Nini kimepelekea gari za nissan Y62 isifanye vizuri kama nissani y61 na y60

Nini kimepelekea gari za nissan Y62 isifanye vizuri kama nissani y61 na y60

Mapank

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
4,130
Reaction score
6,097
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya Nissan Y61 na Y60. Uzi tayari

NISSAN Y60
1609784363423.png


NISSAN Y61
1609784409685.png


NISSAN Y62
1609784473843.png
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya Nissan Y61 na Y60. Uzi tayari

NISSAN Y60
View attachment 1667836

NISSAN Y61
View attachment 1667837

NISSAN Y62
View attachment 1667838
Huwezi kukimbilia motoni wakati pepo ipo.
 
Back
Top Bottom