jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Damage repair ni kuwawajibisha wale waliohusika kumdhuru na kumdhalilisha.DAMAGE REPAIR ....YA UBAYA WANAOWAFANYIA WAPINZANIA KWA UJUMLA WAO ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damage repair ni kuwawajibisha wale waliohusika kumdhuru na kumdhalilisha.DAMAGE REPAIR ....YA UBAYA WANAOWAFANYIA WAPINZANIA KWA UJUMLA WAO ....
Kilio cha maumivu ya wanaovunjwa mikono na kuteswa mahakamani na jela kimefika mbali. wanajaribu kuspin reality na artificialityNajiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Fikiria “nje ya picha”Nani kapigwa hapo?
Nafsi zinawasuta ni namna fulani ya kuomba msamaha.Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Upo sahihi kwa mtazamo huu wako chanya Ila mkuu ukweli uliopoTz saizi watu wanachukiana,tena ile chuki yenyewe.....wanasiasa wa siku hizi wanahubiri sana chuki kuliko siasa,na currently kumekuwa na mgawanyiko sana.....wanasiasa wa sasa hawajui waongee nini kwa wakati ganiMakosa mengi yaliyopo Leo hasa yamesababisha na Vyama, mfano, Nje ya Chama, ni lini umewahi kumuona Mh Mdee akipelekwa mahakamani?
Nje ya Chama, ni lini Mh Mbowe amewahi kushinda mahakamani Kwa makosa yake?
Nje ya Chama wote ni watu Wema kuliko Bashite, na Kwa maana hiyo utambue wazi kabisa urafiki wa mtu na mtu haijalishi anatokea Chama gani
Nje ya Vyama, Sisi sote tunapendana tena sio kidogo
Lakini ndani ya Chama, shetani anakaa huko, mawazo ya kuvunja mageti ya magereza ni ndani ya Chama,
Ndani ya Chama uzalendo hamna
Ni hayo mkuu
CHADEMA hii ya Mbowe?Wamekubali yaishe chadema wamewashika pabaya
Sasa nini kinakuuma? Na upewe wewe kwa kipi unachokifanya Tanzania kama sio mzigo tuHiyo michango mngenipa hata mie kuliko vile.
Siasa haina uadui wa kudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnenguaji wa chama unahangaika sana kama kuku anayetaka kutagaIkumbukwe kabla ya ugonjwa wa Corona haujafika Tanzania, Bavicha na chadema kwa ujumla walikuwa wakikesha mitandaoni wakiombea Corona ije ili wamkomoe na kumcheka rais Magufuli!.
Mwana jamii forum anayeitwa technically alileta Uzi humu akiombea na kushangaa kwa nini Corona haifiki haraka Tanzania!, Naam kama ilivyoandikwa aombacho mtu ndiyo hupewa, kama alivyoomba technically Corona imekuja Tanzania na hatua ya kwanza imeshambulia familia ya boss wake Freeman Mbowe!, nadhani sasa technically atakuwa anarukaruka kwa furaha sana huko aliko
Tuwaonye tu vijana wa chadema kuwa Mungu hana mchezo, mahaba yenu kwa Mbowe yasiwatoe ufahamu na kuanza kuiombea mabaya nchi mkidhani mnamkomoa rais Magufuli.
Sasa hivi mnamkejeli Makonda kwa kusema ni tasa mnasahau kuwa HalimaMdee ana miaka 45 na hana mtoto wala kutundikwa mimba.
Sent using Jamii Forums mobile app
We kada unasemaje?Kwan kaziposti kipindi jpm bado ni waziri?
Niite majina utakayo ila kitu kimoja nina uhakika nacho,nakula pande kubwa la keki ya taifa kuliko wewe!Pamoja na hayo haininyimi haki ya kutokuwa upande wa hao mafedhuli!Aliye kulaani alikuongezea mzigo mkubwa usioweza kuubeba, ni heri angelikuacha tu na uchizi uliotoka nao tumboni mwa mamayo!!! Ungelikutosha, nakuhurumia Kwa mizigo miwili kwenye bichwa lako
Jinga Sana wewe
Hujui kwamba upo Great Thinkers Palaver? Ameleta FOOD FOR THOUGHT. Kitu kizuri kwa wanaojitambua. Kama wewe sio GT, basi tokomea zakoKapost Msigwa unakuja kutuuliza sisi. Ndio nini sasa Salary Slip,
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimwamini mwanasiasa!
Pabaya ndio wapi..... Polisi au Magereza au Mahakama au vyombo vya dola au wale vijana wa ccm ntarahamweWamekubali yaishe chadema wamewashika pabaya
LABDA WAMESHAUNGA JUHUDI, TUNAPANGWA KISAIKOLOJIA
HAHAHAHA