni kama ni kama kampuni ya sim ya tecno. Toyota wana varity ya magati meng ambayo bei yake ni ya kati majority interested can afford to buy. Wanauza volume kubwa sana japo gari zao ni cheap. Hawategemei watengeneze magar ya thaman sana ili wapate faida kubwa mf. Benz mercedes.
Kuiga nako kuna pande mbili, mazuri au mabaya. Ila kama kwa akili ya kawaida Toyota wanaona kutngeneza body kama macaroni ndio zinavutia basi waendelee kutuudhi!Mara nyingi Toyota wamekua wakiiga Design za magari ya Ulaya sasa labda wanataka kutoka kivyao ndio hayo mazombie wanayotuletea sasa
Volvo ina muonekano mzuri, it feels like a car indeed. sio gari imekaa kishenzi shenzi, ndio maana toyota sikuhizi wahuni wanaziita bebi woka au gari za ma manzi coz hazieleweki. Dume kujipinda kwenye passo, vits n.k ni kichekesho mjini.mashoodjr Volvo wanakuja juu sana sasa na hiyo XC 90. Mimi mwenyewe naiangalia niitungue kati ya hii Volvo, Audi Q7/Q5 au Porshe Macan S.