Nini kimemsukuma Msigwa wa Ikulu kuposti picha hizi mtandaoni siku ya leo akidai ni kumbukumbu?

Nini kimemsukuma Msigwa wa Ikulu kuposti picha hizi mtandaoni siku ya leo akidai ni kumbukumbu?

Najiuliza ni nin kimemsukuma Gersno Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?

Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.

Je,ni hivi hivi tu?

Upendo huu umeanza lini?

View attachment 1398775

View attachment 1398776

Huwa natamani sana kuona hizi sura zenye upendo na furaha zikiwa katika nyuso za viongozi wetu bila kujali itikadi za vyama vyao..huu Ndio u Tanzania wetu tunapaswa kujivunia kwa Hilo lakini matokeo yake imekuwa ni kinyume chake na watu wamejenga uadui mkubwa sana na kuwaziana mambo mabaya na kukomoana kisa tu wamepishana mitazamo. Mungu atunusuru katika hili
 
Nimeona kumbukizi ya Gerson akionyesha picha mbalimbali za wabunge wa Upinzani akiwemo Halima Mdee wakiwa na Mhe. Rais, picha hizi zilipigwa awamu ya nne na leo zipo mitandaoni.

Wakati huohuo wanaccm wanatuaminisha kwamba Hawa Msigwa anaosambaza picha zao wakiwa na Mhe.Rais ni waalifu na hawaitakii mema nchi yetu.

Je, kwanini hizi picha za waalifu zisambazwe leo 2020? Mbona zinasambazwa Kama vile Ni picha za mashujaa wa Taifa na siyo waalifu? Kwanini mashujaa Hawa wananyanyasika kwa kuwa upinzani na shujaa mwenzao atoi onyo.

Mashujaa wa Taifa letu lindaneni pls
 
Ikumbukwe kabla ya ugonjwa wa Corona haujafika Tanzania, Bavicha na chadema kwa ujumla walikuwa wakikesha mitandaoni wakiombea Corona ije ili wamkomoe na kumcheka rais Magufuli!.

Mwana jamii forum anayeitwa technically alileta Uzi humu akiombea na kushangaa kwa nini Corona haifiki haraka Tanzania!, Naam kama ilivyoandikwa aombacho mtu ndiyo hupewa, kama alivyoomba technically Corona imekuja Tanzania na hatua ya kwanza imeshambulia familia ya boss wake Freeman Mbowe!, nadhani sasa technically atakuwa anarukaruka kwa furaha sana huko aliko

Tuwaonye tu vijana wa chadema kuwa Mungu hana mchezo, mahaba yenu kwa Mbowe yasiwatoe ufahamu na kuanza kuiombea mabaya nchi mkidhani mnamkomoa rais Magufuli.
Sasa hivi mnamkejeli Makonda kwa kusema ni tasa mnasahau kuwa HalimaMdee ana miaka 45 na hana mtoto wala kutundikwa mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kuungana Naye kwenye ujinga wake???

Wakati akiombea Corona ije na wewe unaidhihaki familia ya Mbowe Kwa ndani Kwa vile wamekuwa wahanga wa hili dubwasha Corona,

Hii Corona ikiiva vizuri kabisa hakuna aliye salama, si huyo aliyeomba ije ama anayefurahia mtu akipatwa Corona
 
Magufuli ni bonge moja la mnafiki hususani kama kuna kitu anataka kwako, akikuweka karibu usidhani anakupenda sana.

Magufuli alikuwa anamkumbatia mpa Lissu.

Awamu ya ndio pambio alizokuwa anamwagia Kikwete ni kukata na shoka.

Hata sasa licha ya ukatili na ufisadi wa kutisha kajisitiri.

Subiri awamu ya pili ya utawala wake ndio FUNGA KAZI
 
Acha upumbav,watu wanateseka kwa kutekeleza wajibu wao kisa tu ni wapinzani,nvhi hii ukiwa mpinzani ni sawa Corona na unapaswa kutokomezwa kwa namna yoyote ile!Au hukusikia JPm akimwagiza spika awatoe nje hao wabunge ili yeye akawashugjulikie huko uraiani?Kwa hizo picha ni wazi JPM alikuwa hajawa Rais!

"Nearly an old man can withstand adversity but if you want to test the man's character,give hime power"

Abrahm lincoln!

Aliye kulaani alikuongezea mzigo mkubwa usioweza kuubeba, ni heri angelikuacha tu na uchizi uliotoka nao tumboni mwa mamayo!!! Ungelikutosha, nakuhurumia Kwa mizigo miwili kwenye bichwa lako

Jinga Sana wewe
 
Siasa za Mnyika zimekuwa ngumu sana kueleweka siku hizi, kama anashinikizwa hivi. Sijui... laakini mda utatueleza yote.
 
Guilt consciousness
Nasikia kuna watu walirudia getini kwa Halima hawakuruhusiwa kuingia
Au
Msigwa anaanza kujihukumu kujua muda wa kuishi ikulu unayoyoma waanze kujiaminisha kwa wananchi Tupo Pamoja'
Damage iliyofanyika au iliyofanywa na utawala huu ni kubwa mno itakuwa vigumu kuwasahaulisha watu
 
Hizo picha si kama alivyowahi kusema kafulila kuwa Magu wakati Wa Escorow aliwaambia wawabane mafisadi warudishe fedha na alipoteuliwa fisadi la kwanza kuula ni Prof. Mkweli na akamrudisha kutuwashia umemr nako akalamba tena akamtema
 
Back
Top Bottom