Nini kimemsibu Joseverest?

Hebu muacheni bebi wangu jamani Khaa akikoment wa kwanza mnamchamba akisema apumzike humuishi kumuukizia...yani tusiende kula bata siku mbili tayari mmeanzisha nyuzi mnataka nini lakini? Mtuwache tupo tunatafuta mtoto
 
Jose kuna majukùmu ya taifa hili anayafanya ambayo aliyaanza mwaka jana miezi ya mwishoni
 
Ni form four huyo.. matokeo hayamemchanganya [emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…