Nini kimemuua CPwaa? Kuna kitu hakijakaa sawa

Nini kimemuua CPwaa? Kuna kitu hakijakaa sawa

Siku hizii Dr hawana shida ni kuandika VIRAL PNEUMONIA TU mengine mtajua wenyeweee...!!
 
Hivi we katika akili ya kawaida unadhani uzalendo ni kumpenda Magufuli? Big noo uzalendo ni kumpenda Tanzania.
Uzalendo ni kuipenda nchi yako na vilivyomo ikiwa ni pamoja na wananchi wenzako
Naipenda nchi yangu, nampenda rais wangu John Pombe Magufuli, na hata wewe Taisho fuyaki nakupenda👍
 
Uzalendo ni kuipenda nchi yako na vilivyomo ikiwa ni pamoja na wananchi wenzako
Naipenda nchi yangu, nampenda rais wangu John Pombe Magufuli, na hata wewe Taisho fuyaki nakupenda👍
Kumpenda mtu au kumchukia inategemea na namna mnavyoathiriana au kuathiri jamii yako mfano nchi hii ni yetu sote tuko juu yake ardhi yake haijatukosea kitu Sana Sana inatupa maziwa na asali.

Pia Mimi Taisho fuyaki huwezi kunichukia kwasababu sijakukosea lolote.

Ila wanasiasa tunaweza kuwachukia kutokana na namna wanavyotutawala na kutuongoza mwanasiasa anayependa vurugu ubabe kuumiza wengine huku yeye hasimpathize nao hata kidogo mwanasiasa mvurugaji mharibifu mchochea chuki mwanasiasa ambaye Leo anaweza kumteka baba yako halafu kesho akasimama mbele ya madhabahu ya Mungu bila aibu nk huyu nikimpenda nitakuwa mnafiki mbele ya Mungu nafsi yangu na wanadamu.
 
Uzalendo ni kuipenda nchi yako na vilivyomo ikiwa ni pamoja na wananchi wenzako
Naipenda nchi yangu, nampenda rais wangu John Pombe Magufuli, na hata wewe Taisho fuyaki nakupenda👍
Kwahiyo waganda wampende idi amini dada weweeeeeee.....!!!?
 
Kwa mfano, tuseme CPwaa aliugua Corona. Hivi hapa Tz ingetangazwa amekufa kwa Corona? Thubutu.

Mimi naamini kabisa, maoni yoyote ni sahihi kuhusu kilichomuuw CPwaa maana tupo kwenye nchi ya giza kwenye suala la kupata taarifa sahihi kuhusu Corona.
 
Haitabadilisha kitu kuanza kujua nini chanzo cha kifo chake. Unless kama unahisi ameuwawa ili haki itendeke.
Tetesi ni korona na km ni korona tayari hiyo ni alarm kwamba hali si shwari.Kila mtu aanze kuchukua tahadhari, ndio cha kujifunza hapo.
 
Mimi naamini wewe una elimu na una AKILI.
Naomba nikuulize he unajua kuwa Corona inaambukiza?.
marehemu kaugua zaidi ya wiki 2 vipi ndugu zake nao wanaumwa Corona?
Madaktari pia waliokuwa wanamtibu wanaumwa Corona?.
Waliofanya mazishi take nao wameambukizwa Corona?.
Kuna vitu inatakiwa utumie akili.
kufa na Corona sio kosa Ila Ni kweli kafa na Corona?

Sidhani kama mtoa mada kalenga covid 19. Labda ni yale yale ya zamani. Maana nayo bado yapo. Vijana wachukue tahadhari tu kwa kila gonjwa la kuambukiza.
 
Kwanza nianze kwa kusema RIP mfalme wa Crank Music Tanzania.

Leo ni siku ya huzuni kweli kweli wapenda bongofleva hasa ile ya zamani. Ni wazi ladha ya bongofleva ya enzi za akina CPwaa ilikuwa na ladha yake tofauti kabisa na sasa ambapo kuna copy and paste nyingi sana za nje ya nchi.

Turudi kwenye msingi wa hii thread, kama taarifa za kidaktari zilivyosema kwamba CPwaa kafariki kwa Pneumonia (Nimonia), hivyo hilo libaki kama lilivyo. Japo kuna wanaozusha kwamba ni deportivo la coruna lkn hizo ni habari zisizo na uthibitisho.

