Uzalendo ni kuipenda nchi yako na vilivyomo ikiwa ni pamoja na wananchi wenzakoHivi we katika akili ya kawaida unadhani uzalendo ni kumpenda Magufuli? Big noo uzalendo ni kumpenda Tanzania.
Kumpenda mtu au kumchukia inategemea na namna mnavyoathiriana au kuathiri jamii yako mfano nchi hii ni yetu sote tuko juu yake ardhi yake haijatukosea kitu Sana Sana inatupa maziwa na asali.Uzalendo ni kuipenda nchi yako na vilivyomo ikiwa ni pamoja na wananchi wenzako
Naipenda nchi yangu, nampenda rais wangu John Pombe Magufuli, na hata wewe Taisho fuyaki nakupenda👍
Kwahiyo waganda wampende idi amini dada weweeeeeee.....!!!?Uzalendo ni kuipenda nchi yako na vilivyomo ikiwa ni pamoja na wananchi wenzako
Naipenda nchi yangu, nampenda rais wangu John Pombe Magufuli, na hata wewe Taisho fuyaki nakupenda👍
elimu nusu ni sumu!Jitahidi kujiongeza kielimu sio unaandika pumba za namna hii unatia aibu...
Ni kweli..kama uliyonayo kwenye suala hili ndio maana umeandika hivi.elimu nusu ni sumu!
Tetesi ni korona na km ni korona tayari hiyo ni alarm kwamba hali si shwari.Kila mtu aanze kuchukua tahadhari, ndio cha kujifunza hapo.Haitabadilisha kitu kuanza kujua nini chanzo cha kifo chake. Unless kama unahisi ameuwawa ili haki itendeke.
Mimi naamini wewe una elimu na una AKILI.
Naomba nikuulize he unajua kuwa Corona inaambukiza?.
marehemu kaugua zaidi ya wiki 2 vipi ndugu zake nao wanaumwa Corona?
Madaktari pia waliokuwa wanamtibu wanaumwa Corona?.
Waliofanya mazishi take nao wameambukizwa Corona?.
Kuna vitu inatakiwa utumie akili.
kufa na Corona sio kosa Ila Ni kweli kafa na Corona?
Ni kifo ndo kimemuua.Kwanza nianze kwa kusema RIP mfalme wa Crank Music Tanzania.
Leo ni siku ya huzuni kweli kweli wapenda bongofleva hasa ile ya zamani. Ni wazi ladha ya bongofleva ya enzi za akina CPwaa ilikuwa na ladha yake tofauti kabisa na sasa ambapo kuna copy and paste nyingi sana za nje ya nchi.
Turudi kwenye msingi wa hii thread, kama taarifa za kidaktari zilivyosema kwamba CPwaa kafariki kwa Pneumonia (Nimonia), hivyo hilo libaki kama lilivyo. Japo kuna wanaozusha kwamba ni deportivo la coruna lkn hizo ni habari zisizo na uthibitisho.
Lakini ukijaribu kufuatilia maisha yake ya miezi kadhaa iliyopita utagundua kuna kitu hakiko sawa. Kwa miezi kadhaa CPwaa hakuwa active kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyozoeleka. Mathalani kwenye mtandao wa Instagram ambapo ndio alikuwa anaupenda sana, mara ya mwisho kupost ilikuwa November 1, ina maana mpaka mauti yanamfika leo ilikuwa imeshapita miezi 2 na nusu bila kupost chochote kitu ambacho sio kawaida yake toka ajiunge na mtandao huo mwaka 2013.
Hii inaonesha kuna kitu nyuma ya pazia ambacho kilikuwa hakiko sawa kwa mfalme huyu. Ni nini kilimsibu?
PIA SOMA> TANZIA - Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili
View attachment 1680030
CPwaa akiwa na D-Banj mwaka 2010
View attachment 1680031
CPwaa akiwa na Mesen Selekta mwaka2013
View attachment 1680033
Philosophy iliyotumika hapo ni kubwa mnoo kuliko saizi ya ubongo wako huwezi elewa...😳😳 Kijana mwenye umri wa miaka minne au mitano?
Ila wahusika waoga na wana maagizo makali wasiseme hadharani, mbaya sana hii..COVID-19 chukua tahadhari husika.
Huyu demu picha ya chini kabisa wa kwanza kushoto anaitwa Stellah NtumoKwanza nianze kwa kusema RIP mfalme wa Crank Music Tanzania.
Leo ni siku ya huzuni kweli kweli wapenda bongofleva hasa ile ya zamani. Ni wazi ladha ya bongofleva ya enzi za akina CPwaa ilikuwa na ladha yake tofauti kabisa na sasa ambapo kuna copy and paste nyingi sana za nje ya nchi.
Turudi kwenye msingi wa hii thread, kama taarifa za kidaktari zilivyosema kwamba CPwaa kafariki kwa Pneumonia (Nimonia), hivyo hilo libaki kama lilivyo. Japo kuna wanaozusha kwamba ni deportivo la coruna lkn hizo ni habari zisizo na uthibitisho.
Lakini ukijaribu kufuatilia maisha yake ya miezi kadhaa iliyopita utagundua kuna kitu hakiko sawa. Kwa miezi kadhaa CPwaa hakuwa active kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyozoeleka. Mathalani kwenye mtandao wa Instagram ambapo ndio alikuwa anaupenda sana, mara ya mwisho kupost ilikuwa November 1, ina maana mpaka mauti yanamfika leo ilikuwa imeshapita miezi 2 na nusu bila kupost chochote kitu ambacho sio kawaida yake toka ajiunge na mtandao huo mwaka 2013.
Hii inaonesha kuna kitu nyuma ya pazia ambacho kilikuwa hakiko sawa kwa mfalme huyu. Ni nini kilimsibu?
PIA SOMA> TANZIA - Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili
View attachment 1680030
CPwaa akiwa na D-Banj mwaka 2010
View attachment 1680031
CPwaa akiwa na Mesen Selekta mwaka2013
View attachment 1680033
Mkuu unapoteza muda wako bure tu. Akili za mtu kama BAK, ni zile za kutaka kila tukio baya lihusianishwe na CCM.Mimi naamini wewe una elimu na una AKILI.
Naomba nikuulize he unajua kuwa Corona inaambukiza?.
marehemu kaugua zaidi ya wiki 2 vipi ndugu zake nao wanaumwa Corona?
Madaktari pia waliokuwa wanamtibu wanaumwa Corona?.
Waliofanya mazishi take nao wameambukizwa Corona?.
Kuna vitu inatakiwa utumie akili.
kufa na Corona sio kosa Ila Ni kweli kafa na Corona?