Kuhusu sura napenda ya y61 na Y62 ya mwaka jana ambayo ni facelifted!Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya Nissan Y61 na Y60. Uzi tayari
NISSAN Y60
View attachment 1667836
NISSAN Y61
View attachment 1667837
NISSAN Y62
View attachment 1667838
Hizi wanapush ma don tu wa Masaki na Mikocheni[emoji13][emoji13][emoji13] hatari sana
Mimi Tundra wanachonikera siku zote ni kuwa na mkono kushoto tu.....Huyo mnyama anaitwa Tundra. Nimekutana nae mara kadhaa mjini posta
Marekani ni LHD tu ndio gari zao na barabara zao zilivyoMimi Tundra wanachonikera siku zote ni kuwa na mkono kushoto tu.....
Ila siku nikilibahatisha la RHD lazima nilipakie kwenye maji litue Bongo
Ni kweli mkuu. Ila kuna kampuni zinafanya kubadilisha pia na zipo zilizobadilishwa baada ya kuuzwa niliharibu kuuliza gharama ikawa kubwa sanaTarget yao zaidi soko la America nadhani
Acha woga weweHizi wanapush ma don tu wa Masaki na Mikocheni
Hahaha najua ndio lile DVA mkali sema safi. 5.6L ni for FatcatsAcha woga wewe
Mkuu gharama za kubadili LHD kwenda RHD inategemea na watu utakao wapa.Ni kweli mkuu. Ila kuna kampuni zinafanya kubadilisha pia na zipo zilizobadilishwa baada ya kuuzwa niliharibu kuuliza gharama ikawa kubwa sana
Hahahaha. .. Mimi nilitaka ibadilishwe kule kule kwa Biden kuna Garage zinapewaga hiyo kazi kabla ya kuexport ila ikawa bei mlimaMkuu gharama za kubadili LHD kwenda RHD inategemea na watu utakao wapa.
Kipindi cha nyuma Airport karibu na High way bar kulikuwa na Wathailand wanafanya hizo kazi za kubadili LHD kwenda RHD na bei Yao nadhani ilikuwa ya kuchekesha maana walikuwa na gari nyingi Sana.
Hata kule wapo watu ndio kazi zao. Labda uliogopa bei zao kubwa.Hahahaha. .. Mimi nilitaka ibadilishwe kule kule kwa Biden kuna Garage zinapewaga hiyo kazi kabla ya kuexport ila ikawa bei mlima
5.6 zinaingia Carina 1.4 (nne?)Sio Petrol tu, ni 5.6L engine, sasa jiulize kama Crown ya 2.5L mnambwanda hio 5+ mtaisogelea kwa lipi?
Awamu ya mwisho ya Kikwete kuna waziri wa afya alikua anatumia ilikua na namba za SU toka hapo sijawahi ona taasisi nyingine ya serikali ikiwa na mnyama kama yule.Ila inaonekana ni mazuri sema gharama ni maintenance tu. Serikali haijataka kujihusisha na hili toleo baada ya Y61
Eeh babaangu, sasa jiulize kulisha carina 4 daily ni bei gani πππ5.6 zinaingia Carina 1.4 (nne?)
Lile lilikuwa la mkurigenzi NHIF, Sema waziri alimpokonya mkurugenzi, baadaye lilirudi NHIF kama sikosei.Awamu ya mwisho ya Kikwete kuna waziri wa afya alikua anatumia ilikua na namba za SU toka hapo sijawahi ona taasisi nyingine ya serikali ikiwa na mnyama kama yule.
Carina huko mbali wachumi wanaenda na Suzuki Alto.5.6 zinaingia Carina 1.4 (nne?)
Hizo zitabaki Kwa wateule wachache Tu.Y62 kibokoo tatizo pesaa tuu