Nini kimemsukuma Msigwa wa Ikulu kuposti picha hizi mtandaoni siku ya leo akidai ni kumbukumbu?

Nini kimemsukuma Msigwa wa Ikulu kuposti picha hizi mtandaoni siku ya leo akidai ni kumbukumbu?

Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?

Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.

Je,ni hivi hivi tu?

Upendo huu umeanza lini?

View attachment 1398775

View attachment 1398776
Kilio cha maumivu ya wanaovunjwa mikono na kuteswa mahakamani na jela kimefika mbali. wanajaribu kuspin reality na artificiality
 
Makosa mengi yaliyopo Leo hasa yamesababisha na Vyama, mfano, Nje ya Chama, ni lini umewahi kumuona Mh Mdee akipelekwa mahakamani?

Nje ya Chama, ni lini Mh Mbowe amewahi kushinda mahakamani Kwa makosa yake?

Nje ya Chama wote ni watu Wema kuliko Bashite, na Kwa maana hiyo utambue wazi kabisa urafiki wa mtu na mtu haijalishi anatokea Chama gani

Nje ya Vyama, Sisi sote tunapendana tena sio kidogo

Lakini ndani ya Chama, shetani anakaa huko, mawazo ya kuvunja mageti ya magereza ni ndani ya Chama,

Ndani ya Chama uzalendo hamna

Ni hayo mkuu
Upo sahihi kwa mtazamo huu wako chanya Ila mkuu ukweli uliopoTz saizi watu wanachukiana,tena ile chuki yenyewe.....wanasiasa wa siku hizi wanahubiri sana chuki kuliko siasa,na currently kumekuwa na mgawanyiko sana.....wanasiasa wa sasa hawajui waongee nini kwa wakati gani
 
Hiyo michango mngenipa hata mie kuliko vile.

Siasa haina uadui wa kudumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nini kinakuuma? Na upewe wewe kwa kipi unachokifanya Tanzania kama sio mzigo tu

Watu wanateseka kupambania majambo, watu wanakufa kwa majambo yani watu kama nyinyi unabahati sijui kufyonza kwa maandishi
 
Ikumbukwe kabla ya ugonjwa wa Corona haujafika Tanzania, Bavicha na chadema kwa ujumla walikuwa wakikesha mitandaoni wakiombea Corona ije ili wamkomoe na kumcheka rais Magufuli!.

Mwana jamii forum anayeitwa technically alileta Uzi humu akiombea na kushangaa kwa nini Corona haifiki haraka Tanzania!, Naam kama ilivyoandikwa aombacho mtu ndiyo hupewa, kama alivyoomba technically Corona imekuja Tanzania na hatua ya kwanza imeshambulia familia ya boss wake Freeman Mbowe!, nadhani sasa technically atakuwa anarukaruka kwa furaha sana huko aliko

Tuwaonye tu vijana wa chadema kuwa Mungu hana mchezo, mahaba yenu kwa Mbowe yasiwatoe ufahamu na kuanza kuiombea mabaya nchi mkidhani mnamkomoa rais Magufuli.
Sasa hivi mnamkejeli Makonda kwa kusema ni tasa mnasahau kuwa HalimaMdee ana miaka 45 na hana mtoto wala kutundikwa mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnenguaji wa chama unahangaika sana kama kuku anayetaka kutaga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliye kulaani alikuongezea mzigo mkubwa usioweza kuubeba, ni heri angelikuacha tu na uchizi uliotoka nao tumboni mwa mamayo!!! Ungelikutosha, nakuhurumia Kwa mizigo miwili kwenye bichwa lako

Jinga Sana wewe
Niite majina utakayo ila kitu kimoja nina uhakika nacho,nakula pande kubwa la keki ya taifa kuliko wewe!Pamoja na hayo haininyimi haki ya kutokuwa upande wa hao mafedhuli!
 
Ladba anashangaa jinsi mambo yanavyobadilika haraka ... anatamani uzamani
 
Niite majina utakayo ila kitu kimoja nina uhakika nacho,nakula pande kubwa la keki ya taifa kuliko wewe!Pamoja na hayo haininyimi haki ya kutokuwa upande wa hao mafedhuli!
[/QUOTE]
  1. Mkuu, nisamehe bule, nilichogundua, matusi uliyoniporomoshea bule kwenye post yangu haikuwa akili yako au hukuelewa vema nilichochangia, tusameheane mkuu maisha yaendelee,wewe mega huo mkate wa Taifa, ila kumbukumbu ufisadi haukubaliki
 
Back
Top Bottom