Ndio. Ni sehemu ya tatizo.Yes, inaweza kuwa sehemu ya tatizo?
Kwenye sura mbaya Y60 ni baya na Y62 ni zuri1.)Tumia akili, kati ya hayo matatu, lipi lina sura mbaya kuliko yote?....
Yes, hata hayati Benjamin alikuwa nalo..Ila nimeona wastaafu wengi ndio wanayatumi, Kikwete, Lowasa na Nyalandu kidogo na wafanyabiashara wa wenye asili ya Asia
Kapime macho, gari kama boko maji we unasema zuri?Ndio. Ni sehemu ya tatizo.
Bavaria Extrovert achaneni na Toyota bhuana yaani hapa anawapelekea moto Ford F150 , Chevrolet silverado na Dodge RAM π π πView attachment 1668462
Kuna huyu mnyama nimekutana naye jana hapa Dar ni balaa
Huwezi kukimbilia motoni wakati pepo ipo.Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya Nissan Y61 na Y60. Uzi tayari
NISSAN Y60
View attachment 1667836
NISSAN Y61
View attachment 1667837
NISSAN Y62
View attachment 1667838
Sio Petrol tu, ni 5.6L engine, sasa jiulize kama Crown ya 2.5L mnambwanda hio 5+ mtaisogelea kwa lipi?Hii gari imetoka ya Petrol tu. Hili nalo kikwazo