Lakini ukijaribu kufuatilia maisha yake ya miezi kadhaa iliyopita utagundua kuna kitu hakiko sawa. Kwa miezi kadhaa CPwaa hakuwa active kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyozoeleka. Mathalani kwenye mtandao wa Instagram ambapo ndio alikuwa anaupenda sana, mara ya mwisho kupost ilikuwa November 1, ina maana mpaka mauti yanamfika leo ilikuwa imeshapita miezi 2 na nusu bila kupost chochote kitu ambacho sio kawaida yake toka ajiunge na mtandao huo mwaka 2013.

Hii inaonesha kuna kitu nyuma ya pazia ambacho kilikuwa hakiko sawa kwa mfalme huyu. Ni nini kilimsibu?

PIA SOMA> TANZIA - Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

View attachment 1680030
CPwaa akiwa na D-Banj mwaka 2010

View attachment 1680031
CPwaa akiwa na Mesen Selekta mwaka2013


View attachment 1680033
Ni kifo ndo kimemuua.
 
Kifo kimeumbwa kwa ajili ya mwanadamu

Ova
 
😳😳 Kijana mwenye umri wa miaka minne au mitano?
Philosophy iliyotumika hapo ni kubwa mnoo kuliko saizi ya ubongo wako huwezi elewa...
ndio maana akili yako ime jam!!?.......
mtoto huamini kile anachoambiwa na wakubwa zake bila kuhoji wao hupokea tu......
wtz wengi wameamini maneno ya viongozi wao...
kwa hivyo wtz wengi ni kama.........
malizia mwenyewe hapo
 
COVID-19 chukua tahadhari husika.
Ila wahusika waoga na wana maagizo makali wasiseme hadharani, mbaya sana hii..
CORONA ipo, tuendelee kachukua TAHADHARI RAIA..
 
Kwanza nianze kwa kusema RIP mfalme wa Crank Music Tanzania.

Leo ni siku ya huzuni kweli kweli wapenda bongofleva hasa ile ya zamani. Ni wazi ladha ya bongofleva ya enzi za akina CPwaa ilikuwa na ladha yake tofauti kabisa na sasa ambapo kuna copy and paste nyingi sana za nje ya nchi.

Turudi kwenye msingi wa hii thread, kama taarifa za kidaktari zilivyosema kwamba CPwaa kafariki kwa Pneumonia (Nimonia), hivyo hilo libaki kama lilivyo. Japo kuna wanaozusha kwamba ni deportivo la coruna lkn hizo ni habari zisizo na uthibitisho.

Lakini ukijaribu kufuatilia maisha yake ya miezi kadhaa iliyopita utagundua kuna kitu hakiko sawa. Kwa miezi kadhaa CPwaa hakuwa active kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyozoeleka. Mathalani kwenye mtandao wa Instagram ambapo ndio alikuwa anaupenda sana, mara ya mwisho kupost ilikuwa November 1, ina maana mpaka mauti yanamfika leo ilikuwa imeshapita miezi 2 na nusu bila kupost chochote kitu ambacho sio kawaida yake toka ajiunge na mtandao huo mwaka 2013.

Hii inaonesha kuna kitu nyuma ya pazia ambacho kilikuwa hakiko sawa kwa mfalme huyu. Ni nini kilimsibu?

PIA SOMA> TANZIA - Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

View attachment 1680030
CPwaa akiwa na D-Banj mwaka 2010

View attachment 1680031
CPwaa akiwa na Mesen Selekta mwaka2013


View attachment 1680033
Huyu demu picha ya chini kabisa wa kwanza kushoto anaitwa Stellah Ntumo
 
Mimi naamini wewe una elimu na una AKILI.
Naomba nikuulize he unajua kuwa Corona inaambukiza?.
marehemu kaugua zaidi ya wiki 2 vipi ndugu zake nao wanaumwa Corona?
Madaktari pia waliokuwa wanamtibu wanaumwa Corona?.
Waliofanya mazishi take nao wameambukizwa Corona?.
Kuna vitu inatakiwa utumie akili.
kufa na Corona sio kosa Ila Ni kweli kafa na Corona?
Mkuu unapoteza muda wako bure tu. Akili za mtu kama BAK, ni zile za kutaka kila tukio baya lihusianishwe na CCM.
 
Back
Top Bottom