Nini kimepelekea gari za nissan Y62 isifanye vizuri kama nissani y61 na y60

Mapank

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
4,130
Reaction score
6,097
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya Nissan Y61 na Y60. Uzi tayari

NISSAN Y60


NISSAN Y61


NISSAN Y62
 
Huwezi kukimbilia motoni wakati pepo ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…